Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Mtu aliyethubutu kumpinga Dkt. Mpango siwezi kumteua nafasi yoyote

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Mtu aliyethubutu kumpinga Dkt. Mpango siwezi kumteua nafasi yoyote

Anaharibu sana.

Sasa anafanya ionekane kwamba Dr. Mpango hawezi kushinda mpaka rais amkingie kifua.

Anatumia teuzi kama silaha ya kuiminya demokrasia.

Kama Dr. Mpango ni mzuri hivyo, aachie ushindani tu, watu wataona nani anafaa.

Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete wote hawajawahi kutoa kauli za kishamba hivi.
 
Inasemekana hazipatikani

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app


Hazipatikani kwa sababu habari yenyewe ni uongo bin propaganda.

Ni hivi, hawa jamaa hawakutegemea kabisa kuona lile nyomi pale Bukoba kwa sababu walishajiaminisha kwamba watu wa kule wana hasira na Magu kutokana na ishu ya tetemeko, hivyo basi wakaamua kupoza maumivu kwa kuja na story ya kazomewa.
 
Hii nchi imejaa viongozi majuha.ila kiukweli kama umetambua kuwa nafasi uliyopo hukustahili lazima uwe MNAAAA.

Kuna kila Bali inayoonyesha huyu bwana alipachikwa kwa kivuli flan chenye mamlaka mchana(gizani).

Si kwa siasa za chuki kiasi hichi.

Walituuza washenzi.R.I.P

wahusika ktk nchi ile yenye wanyonge wengi na bado wanaruhusiwa kuzaliana.
 
Leo akiwekwa dr mpango na magufuli wagombee urais, magufuli hata 30% hapati. Sijui kama analitambua ilo
 
Cha ajabu ni nini hapo?

Kwani demokrasia ni kukubali kila kitu? Hivi ule mswada wa vyama vingi tungefuata demokrasia mnayoitaka ninyi ungepitishwa?
Yaani kwamba watu waliojitokeza kugombea ndani ya chama dhidi ya Mpango ni watu wajinga na wasahau kuhusu kupata nafasi kukitumikia chama au serikali! Hii ni akili au matope? Mbona mnakuwa wajinga hivi? Kuna watu ni wa ajabu sana!
 
Nyerere a
Nyerere alijua walichakachua matokeo, si kweli kwamba wengi hawakutaka mageuzi, Nyerere katumia busara tu, badala ya kuwambia kuwa wamechakachua matokeo akawambia si vibaya wachache wakisikilizwa, na kwa vile wanajua ukweli hawakuwa ujanja tena, vinginevyo wangeumbuliwa kuwa wamepika data.
Nyerere alijua fika kuwa watu walisafirishwa kwa malori kwenda kwa wingi mbele ya Tume ya Nyalali kukataa vyama vingi. Vinginevyo, waliotaka vyama vingi wageweza kufika angalau 40%!.
 
Back
Top Bottom