Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Mtu aliyethubutu kumpinga Dkt. Mpango siwezi kumteua nafasi yoyote

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Mtu aliyethubutu kumpinga Dkt. Mpango siwezi kumteua nafasi yoyote

Wewe acha utoto huyo mgombea wenu wa 2015 alipatikana kidemokrasia ? CHADEMA mlishachokwa na watanzania kwa sababu double standard yenu. Ikulu mtaisikia tu maana hamfai kwa lolote
Jiwe badala ya kujibu hoja anazungumzia habari za uteuzi kabla hata ya Uchaguzi kufanywa!! He is confused.
 
Kwani CHADEMA kuba Demokrasia ?
Anaharibu sana.

Sasa anafanya ionekane kwamba Dr. Mpango hawezi kushinda mpaka rais amkingie kifua.

Anatumia teuzi kama silaha ya kuiminya demokrasia.

Kama Dr. Mpango ni mzuri hivyo, aachie ushindani tu, watu wataona nani anafaa.

Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete wote hawajawahi kutoa kauli za kishamba hivi.
 
Rais amesema anashangaa sana kuona mtu anajitokeza kumpinga Dkt. Mpango, kwani kwa namna Dkt. Mpango alivyosimamia uchumi vizuri, hakupaswa kupingwa na mtu yeyote.

Cha ajabu ni kwamba, muda mfupi kabla ya kusema hayo mheshimiwa alisifia ukomavu wa demokrasia ndani ya CCM.

Bwana huyu hajitambui kabisa. Ni hasara kwa Taifa. Wananchi walifanye vyema JAMBO LAO tarehe 28/10/2020.
 
Yaani kwamba watu waliojitokeza kugombea ndani ya chama dhidi ya Mpango ni watu wajinga na wasahau kuhusu kupata nafasi kukitumikia chama au serikali! Hii ni akili au matope? Mbona mnakuwa wajinga hivi? Kuna watu ni wa ajabu sana!
Hiyo ndio akili sasa kama hujui, mna waziri wa fedha kwenu na anaperform vizuri halafu jinga moja linafanya kushindana naye, kama siyo ulimbukeni ni nini ?
 
Hilo nyomi la Bukoba limwatia uchizi, kazi mnayo, hiyo tarehe 28/10 tunaenda kukamilisha tu taratibu maana JPM keshapita tayari, tunawasubiri kwa hamu muingie barabarani kupinga matokeo mkione cha moto.
Wahaya hoyeee
 
Huyu ndio safi toka nchi ipate uhuru, wanaomchukia ni wale waliopigwa chini kwa vyeti fake kama wewe.
Tumekuwa na Rais wa hovyo kupata kutokea, yaani ana akili za chini sana. Wa Tz jamani mwaka huu ni mwaka wa ukombozi.
 
Kwani CHADEMA au ACT Wazalendo kuna Demokrasia ? Hivi mgombea wenu wa 2015 alipatikana kidemkrasia ? Huyo kuongozi mkuu wa ACT alipatikana kidemokrasia ? Yaani hovyo unaandika uharo tu.
Hii ni kuonyesha kuwa ndani ya ccm kwenyewe hakuna demokrasia. Nyerere angekuwa hivyo Mwinyi adingekuwa rais na Salim angekuwa rais! Kwa mtaji huu ccm inahitaji kukombolewa.
 
Mtajiju
Yaani huyu JPM tafsiri yake ya demokrasia anaifahamu yeye tu. Yaani yeye hakuna kitu kama competitive politics ndani na nje ya chama. Kama anataka hivyo ni kazi rahisi tu. Kwanza afute mfumo wa vyama vingi ibaki CCM tu. Pili abadili katiba ili yeye awe ndo anateua wabunge. Hakuna haja ya uchaguzi. Haya yote yako ndani ya uwezo wake.
 
Yaani huyu JPM tafsiri yake ya demokrasia anaifahamu yeye tu. Yaani yeye hakuna kitu kama competitive politics ndani na nje ya chama. Kama anataka hivyo ni kazi rahisi tu. Kwanza afute mfumo wa vyama vingi ibaki CCM tu. Pili abadili katiba ili yeye awe ndo anateua wabunge. Hakuna haja ya uchaguzi. Haya yote yako ndani ya uwezo wake.
Yakiwashinda mwamvie kuongozi wenu abadilishe gia angani
 
Hapo sasa shangaa na wewe ndugu yangu
Kwa kumuweka nani?? Maana unatakiwa kwa na mbadala bora zaidi sio kuweka Yule anayosema muungano wetu ni batili wakati yeye ni mtu aliye somea sheria na muungano wetu hauna tofauti na uingereza, lakini sijawahi kusikia mtu wa England akienda Scotland na kuongea ujinga kama mgombea moja wa hapa kwetu.
 
Cha ajabu ni nini hapo?

Kwani demokrasia ni kukubali kila kitu? Hivi ule mswada wa vyama vingi tungefuata demokrasia mnayoitaka ninyi ungepitishwa?
Siyo kukubali kila kitu bali kuruhusu challenge. Kumtishia anaechallenge maana yake hautaweza kupata mawazo yaliyo bora zaidi ya uliyonayo kichwani kwako kwani umejifungia chumbani. Na hivyo unajikuta kumbe wewe ndiye unayefifiisha kasi ya maendeleo huku ukidhani kasi ni kubwa.

Naamini hapa nchini kuna vichwa vilivyobora kuliko mpango lakini kwa mkwara huo vitaufyata.
Namkubali Dr lakini sometimes anakwama sana kwa kauli zake.
 
sasa naona sio kampeni tena ni kama ubabe tu

halafu hivi kwani nani alimwambia kila mtu analilia kuteuliwa na yeye?View attachment 1572549View attachment 1572550View attachment 1572551

siasa za ajabu san
Kwanza wengi hatuna fursa ya kuwa nyuma ya mikamera kumbe ukipata fursa ya kuwa nyuma ya mikamera ni chanzo kizuri cha kuula kwenye teuzi mradi ukamsifia ni ukweli usiopingika kumbe ukijitoa ufahamu unapata teuzi ndiyo maana walio gundua udhaifu huu wanaweka namba zao za simu humu
 
Hahaha hii inadhihirisha kwamba kupita bila kupingwa haikuwa bahati mbaya, ni mpango wa ccm na NEC.

Pili kumbe ACT wana makubaliano na CCM, ya kuachiana majimbo.

ACT wasanii eti nao walitaka kuungana na Chadema, wakafie mbali huko.
 
Aibu Ya Mwaka Bora Tuahirishe Tu
Yaani Wananchi Wanazuiwa Wasiamue Waompenda
Huyo Ni Chaguo La Ccm Lakini Wananchi Wanaweza Kuamua Vyovyote
 
Back
Top Bottom