Bashite ndie alie mhalibia mzee kwa ushauri mbovu usio na tija walizani kinunua wapinzani ndio suluhisho eti tukimchukua flani kwa sababu kule anakubalika bas na wananchi wote ni wetu in bashite voiceAtamtuma Gambo! 😀
Khaa watanzania wapole usoni aisee! Wanakuchekea huku wanakumaliza.
Yaani mheshimiwa aliaminishwa zile comedy, zenye slogan, za tunaishukuru serikali ya awamu ya 5, chini ya Dr.
Bashite alimpoteza sana jamaa...Na zile bongo movie zake!
Everyday is Saturday................................😎
Na kaskazini je? Aseme yotee
Sasa hv ilikuwa wakamalizane naye kabisaHuko si ulitokeaga na moshi, ziara ikakatishwa ghafla.
Arusha na Kilimanjaro hawamtaki kabisa. Asikanyage huko.Soon anatua
Akitoka Tanga
Apopolewe maweTunamsubilia arusha
Anaenda Lindi na Mtwara??Nimeangalia hoyuba yote.
Rais ni binadamu anachoka pia anamajukumu ya serikali hawezi kwenda huko kote...hongera Sana Magufuli hujawa mlafi umeamua kuwatuma watu wengine wakusaidie baadhi ya majukumu.. wewe ni Rais unaethamin vipaumbele na kipaumbele chako ni wananchi wako.. CCM oyeee..Akihutubia jimbo la Kawe, Rais Magufuli amesema yeye ni Binadamu hataweza kwenda lindi na Mtwara hivyo atamtuma Kassim Majaliwa Kassim
Mimi kama mwana ccm naunga mkono kumtumia Mama Salma Kikwete na Jakaya Kikwete mikoa ya lindi na Mtwara na tayari hilo limefanyika
Kwa uamuzi huu Rais ameona mbali sana na hongera kwake sana sana,
Wale wa maeneo ya Ngende,Nanjilinji na Nkanared na wale wanaotamka mwana Nke badala ya Mwanamke na mnaotamka Ntoto badala ya mtoto wa mikoa ya lindi na Mtwara tunawategemea sana kupiga kura ya ndio kwa JPM
Kazi za serikali ni nyingi zinahitaji muda pia.
----
Nilipenda sana kupita maeneo mbalimbali. Nilipenda nifike Mbagala; nitamtuma Mheshimiwa Jakaya Kikwete. Nilipanga niende mpaka Ukonga mwisho, napo nitamtuma Mh. Jakaya Kikwete na viongozi wengine.
Nilipanga kupita kila eneo, lakini mimi ni binadamu. Ningependa hata nifike Katavi na Rukwa lakini ilibidi nimtume Makamu wangu wa Rais, Mama Samia.
Ningependa nifike Mtwara na Lindi lkini nitamtuma kule Waziri Mkuu wangu, Ndugu Kassim Majaliwa.
Ningependa nifike Morogoro; ningependa nifike Pwani; ningependa nifike Pemba na maeneo mengine. Mimi ni binadamu, siwezi kuwa kila mahali na wakati huohuo nifanye kazi za serikali. Kwasababu serikali lazima iendelee kwenda, wafanyakazi wapate mishahara yao. Madawa lazima yapatikane hospitali. Na mengine mengi. Wakulima lazima wapate pembejeo. Hatya yote unayasimamia wakati ukifanya kampeni.
Mbona watanzania wengi walihama na Samatta kule Aston villa.....? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bashite ndie alie mhalibia mzee kwa ushauri mbovu usio na tija walizani kinunua wapinzani ndio suluhisho eti tukimchukua flani kwa sababu kule anakubalika bas na wananchi wote ni wetu in bashite voice
...Korosho au..?..anajua kuna mambo mabaya amewatendea.
..hana ujasiri wa kuonana na wananchi wa kusini.
Huo moshi ungekuwa Umetelekezea kwa jamaa yetu mmoja,sidhani Kama angebaki😃😃.Huko si ulitokeaga na moshi, ziara ikakatishwa ghafla.
...🤔🤔🤔....embu jazia nyama mkuu.Huko si ulitokeaga na moshi, ziara ikakatishwa ghafla.