..anajua kuna mambo mabaya amewatendea.
..hana ujasiri wa kuonana na wananchi wa kusini.
Hana ujasiri wa kwenda kusini, na kaskazini na kanda ya ziwa amebomolewa ngome zote, sijui aende wapi sasa. abaki tu Dodoma, Tanga na Pwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..anajua kuna mambo mabaya amewatendea.
..hana ujasiri wa kuonana na wananchi wa kusini.
Gari la mkaa linaenda gereji tena? Mwaka huu jamaa amegwaya ile mbaya alifikri kampeni za mwaka huu zitakuwa rahisi? Fogofu (sijui wazee walikuwa wanamaanisha nini hapa?)Akihutubia jimbo la Kawe, Rais Magufuli amesema yeye ni Binadamu hataweza kwenda lindi na Mtwara hivyo atamtuma Kassim Majaliwa Kassim
Mimi kama mwana ccm naunga mkono kumtumia Mama Salma Kikwete na Jakaya Kikwete mikoa ya lindi na Mtwara na tayari hilo limefanyika
Kwa uamuzi huu Rais ameona mbali sana na hongera kwake sana sana,
Wale wa maeneo ya Ngende,Nanjilinji na Nkanared na wale wanaotamka mwana Nke badala ya Mwanamke na mnaotamka Ntoto badala ya mtoto wa mikoa ya lindi na Mtwara tunawategemea sana kupiga kura ya ndio kwa JPM
Kazi za serikali ni nyingi zinahitaji muda pia.
----
Nilipenda sana kupita maeneo mbalimbali. Nilipenda nifike Mbagala; nitamtuma Mheshimiwa Jakaya Kikwete. Nilipanga niende mpaka Ukonga mwisho, napo nitamtuma Mh. Jakaya Kikwete na viongozi wengine.
Nilipanga kupita kila eneo, lakini mimi ni binadamu. Ningependa hata nifike Katavi na Rukwa lakini ilibidi nimtume Makamu wangu wa Rais, Mama Samia.
Ningependa nifike Mtwara na Lindi lkini nitamtuma kule Waziri Mkuu wangu, Ndugu Kassim Majaliwa.
Ningependa nifike Morogoro; ningependa nifike Pwani; ningependa nifike Pemba na maeneo mengine. Mimi ni binadamu, siwezi kuwa kila mahali na wakati huohuo nifanye kazi za serikali. Kwasababu serikali lazima iendelee kwenda, wafanyakazi wapate mishahara yao. Madawa lazima yapatikane hospitali. Na mengine mengi. Wakulima lazima wapate pembejeo. Hatya yote unayasimamia wakati ukifanya kampeni.
Hongera Sana JPM wetu kura zote kwakoAkihutubia jimbo la Kawe, Rais Magufuli amesema yeye ni Binadamu hataweza kwenda lindi na Mtwara hivyo atamtuma Kassim Majaliwa Kassim
Mimi kama mwana ccm naunga mkono kumtumia Mama Salma Kikwete na Jakaya Kikwete mikoa ya lindi na Mtwara na tayari hilo limefanyika
Kwa uamuzi huu Rais ameona mbali sana na hongera kwake sana sana,
Wale wa maeneo ya Ngende,Nanjilinji na Nkanared na wale wanaotamka mwana Nke badala ya Mwanamke na mnaotamka Ntoto badala ya mtoto wa mikoa ya lindi na Mtwara tunawategemea sana kupiga kura ya ndio kwa JPM
Kazi za serikali ni nyingi zinahitaji muda pia.
----
Nilipenda sana kupita maeneo mbalimbali. Nilipenda nifike Mbagala; nitamtuma Mheshimiwa Jakaya Kikwete. Nilipanga niende mpaka Ukonga mwisho, napo nitamtuma Mh. Jakaya Kikwete na viongozi wengine.
Nilipanga kupita kila eneo, lakini mimi ni binadamu. Ningependa hata nifike Katavi na Rukwa lakini ilibidi nimtume Makamu wangu wa Rais, Mama Samia.
Ningependa nifike Mtwara na Lindi lkini nitamtuma kule Waziri Mkuu wangu, Ndugu Kassim Majaliwa.
Ningependa nifike Morogoro; ningependa nifike Pwani; ningependa nifike Pemba na maeneo mengine. Mimi ni binadamu, siwezi kuwa kila mahali na wakati huohuo nifanye kazi za serikali. Kwasababu serikali lazima iendelee kwenda, wafanyakazi wapate mishahara yao. Madawa lazima yapatikane hospitali. Na mengine mengi. Wakulima lazima wapate pembejeo. Hatya yote unayasimamia wakati ukifanya kampeni.
Lissu ni kama Chama au Bwalya.anajua anajua tu,hatumii minguvu. Wewe mwenyewe unajuaLissu ni kama carlinhos wa yanga. Analazimishwa kuwa asicho.
Hata OKW BOBAN SUNZU anajua
Gari la mkaa linaenda gereji tena? Mwaka huu jamaa amegwaya ile mbaya alifikri kampeni za mwaka huu zitakuwa rahisi? Fogofu (sijui wazee walikuwa wanamaanisha nini hapa?)
...[emoji848][emoji848][emoji848]....embu jazia nyama mkuu.
Bernard Membe si lolote si chochote. Hana meno ya Kumung'ata Dk. Magufuli. Namshauri Magufuli aende kusini. Akaweke Maua kwenye kaburi la Mzee Makapa
Kumekucha Lissu umepunguziwa kazi...nenda alikokwepa fanya kampeni nzitoAkihutubia jimbo la Kawe, Rais Magufuli amesema yeye ni Binadamu hataweza kwenda lindi na Mtwara hivyo atamtuma Kassim Majaliwa Kassim
Mimi kama mwana CCM naunga mkono kumtumia Mama Salma Kikwete na Jakaya Kikwete mikoa ya lindi na Mtwara na tayari hilo limefanyika.
Kwa uamuzi huu Rais ameona mbali sana na hongera kwake sana sana,
Wale wa maeneo ya Ngende, Nanjilinji na Nkanared na wale wanaotamka mwana Nke badala ya Mwanamke na mnaotamka Ntoto badala ya mtoto wa mikoa ya Lindi na Mtwara tunawategemea sana kupiga kura ya ndio kwa JPM.
Kazi za serikali ni nyingi zinahitaji muda pia.
----
Nilipenda sana kupita maeneo mbalimbali. Nilipenda nifike Mbagala; nitamtuma Mheshimiwa Jakaya Kikwete. Nilipanga niende mpaka Ukonga mwisho, napo nitamtuma Mh. Jakaya Kikwete na viongozi wengine.
Nilipanga kupita kila eneo, lakini mimi ni binadamu. Ningependa hata nifike Katavi na Rukwa lakini ilibidi nimtume Makamu wangu wa Rais, Mama Samia.
Ningependa nifike Mtwara na Lindi lakini nitamtuma kule Waziri Mkuu wangu, Ndugu Kassim Majaliwa.
Ningependa nifike Morogoro; ningependa nifike Pwani; ningependa nifike Pemba na maeneo mengine. Mimi ni binadamu, siwezi kuwa kila mahali na wakati huohuo nifanye kazi za serikali. Kwasababu serikali lazima iendelee kwenda, wafanyakazi wapate mishahara yao. Madawa lazima yapatikane hospitali. Na mengine mengi. Wakulima lazima wapate pembejeo. Hatya yote unayasimamia wakati ukifanya kampeni.
Mwambieni sasa Lissu aende!Anaogopa atakosa la kusema kuhusu bei ya korosho kwa sasa kwavile huu ndo wakati mwafaka wa msimu wa mauzo na wananchi wa mikoa hiyo wangependa kuona ahadi inayotekelezeka kuanzia sasa na si ahadi. Kiufupi Magufuli hana sera mpya juu ya maslahi kwa zao hilo na watu wakusini.
Hakika.Magufuli hata akiamua akae tu Ikulu kuanzia leo hakika ushindi kwake ni lazima.
Huyu hatoki Ikulu bila kumletea mtitiAkihutubia jimbo la Kawe, Rais Magufuli amesema yeye ni Binadamu hataweza kwenda lindi na Mtwara hivyo atamtuma Kassim Majaliwa Kassim
Mimi kama mwana CCM naunga mkono kumtumia Mama Salma Kikwete na Jakaya Kikwete mikoa ya lindi na Mtwara na tayari hilo limefanyika.
Kwa uamuzi huu Rais ameona mbali sana na hongera kwake sana sana,
Wale wa maeneo ya Ngende, Nanjilinji na Nkanared na wale wanaotamka mwana Nke badala ya Mwanamke na mnaotamka Ntoto badala ya mtoto wa mikoa ya Lindi na Mtwara tunawategemea sana kupiga kura ya ndio kwa JPM.
Kazi za serikali ni nyingi zinahitaji muda pia.
----
Nilipenda sana kupita maeneo mbalimbali. Nilipenda nifike Mbagala; nitamtuma Mheshimiwa Jakaya Kikwete. Nilipanga niende mpaka Ukonga mwisho, napo nitamtuma Mh. Jakaya Kikwete na viongozi wengine.
Nilipanga kupita kila eneo, lakini mimi ni binadamu. Ningependa hata nifike Katavi na Rukwa lakini ilibidi nimtume Makamu wangu wa Rais, Mama Samia.
Ningependa nifike Mtwara na Lindi lakini nitamtuma kule Waziri Mkuu wangu, Ndugu Kassim Majaliwa.
Ningependa nifike Morogoro; ningependa nifike Pwani; ningependa nifike Pemba na maeneo mengine. Mimi ni binadamu, siwezi kuwa kila mahali na wakati huohuo nifanye kazi za serikali. Kwasababu serikali lazima iendelee kwenda, wafanyakazi wapate mishahara yao. Madawa lazima yapatikane hospitali. Na mengine mengi. Wakulima lazima wapate pembejeo. Hatya yote unayasimamia wakati ukifanya kampeni.
Zitto ameshamaliza kazi kuleSitashangaa Lissu akifigisiwa asikanyage huko