Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Natamani kufika kila eneo kufanya kampeni lakini siwezi

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Natamani kufika kila eneo kufanya kampeni lakini siwezi

Sitaki kuamini mkuu nae alibabariki fitina kuharibu uchaguzi jimbo la PM,apite bila kupigwa hata kwa garama yeyote ikiwemo kuteka,kutesa nk ili amtumie kumuombea kura!?
 
Kaogopa spana za wamakonde
IMG_20200908_161108.jpg
 
Akihutubia jimbo la Kawe, Rais Magufuli amesema yeye ni Binadamu hataweza kwenda lindi na Mtwara hivyo atamtuma Kassim Majaliwa Kassim

Mimi kama mwana ccm naunga mkono kumtumia Mama Salma Kikwete na Jakaya Kikwete mikoa ya lindi na Mtwara na tayari hilo limefanyika

Kwa uamuzi huu Rais ameona mbali sana na hongera kwake sana sana,

Wale wa maeneo ya Ngende,Nanjilinji na Nkanared na wale wanaotamka mwana Nke badala ya Mwanamke na mnaotamka Ntoto badala ya mtoto wa mikoa ya lindi na Mtwara tunawategemea sana kupiga kura ya ndio kwa JPM

Kazi za serikali ni nyingi zinahitaji muda pia.

----
Nilipenda sana kupita maeneo mbalimbali. Nilipenda nifike Mbagala; nitamtuma Mheshimiwa Jakaya Kikwete. Nilipanga niende mpaka Ukonga mwisho, napo nitamtuma Mh. Jakaya Kikwete na viongozi wengine.

Nilipanga kupita kila eneo, lakini mimi ni binadamu. Ningependa hata nifike Katavi na Rukwa lakini ilibidi nimtume Makamu wangu wa Rais, Mama Samia.

Ningependa nifike Mtwara na Lindi lkini nitamtuma kule Waziri Mkuu wangu, Ndugu Kassim Majaliwa.

Ningependa nifike Morogoro; ningependa nifike Pwani; ningependa nifike Pemba na maeneo mengine. Mimi ni binadamu, siwezi kuwa kila mahali na wakati huohuo nifanye kazi za serikali. Kwasababu serikali lazima iendelee kwenda, wafanyakazi wapate mishahara yao. Madawa lazima yapatikane hospitali. Na mengine mengi. Wakulima lazima wapate pembejeo. Hatya yote unayasimamia wakati ukifanya kampeni.
Gari la mkaa linaenda gereji tena? Mwaka huu jamaa amegwaya ile mbaya alifikri kampeni za mwaka huu zitakuwa rahisi? Fogofu (sijui wazee walikuwa wanamaanisha nini hapa?)
 
Akihutubia jimbo la Kawe, Rais Magufuli amesema yeye ni Binadamu hataweza kwenda lindi na Mtwara hivyo atamtuma Kassim Majaliwa Kassim

Mimi kama mwana ccm naunga mkono kumtumia Mama Salma Kikwete na Jakaya Kikwete mikoa ya lindi na Mtwara na tayari hilo limefanyika

Kwa uamuzi huu Rais ameona mbali sana na hongera kwake sana sana,

Wale wa maeneo ya Ngende,Nanjilinji na Nkanared na wale wanaotamka mwana Nke badala ya Mwanamke na mnaotamka Ntoto badala ya mtoto wa mikoa ya lindi na Mtwara tunawategemea sana kupiga kura ya ndio kwa JPM

Kazi za serikali ni nyingi zinahitaji muda pia.

----
Nilipenda sana kupita maeneo mbalimbali. Nilipenda nifike Mbagala; nitamtuma Mheshimiwa Jakaya Kikwete. Nilipanga niende mpaka Ukonga mwisho, napo nitamtuma Mh. Jakaya Kikwete na viongozi wengine.

Nilipanga kupita kila eneo, lakini mimi ni binadamu. Ningependa hata nifike Katavi na Rukwa lakini ilibidi nimtume Makamu wangu wa Rais, Mama Samia.

Ningependa nifike Mtwara na Lindi lkini nitamtuma kule Waziri Mkuu wangu, Ndugu Kassim Majaliwa.

Ningependa nifike Morogoro; ningependa nifike Pwani; ningependa nifike Pemba na maeneo mengine. Mimi ni binadamu, siwezi kuwa kila mahali na wakati huohuo nifanye kazi za serikali. Kwasababu serikali lazima iendelee kwenda, wafanyakazi wapate mishahara yao. Madawa lazima yapatikane hospitali. Na mengine mengi. Wakulima lazima wapate pembejeo. Hatya yote unayasimamia wakati ukifanya kampeni.
Hongera Sana JPM wetu kura zote kwako
 
Yeye ni Rais na Mgombea pia.... Unamfananisha na Mgombea wenu?
 
Usichukulie poa sana, wenyewe wanamjua.
Gari la mkaa linaenda gereji tena? Mwaka huu jamaa amegwaya ile mbaya alifikri kampeni za mwaka huu zitakuwa rahisi? Fogofu (sijui wazee walikuwa wanamaanisha nini hapa?)
...[emoji848][emoji848][emoji848]....embu jazia nyama mkuu.
Bernard Membe si lolote si chochote. Hana meno ya Kumung'ata Dk. Magufuli. Namshauri Magufuli aende kusini. Akaweke Maua kwenye kaburi la Mzee Makapa
 

Nachingwea, Lindi

Tanzania

SALUMU MWALIMU : Lissu Ndiye Rais Ajae 2020 Baada Ya Magufuli, umati full shangwe nderemo vifijo furaha wakubali Tundu2020 Nachingwea Leo 07/10/2020



2020 ni Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu
 
Akihutubia jimbo la Kawe, Rais Magufuli amesema yeye ni Binadamu hataweza kwenda lindi na Mtwara hivyo atamtuma Kassim Majaliwa Kassim

Mimi kama mwana CCM naunga mkono kumtumia Mama Salma Kikwete na Jakaya Kikwete mikoa ya lindi na Mtwara na tayari hilo limefanyika.

Kwa uamuzi huu Rais ameona mbali sana na hongera kwake sana sana,

Wale wa maeneo ya Ngende, Nanjilinji na Nkanared na wale wanaotamka mwana Nke badala ya Mwanamke na mnaotamka Ntoto badala ya mtoto wa mikoa ya Lindi na Mtwara tunawategemea sana kupiga kura ya ndio kwa JPM.

Kazi za serikali ni nyingi zinahitaji muda pia.

----
Nilipenda sana kupita maeneo mbalimbali. Nilipenda nifike Mbagala; nitamtuma Mheshimiwa Jakaya Kikwete. Nilipanga niende mpaka Ukonga mwisho, napo nitamtuma Mh. Jakaya Kikwete na viongozi wengine.

Nilipanga kupita kila eneo, lakini mimi ni binadamu. Ningependa hata nifike Katavi na Rukwa lakini ilibidi nimtume Makamu wangu wa Rais, Mama Samia.

Ningependa nifike Mtwara na Lindi lakini nitamtuma kule Waziri Mkuu wangu, Ndugu Kassim Majaliwa.

Ningependa nifike Morogoro; ningependa nifike Pwani; ningependa nifike Pemba na maeneo mengine. Mimi ni binadamu, siwezi kuwa kila mahali na wakati huohuo nifanye kazi za serikali. Kwasababu serikali lazima iendelee kwenda, wafanyakazi wapate mishahara yao. Madawa lazima yapatikane hospitali. Na mengine mengi. Wakulima lazima wapate pembejeo. Hatya yote unayasimamia wakati ukifanya kampeni.
Kumekucha Lissu umepunguziwa kazi...nenda alikokwepa fanya kampeni nzito

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Anaogopa atakosa la kusema kuhusu bei ya korosho kwa sasa kwavile huu ndo wakati mwafaka wa msimu wa mauzo na wananchi wa mikoa hiyo wangependa kuona ahadi inayotekelezeka kuanzia sasa na si ahadi. Kiufupi Magufuli hana sera mpya juu ya maslahi kwa zao hilo na watu wakusini.
Mwambieni sasa Lissu aende!
 
Magufuli hata akiamua akae tu Ikulu kuanzia leo hakika ushindi kwake ni lazima.
 
Akihutubia jimbo la Kawe, Rais Magufuli amesema yeye ni Binadamu hataweza kwenda lindi na Mtwara hivyo atamtuma Kassim Majaliwa Kassim

Mimi kama mwana CCM naunga mkono kumtumia Mama Salma Kikwete na Jakaya Kikwete mikoa ya lindi na Mtwara na tayari hilo limefanyika.

Kwa uamuzi huu Rais ameona mbali sana na hongera kwake sana sana,

Wale wa maeneo ya Ngende, Nanjilinji na Nkanared na wale wanaotamka mwana Nke badala ya Mwanamke na mnaotamka Ntoto badala ya mtoto wa mikoa ya Lindi na Mtwara tunawategemea sana kupiga kura ya ndio kwa JPM.

Kazi za serikali ni nyingi zinahitaji muda pia.

----
Nilipenda sana kupita maeneo mbalimbali. Nilipenda nifike Mbagala; nitamtuma Mheshimiwa Jakaya Kikwete. Nilipanga niende mpaka Ukonga mwisho, napo nitamtuma Mh. Jakaya Kikwete na viongozi wengine.

Nilipanga kupita kila eneo, lakini mimi ni binadamu. Ningependa hata nifike Katavi na Rukwa lakini ilibidi nimtume Makamu wangu wa Rais, Mama Samia.

Ningependa nifike Mtwara na Lindi lakini nitamtuma kule Waziri Mkuu wangu, Ndugu Kassim Majaliwa.

Ningependa nifike Morogoro; ningependa nifike Pwani; ningependa nifike Pemba na maeneo mengine. Mimi ni binadamu, siwezi kuwa kila mahali na wakati huohuo nifanye kazi za serikali. Kwasababu serikali lazima iendelee kwenda, wafanyakazi wapate mishahara yao. Madawa lazima yapatikane hospitali. Na mengine mengi. Wakulima lazima wapate pembejeo. Hatya yote unayasimamia wakati ukifanya kampeni.
Huyu hatoki Ikulu bila kumletea mtiti
 
Back
Top Bottom