Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli ni kiongozi mwenye akili nyingi mno haijawahi kutokea hapa Tanzania

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli ni kiongozi mwenye akili nyingi mno haijawahi kutokea hapa Tanzania

He was not a straight A person. He was posted to a college of education for A diploma in science and after teaching in Sengeram a high school for a number of years, he applied for mature entry University examinations in Mwanza...Danganye wengine...we know him since those days...
 
No!Yeye kila mahali ni ngono,yaani hawezi kuongea bila kugusia ngono.Mara hapa hakuna connection mara nipeni binti wa kigogo anipoozee mara sijui nini!Alivyo fala anaamini kipaumbele cha Watanzania ni ngono

kanunua ndege hamtaki,kajenga madaraja na mabarabara hamtaki.landa anajaribu kwenye ngono huwenda akawaridhisha.
 
He was not a straight A person. He was posted to a college of education for A diploma in science and after teaching in Sengeram a high school for a number of years, he applied for mature entry University examinations in Mwanza...Danganye wengine...we knowhim since those days...
Nimeshaweka mambo hadharani sasa
 
Basi mimi namwelewa Magufuli kuliko hata wewe, hata marafiki zake wote wanawafahamu, aliosoma nao wote nawafahamu, walimu wake pia nawafahamu. Nina hakika wewe hata walimu wake huwafahamu
 
We muongo..... Kwanza ana phd feki....
Magufuli alikua na bidii mnoo katika masomo yake kuliko wanafunzi wote kwenye shahada, masters na PhD.

Alafu hapa Tanzania degree za science huwa hazitolewi feki chief labda kwenye art zenu huko.
 
Timu makelele tuliwaacha siku nne wakatamani wajiapishe 😀 mwamba ameanza kuzunguka naona watu hofu imewatanda , Tangu lini nchi ikakabidhiwa Kwa genge la wahuni ,
Mafinga moja hiyo
👇
tanzania_ya_kijani_20200929_1.jpg
 
Nasubiri ujazie hizo page zifike 100 ndiyo nitatoa maoni yangu, mpaka hapo ulipoishia bado sijaona kipya, hata hivyo nikupongeze kwa jinsi unavyojituma kwa kazi yako. Hakika unapokea malipo halali kabisa.
Sipokei malipo yoyote wala sihitaji kulipwa, nipo kwaajili ya kuifundisha Tanzania ya baadhi ya watu waliopofushwa mioyo na akili zao washindwe kuona mambo mazuri yaliyofanywa na serikali ya awamu ya tano.
 
  • Ukiwa na akili nyingi ndo unashindwa kuwaongeza mishahara watumishi wa uma?
  • ukiwa na akili nyingi ndo ujenge majengo ya hospitali halafu hununui Dawa?
  • Ukiwa na akili nyingi ndo ujenge madarasa halafu waalimu unaacha kuwaajiri mpaka ifike kampeni?
Kama ni hivyo bora tumtafute ambaye hana akili kabisa
Kwa nini usikubali kuwa huo ndio upeo wako wa juu sana kuhusu masuala ya kitaifa?

Yawezekana wewe ni mmoja wa hao wanaouza mali zao kukidhi hitaji la fedha kwa muda huo?
 
Daah mkuu😀

Akili zake hazijamsaidia mtanzania wa kawaida kupata hela mfukoni, sana sana nepotism, hilo ndilo tatizo kubwa.

Akili zake, ndizo zilizomponza akawa hashauriki, alifikiri watangulizi wake hawakuwa na akili, hiyo miradi waliiona lakini hawakuifanya yote kwa Julio, siyo kwa sababu hawakuwa na akili bali walitambua, itawatia wananchi katika limbi kubwa la umaskini.

Everyday is Saturday..............................😎
 
Peleka MaVI huko LMB. Angalia namba tatu hapo! Huyu si ndiye aliagiza auawe jamaa aliyehoji PHD yake.
Huyu ni darasa la saba.
Zungumzieni ujanja wa kuteka na kuua. Ana shahada ya ugaidi
Nimeanika ukweli hadharani. Msema kweli ni mpenzi wa Mungu
 
JPM angepewa nchi baada ya uhuru basi taif lingekuwa na mpasuko mkubwa!Hekima,busara na weledi wa Nyerere haujawahi kuonekana kwa viongozi wote waliokuja baada yake!Huyu ndio hata robo hawezi kumkaribia Nyerere!
 
Back
Top Bottom