EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,085
- Thread starter
- #81
Mitano tenaMitano tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mitano tenaMitano tena
Mbaazi eti wamekusanya sasa wanasema wawarudishie wakulima, stabadhi ghalani, wakati kulikuwa na soko la cash, eti hamna wanunuzi!Kwanini chief
Ngoja tukuletee andiko la ben saanane ndo utaelewa mkuu.....Hivi mkuu alikua anasoma kwa kutumia lugha gani?Magufuli alikua na bidii mnoo katika masomo yake kuliko wanafunzi wote kwenye shahada, masters na PhD.
Alafu hapa Tanzania degree za science huwa hazitolewi feki chief labda kwenye art zenu huko.
Ofisi ya kawaida sana lakini vichwa vya hapo wanawahenyesha nyie wenye maofisi makubwa ulimwenguni kote.Kama makao mkuu ya chama chao chenye umri wa zaidi ya miaka 28 ni haya uwaelewe tuu kwamba wao ni wa hivyo.
View attachment 1584482
28102020