Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Nikimaliza urais, nitaoa mwanamke wa pili Zanzibar

Mkuu huyu ndo anawadanganya wanaccm wenzake kwamba anamtanguliza Mungu
 
Hapo alikuwa anatania tu ila magwanda kwa kuwa huwa mnaishi kwa kudandiadandia mshapata cha kuongea. Yaani utopolo kwa kweli hata huwa siwaelewi mimi mjue.
Anamtania mamako! Pumbavu wewe huna akili! Hili zee hata halimwogopi mke wake mara liseme wanawake weupe wanapunguzia wanaume stress huku mke wake mweusi kama mkaa! Wanajisikiaje huyu mama? Tuwahishe kulipumzisha ili likaoe mwanamke mweupe Zanzibar!
 
Jifunzeni Kutambua Utani ni Sehemu ya Maisha Ivi BAVICHA MBONA NYIE MBUMBUMBU IVI KAHAA yani MAGUFULI asifanye utani kisa RAIS kumbukeni yeye pia binadamu he can Joke
 
Ningeshangaa mno kama hii thread nisingeikuta JF maana hapa kuna watu ni mabingwa wa kuokoteza hoja zisizokuwa na manufaa yoyote na kugeuza debate za kitaifa, yaani tukae kujadiliana udaku tu. Inasikitisha Sana.
 
Hata Bukoba alisema hivyo.Sielewi ataoa wangap.Awe kama Mswati tu.
 
Msukuma kwa asili anapenda sana wanawake, hasa weupe, wanene na warefu.
Wingi wa ng'ombe unaendana na rangi ya mwanamke.
Kwao msukuma kuzaa watoto wa kike wengi wazuri na weupe wa rangi ni utajiri.
 
Kwanza angeachana na hiyo dini iloletwa na hao wazungu,ndio afuate mila za kina Mkwawa. Hapo ndio tutamuelewa.
 
Jifunzeni Kutambua Utani ni Sehemu ya Maisha Ivi BAVICHA MBONA NYIE MBUMBUMBU IVI KAHAA yani MAGUFULI asifanye utani kisa RAIS kumbukeni yeye pia binadamu he can Joke
Utani!!! na kwa mambo ya wanawake tu!, hivi kumbe hizi ndio Sera eeh, badala ya kuelewesha mambo ya msingi,yeye afanye utani, na kila anapo pita lazima huo utani,ingekuwa Mara moja ndio,lakini kila apitapo akifungua mdomo ni wanawake tu, hizi zi kampeni za uraisi, awe serious, Kama ataka kuchekesha watu na akahamie kwenye majukwaa ya vichekesho,huwezi kuendesha nchi kwa upuuzi huu, miaka mitano tumeona drama alizofanya,na majukwaani ni hayo hayo,huyu hafai.
 
Katiba ya nchi hataki kufuata, miingozo ya dhehebu lake hataki kufuata, ushauri wa wasaidizi wake na watu wengine hataki kufuata. "Mimi ni Rais ninaejiamini sipangiwi mambo, na ukinipangia ndo umeharibu kabisaa" ndiyo maana kila aendapo anataka aoe wanawake weupe, mpka kwa Lusinde Dodoma anataka mke. Huyu mtu ni shidaaaaa!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…