Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Nikimaliza urais, nitaoa mwanamke wa pili Zanzibar

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Nikimaliza urais, nitaoa mwanamke wa pili Zanzibar

Dah. Kwa kuokoteza hoja kama huku Lisu atatoboa kweli?
 
Huwa nawaza mama Janeth ni mvumilivu sana sana.
Sana ni mvumilivu.Analetewa watoto wa michepuko analea. Aliletewa Jeremiah wa Sundi akiwa na 2 yrs,kamlea mpaka yupo secondary sasa hivi. Kalea kina Suzy mpaka wameolewa. Mimi mwanaume hata kufikiria kuniletea mwanae wa nje aliemzaa nikiwepo hawezi fanya hivyo.
 
Kuna watu wanapenda hii kitu Mh mnamsingizia huo Ni utani tu.....!Kuna kibosile mmoja,jina Kapuni enzi zile Mabibo Hostel alikuwa anaingia bwenini kufuats demu bila ya aibu!
Alikolea na penzi la kigoli haswa! Redio mbao pale maskani zilikuwa zinadai Kibosile yule alimnunulia Hadi nyumba!Kipindi like nyumba za Serikali zinauzwa!
Rais anapenda utani huo...lakini haimaanishi kuwa anapenda Mambo hizo!
Block D mzee alikuwa hakosi. 😂😂
 
Hata kama ni utani kwa hadhi aliyonayo ni vyema kuwa na break maana watoto wake na mkewe wanafatilia hotuba zake nikuaibisha familia tu huko
 
Huyu ni Mkristo wa madhehebu ya Kikatoloki. Kwa mujibu ya dining ya kikristo Kuna imani ya ndoa ya mke mmoja na mme mmoja.

Hivyo huyu bwana hafuati miongozo ya Dini yake,na mtu ambae anaomba dhamana kubwa Kama urais na akiwa hafuati miongozo ya Dini anayoiamini hastahili kuchaguliwa.

Pili Ni unyanyasaji mkubwa kwa mke wake aliyenae Sasa hivi. Hivyo wanawake wote,wakristo na waislam mkataeni mtu huyu.
Pia Wakristo wote mkataeni mtu huyu.

Kama angekua Ni muislam Haina shida,kwa imani ya kiislam Ni ruksa kuwa na mkezaidi ya mmoja angalau mwisho wanne.

Wito mtu asiefuata mafundisho au Sheria za Dini hastahili kuongozwa Taifa. Nawaomba waislam na wakristo wote tumkatae kwa Hilo.
Pia ni mnyanyasaji wa wanawake.
Huyu geresha tu, Mkatoliki hawezi kusema hivyo.
 
Hapo alikuwa anatania tu ila magwanda kwa kuwa huwa mnaishi kwa kudandiadandia mshapata cha kuongea. Yaani utopolo kwa kweli hata huwa siwaelewi mimi mjue.
Usiropoke binti. Sisi tunamfahamu sana huyu bwana. Ukweli ni kwamva amezaa na wanawake wengi sana.

Na wewe ukitaka jipeleke tu, sidhani kama atakuacha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una picha ya Kabula ?
images.jpeg
 
Wapwa,

Magufuli anaendelea na kampeni zake, wakati wakiendelea kunadi sera, akachomekea kuwa akimaliza uraisi ataoa mwanamke wa pili Zanzibar hii ni baada ya kudokezwa na mzee Mwinyi kuwa siri ya yeye kuishi maisha marefu ni kuwa na wake wawili.

Hivi First Lady yuko Zanzibar au anaangalia TBC kama sisi?

Haki huinua taifa

====
View attachment 1589366aibu vp mtu akiamua kuoa mke wa pili? au ulitaka aseme atakuoa wewe?
“Unajua Mzee Mwinyi aliniambia siri ya kuishi maisha marefu yeye ana miaka karibu 96 ni kuwa na Wanawake wawili, sasa mimi nina mmoja tu nikimaliza Urais nitaangaliaangalia kupata wa pili huku Zanzibar, nimeona mambo mazuri huku” amesema Magufuli akiwa Zanzibar
 
Back
Top Bottom