Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,010
- 6,678
Hizo ndio sera zenu kwa miaka 59Aah! kumbe kachomekea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo ndio sera zenu kwa miaka 59Aah! kumbe kachomekea
duh!!!Linawaza ngono tu
Ajabu
Chadema wengi hawana akili!Huwa nawaza mama Janeth ni mvumilivu sana sana.
Kwa hiyo umeandika easy hii yote kujibu hilo tu?Huyu ni Mkristo wa madhehebu ya Kikatoloki. Kwa mujibu ya dining ya kikristo Kuna imani ya ndoa ya mke mmoja na mme mmoja.
Hivyo huyu bwana hafuati miongozo ya Dini yake,na mtu ambae anaomba dhamana kubwa Kama urais na akiwa hafuati miongozo ya Dini anayoiamini hastahili kuchaguliwa.
Pili Ni unyanyasaji mkubwa kwa mke wake aliyenae Sasa hivi. Hivyo wanawake wote,wakristo na waislam mkataeni mtu huyu.
Pia Wakristo wote mkataeni mtu huyu.
Kama angekua Ni muislam Haina shida,kwa imani ya kiislam Ni ruksa kuwa na mkezaidi ya mmoja angalau mwisho wanne.
Wito mtu asiefuata mafundisho au Sheria za Dini hastahili kuongozwa Taifa. Nawaomba waislam na wakristo wote tumkatae kwa Hilo.
Pia ni mnyanyasaji wa wanawake.
Sasa toka aanze kuzungumza keshatekeleza?Huyu mzee nahisi kuna kitu anakimiss kwenye mambo yetu yale ya Sita kwa sita. Au hapati chakula cha usiku nini?
Mbona anazungumzia sana habari za mambo hayo, wanasaikolojia tusaidieni!
Na msukumizwa ndani ndio kiongozi waoWakati mwingine kuna umuhimu wa hiki chama kuandaa watu wake kwa nafasi zake mbalimbali, badala tu ya kuwasukumizia ndani kama ilivyotokea 2015.
Huyu mama atambulike kwa uvumulivu ulio tukuka. Kuish na huyu bwana nyumba moja ni challenge.iHuwa nawaza mama Janeth ni mvumilivu sana sana.
Wewe ndio utupe jibu !! Wakware mnafanyaje kuwalaghai ahemeji zenu au mnabaka ??Huyo mdogo mtu naye ilikuwaje akazaa na mume wa shemeji yake ?
Kengine amekahonga u DCKwa hiyo umeandika easy hii yote kujibu hilo tu?
Ni mara ya kwanza magu kusema hivyo? Je keshaoa wangapi hadi sasa?
Angepewa jogoo angemkuwadia.....kama Kilwa huko alikopewa jogooLeo hajapata mwanaume atakayempa Jesca?!
Kamzid mkeo?Huwa nawaza mama Janeth ni mvumilivu sana sana.
Bipolar symptomsHuyu mzee nahisi kuna kitu anakimiss kwenye mambo yetu yale ya Sita kwa sita. Au hapati chakula cha usiku nini?
Mbona anazungumzia sana habari za mambo hayo, wanasaikolojia tusaidieni!
Na msukumizwa ndani ndio kiongozi waoWakati mwingine kuna umuhimu wa hiki chama kuandaa watu wake kwa nafasi zake mbalimbali, badala tu ya kuwasukumizia ndani kama ilivyotokea 2015.
Mtera akaimba atafutiwe kasichana cha kigogo
Kwa hiyo atasilimu? Aache kwanza kula kitimotoWapwa,
Magufuli anaendelea na kampeni zake, wakati wakiendelea kunadi sera, akachomekea kuwa akimaliza uraisi ataoa mwanamke wa pili Zanzibar hii ni baada ya kudokezwa na mzee Mwinyi kuwa siri ya yeye kuishi maisha marefu ni kuwa na wake wawili.
Hivi First Lady yuko Zanzibar au anaangalia TBC kama sisi?
Haki huinua taifa
====
View attachment 1589366
“Unajua Mzee Mwinyi aliniambia siri ya kuishi maisha marefu yeye ana miaka karibu 96 ni kuwa na Wanawake wawili, sasa mimi nina mmoja tu nikimaliza Urais nitaangaliaangalia kupata wa pili huku Zanzibar, nimeona mambo mazuri huku” amesema Magufuli akiwa Zanzibar
Hata mimi sijui mjubaWewe ndio utupe jibu !! Wakware mnafanyaje kuwalaghai ahemeji zenu au mnabaka ??
Kutifuliwa au kusuguliwa ?..alipokuwa mbeya alisema anataka jambo tofauti, siyo mwanamke.[emoji23]
Sugu alipewa ofa ya kusugua mtu[emoji1][emoji1]..alipokuwa mbeya alisema anataka jambo tofauti, siyo mwanamke.[emoji23]