Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Nikimaliza urais, nitaoa mwanamke wa pili Zanzibar

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Nikimaliza urais, nitaoa mwanamke wa pili Zanzibar

Huyu mzee nahisi kuna kitu anakimiss kwenye mambo yetu yale ya Sita kwa sita. Au hapati chakula cha usiku nini?

Mbona anazungumzia sana habari za mambo hayo, wanasaikolojia tusaidieni!
 
Huyu Ni Mkristo wa madhehebu ya Kikatoloki,
Kwa mujibu ya dining ya kikristo Kuna imani ya ndoa ya mke mmoja na mme mmoja.
Hivyo huyu bwana hafuati miongozo ya Dini yake,na mtu ambae anaomba dhamana kubwa Kama urais na akiwa hafuati miongozo ya Dini anayoiamini hastahili kuchaguliwa.
Pili Ni unyanyasaji mkubwa kwa mke wake aliyenae Sasa hivi.
Hivyo wanawake wote,wakristo na waislam mkataeni mtu huyu.
Pia wakristo wote mkataeni mtu huyu.

Kama angekua Ni muislam Haina shida,kwa imani ya kiislam Ni ruksa kuwa na mkezaidi ya mmoja angalau mwisho wanne.

Wito mtu asiefuata mafundisho au Sheria za Dini hastahili kuongozwa Taifa .
Nawaomba waislam na wakristo wote tumkatae kwa Hilo.
Pia Ni mnyanyasaji wa wanawake.
Ndugu yangu waislam Wa kweli Turkey, Iran, Syria etc Sheria ni mke mmoja. Saudi, Emirates etc lazima uthibitishe umetimiza mashart. Huku kwetu ni weakness ya mwanamme kuwa anashindwa kuvumilia libido
 
Wapwa

JPM anaendelea na kampeni zake, wakati wakiendelea kunadi sera, akachomekea kuwa akimaliza uraisi ataoa mwanamke wa pili Zanzibar hii ni baada ya kudokezwa na mzee Mwinyi kuwa siri ya yeye kuishi maisha marefu ni kuwa na wake wawili

Hivi First Lady yuko Zanzibar au anaangalia TBC kama sisi

Haki huinua taifa
Huyu inaonyesha enzi za ujana wake haku "enjoy" mambo ya mahaba. Kwa sasa ni kama yupo kwenye "supplementary stage", ndiyo maana akili yake ipo ktk masuala ya mademu na ngono kama tu ilivyo kwa vijana wengi wa umri wa kati.
 
Kuna watu wanapenda hii kitu Mh mnamsingizia huo Ni utani tu.....!Kuna kibosile mmoja,jina Kapuni enzi zile Mabibo Hostel alikuwa anaingia bwenini kufuats demu bila ya aibu!
Alikolea na penzi la kigoli haswa! Redio mbao pale maskani zilikuwa zinadai Kibosile yule alimnunulia Hadi nyumba!Kipindi like nyumba za Serikali zinauzwa!
Rais anapenda utani huo...lakini haimaanishi kuwa anapenda Mambo hizo!
 
Wapwa

Magufuli anaendelea na kampeni zake, wakati wakiendelea kunadi sera, akachomekea kuwa akimaliza uraisi ataoa mwanamke wa pili Zanzibar hii ni baada ya kudokezwa na mzee Mwinyi kuwa siri ya yeye kuishi maisha marefu ni kuwa na wake wawili.

Hivi First Lady yuko Zanzibar au anaangalia TBC kama sisi?

Haki huinua taifa
Aka Juma Pumba Mandondo.
 
Mimi Kama Mwenyekiti wake wa Jumuia na Mwenyekiti wa kamati ya Malezi na Familia, ninamfuta uanajumuia Rasmi.
Nalala kwa: mwenyekiti KT Kanda, Mwenyekiti KT Parokia, Askofu Mkuu ww Jimbo.
 
Kama aliweza kuzaa na shemeji mdogo wa mke wake na akamjengea Kebbys ( Kabula) na wamezaa sembuse kuoa zbar muarabu ?? Kanisa amelishika mkononi .......Labda sadaka zake ...na utemi ...Mama yule amepitia mazito
 
Kwaiyo kuowa wake wawili ni kupenda ngono ?
Fuatilia hotuba zake kwenye misafara hakosi kugusa masuala ya ngono.
Siku yupo kidodi walipolalamikia maji alimwita diwani ni mwanamke,

Akasema amtajie namba katibu wizara ya maji akiwa kwenye simu.
Yule Dada wakati anataja namba, huyu jamaa akatoa tahadhari kwa hadhara ile kuwa msichukue na ninyi namba baadae mkamsumbua huyu mama.

Wakati anafungua crdb bank kule chato, walimkribisha chakula cha usiku wafanyakazi wa bank na idara zingine.

Alipokaribishwa kuongea baada ya utambulisho mke wa manager wa bank alikuwa anapita.
Kama kawaida yake, wapambe wake wanaita kachomekea, Duuh! Mananger unafaidi kweli, watu kicheko.

Hii mifano miwili tu niliyoona na kusikia
Aliyosema nyanda za juu kusini, aliyosema Zanzibar! Na sehemu mbalimbali.
KIMTOKACHO MTU NDICHO KILICHOUJAZA MOYO WAKE
 
Wapwa

Magufuli anaendelea na kampeni zake, wakati wakiendelea kunadi sera, akachomekea kuwa akimaliza uraisi ataoa mwanamke wa pili Zanzibar hii ni baada ya kudokezwa na mzee Mwinyi kuwa siri ya yeye kuishi maisha marefu ni kuwa na wake wawili.

Hivi First Lady yuko Zanzibar au anaangalia TBC kama sisi?

Haki huinua taifa
Astakafullahi......Maaskofu mmesikia?
 
Wapwa

Magufuli anaendelea na kampeni zake, wakati wakiendelea kunadi sera, akachomekea kuwa akimaliza uraisi ataoa mwanamke wa pili Zanzibar hii ni baada ya kudokezwa na mzee Mwinyi kuwa siri ya yeye kuishi maisha marefu ni kuwa na wake wawili.

Hivi First Lady yuko Zanzibar au anaangalia TBC kama sisi?

Haki huinua taifa
Halinaga busara hilo! Linamnyanyasa sana huyu mama sijui naye kwa nini hagomi kwenda kwenye hafla za hili dubwasha?
 
Wapwa

Magufuli anaendelea na kampeni zake, wakati wakiendelea kunadi sera, akachomekea kuwa akimaliza uraisi ataoa mwanamke wa pili Zanzibar hii ni baada ya kudokezwa na mzee Mwinyi kuwa siri ya yeye kuishi maisha marefu ni kuwa na wake wawili.

Hivi First Lady yuko Zanzibar au anaangalia TBC kama sisi?

Haki huinua taifa
Mama Janeth Magufuli shikamoo
 
Hapo alikuwa anatania tu ila magwanda kwa kuwa huwa mnaishi kwa kudandiadandia mshapata cha kuongea. Yaani utopolo kwa kweli hata huwa siwaelewi mimi mjue.
 
Back
Top Bottom