Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 4,106
- 6,678
Kwaiyo wewe ni muaminifu kwa 100%Linawaza ngono tu
Ajabu
acha kupingapinga kila kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaiyo wewe ni muaminifu kwa 100%Linawaza ngono tu
Ajabu
Yes, huyu anapenda sana ngono
Ndugu yangu waislam Wa kweli Turkey, Iran, Syria etc Sheria ni mke mmoja. Saudi, Emirates etc lazima uthibitishe umetimiza mashart. Huku kwetu ni weakness ya mwanamme kuwa anashindwa kuvumilia libidoHuyu Ni Mkristo wa madhehebu ya Kikatoloki,
Kwa mujibu ya dining ya kikristo Kuna imani ya ndoa ya mke mmoja na mme mmoja.
Hivyo huyu bwana hafuati miongozo ya Dini yake,na mtu ambae anaomba dhamana kubwa Kama urais na akiwa hafuati miongozo ya Dini anayoiamini hastahili kuchaguliwa.
Pili Ni unyanyasaji mkubwa kwa mke wake aliyenae Sasa hivi.
Hivyo wanawake wote,wakristo na waislam mkataeni mtu huyu.
Pia wakristo wote mkataeni mtu huyu.
Kama angekua Ni muislam Haina shida,kwa imani ya kiislam Ni ruksa kuwa na mkezaidi ya mmoja angalau mwisho wanne.
Wito mtu asiefuata mafundisho au Sheria za Dini hastahili kuongozwa Taifa .
Nawaomba waislam na wakristo wote tumkatae kwa Hilo.
Pia Ni mnyanyasaji wa wanawake.
Huyu inaonyesha enzi za ujana wake haku "enjoy" mambo ya mahaba. Kwa sasa ni kama yupo kwenye "supplementary stage", ndiyo maana akili yake ipo ktk masuala ya mademu na ngono kama tu ilivyo kwa vijana wengi wa umri wa kati.Wapwa
JPM anaendelea na kampeni zake, wakati wakiendelea kunadi sera, akachomekea kuwa akimaliza uraisi ataoa mwanamke wa pili Zanzibar hii ni baada ya kudokezwa na mzee Mwinyi kuwa siri ya yeye kuishi maisha marefu ni kuwa na wake wawili
Hivi First Lady yuko Zanzibar au anaangalia TBC kama sisi
Haki huinua taifa
Aka Juma Pumba Mandondo.Wapwa
Magufuli anaendelea na kampeni zake, wakati wakiendelea kunadi sera, akachomekea kuwa akimaliza uraisi ataoa mwanamke wa pili Zanzibar hii ni baada ya kudokezwa na mzee Mwinyi kuwa siri ya yeye kuishi maisha marefu ni kuwa na wake wawili.
Hivi First Lady yuko Zanzibar au anaangalia TBC kama sisi?
Haki huinua taifa
Ipo humu mkuu. Tafuta alichohutubia Mbeya wakati anamuombea kura Tulia. Kama upo na watoto unaweza zima TV.Mkuu SN.BARRY , sijaiona hiyo clip,tafadhali tuwekee hapa jukwaani kwa kumbukumbu ya maktaba.
"Jalalani university" in Kabudi's voiceIla PH.d za UDSM hua ni kiboko kwa kweli.
Hiyo kauli ilimjia tu. Ndio madhara ya kutoandika hotuba.Hiv ilikuwaje hadi akasema hvy " kusuguliwa"
Fuatilia hotuba zake kwenye misafara hakosi kugusa masuala ya ngono.Kwaiyo kuowa wake wawili ni kupenda ngono ?
Astakafullahi......Maaskofu mmesikia?Wapwa
Magufuli anaendelea na kampeni zake, wakati wakiendelea kunadi sera, akachomekea kuwa akimaliza uraisi ataoa mwanamke wa pili Zanzibar hii ni baada ya kudokezwa na mzee Mwinyi kuwa siri ya yeye kuishi maisha marefu ni kuwa na wake wawili.
Hivi First Lady yuko Zanzibar au anaangalia TBC kama sisi?
Haki huinua taifa
Halinaga busara hilo! Linamnyanyasa sana huyu mama sijui naye kwa nini hagomi kwenda kwenye hafla za hili dubwasha?Wapwa
Magufuli anaendelea na kampeni zake, wakati wakiendelea kunadi sera, akachomekea kuwa akimaliza uraisi ataoa mwanamke wa pili Zanzibar hii ni baada ya kudokezwa na mzee Mwinyi kuwa siri ya yeye kuishi maisha marefu ni kuwa na wake wawili.
Hivi First Lady yuko Zanzibar au anaangalia TBC kama sisi?
Haki huinua taifa
Mama Janeth Magufuli shikamooWapwa
Magufuli anaendelea na kampeni zake, wakati wakiendelea kunadi sera, akachomekea kuwa akimaliza uraisi ataoa mwanamke wa pili Zanzibar hii ni baada ya kudokezwa na mzee Mwinyi kuwa siri ya yeye kuishi maisha marefu ni kuwa na wake wawili.
Hivi First Lady yuko Zanzibar au anaangalia TBC kama sisi?
Haki huinua taifa