Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Walishawahi kutengana kabla Magu hajawa rais.Huwa nawaza mama Janeth ni mvumilivu sana sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walishawahi kutengana kabla Magu hajawa rais.Huwa nawaza mama Janeth ni mvumilivu sana sana.
Huyu PHD yake hakupata UdsmIla PH.d za UDSM hua ni kiboko kwa kweli.
Aisee yawezekana kabisa manake jamaa mkoloni vibaya sana.Walishawahi kutengana kabla magu hajawa rais
Nafahamu alivyogaiwa PHD pale Mlimani na wale ma professor sasa ni watu wakubwa serikalini.Huyu PHD yake hakupata Udsm
Huyo mdogo mtu naye ilikuwaje akazaa na mume wa shemeji yake?Kama aliweza kuzaa na shemeji mdogo wa mke wake na akamjengea Kebbys ( Kabula) na wamezaa sembuse kuoa zbar muarabu ?? Kanisa amelishika mkononi, Labda sadaka zake na utemi. Mama yule amepitia mazito
Povu jingi wakati ni utani....
Tuliza mshono huyu hagombeia upadri amesema akimaliza nasi tunasubiri tumtie maji aitwe sheikh Yusuph halafu tunampa mke wa pili.Huyu Ni Mkristo wa madhehebu ya Kikatoloki
Kwa mujibu ya dining ya kikristo Kuna imani ya ndoa ya mke mmoja na mme mmoja.
Hivyo huyu bwana hafuati miongozo ya Dini yake, na mtu ambae anaomba dhamana kubwa Kama urais na akiwa hafuati miongozo ya Dini anayoiamini hastahili kuchaguliwa.
Pili Ni unyanyasaji mkubwa kwa mke wake aliyenae Sasa hivi. Hivyo wanawake wote,wakristo na waislam mkataeni mtu huyu.
Pia wakristo wote mkataeni mtu huyu.
Kama angekua Ni muislam Haina shida,kwa imani ya kiislam Ni ruksa kuwa na mkezaidi ya mmoja angalau mwisho wanne.
Wito mtu asiefuata mafundisho au Sheria za Dini hastahili kuongozwa Taifa.
Nawaomba waislam na wakristo wote tumkatae kwa Hilo.
Pia Ni mnyanyasaji wa wanawake.
Yaani weweHiv ilikuwaje hadi akasema hvy " kusuguliwa"
Jokes kwa hadhara aliyokuwa nayo muda huo. Take it easy man!Huyu Ni Mkristo wa madhehebu ya Kikatoloki.
Kwa mujibu ya dining ya kikristo Kuna imani ya ndoa ya mke mmoja na mme mmoja.
Hivyo huyu bwana hafuati miongozo ya Dini yake,na mtu ambae anaomba dhamana kubwa Kama urais na akiwa hafuati miongozo ya Dini anayoiamini hastahili kuchaguliwa.
Pili Ni unyanyasaji mkubwa kwa mke wake aliyenae Sasa hivi.
Hivyo wanawake wote,wakristo na waislam mkataeni mtu huyu.
Pia wakristo wote mkataeni mtu huyu.
Kama angekua Ni muislam Haina shida,kwa imani ya kiislam Ni ruksa kuwa na mkezaidi ya mmoja angalau mwisho wanne.
Wito mtu asiefuata mafundisho au Sheria za Dini hastahili kuongozwa Taifa.
Nawaomba waislam na wakristo wote tumkatae kwa Hilo.
Pia Ni mnyanyasaji wa wanawake.
Mshua anakwama sana hajui kuongea huyo angebakigi tuu kuwa waziri maana hana busara kabisa na hana break na maneno yake mara maendeleo hayana chama, sisi wote ni watanzania mara ukichagua upinzani mtajuta sasa. Tumuelewe vp, mbona anafeli sanaJokes kwa hadhara aliyokuwa nayo muda huo. Take it easy man!
Huyu ndiye mcha Mungu asiyeheshimu kiapo cha ndoa chake.Wapwa,
Magufuli anaendelea na kampeni zake, wakati wakiendelea kunadi sera, akachomekea kuwa akimaliza uraisi ataoa mwanamke wa pili Zanzibar hii ni baada ya kudokezwa na mzee Mwinyi kuwa siri ya yeye kuishi maisha marefu ni kuwa na wake wawili.
Hivi First Lady yuko Zanzibar au anaangalia TBC kama sisi?
Haki huinua taifa
Duh hatari yani ndio humpendi au humtaki ... hii roho ya mama mwenye nyumbaHuyu ni Mkristo wa madhehebu ya Kikatoloki. Kwa mujibu ya dining ya kikristo Kuna imani ya ndoa ya mke mmoja na mme mmoja.
Hivyo huyu bwana hafuati miongozo ya Dini yake,na mtu ambae anaomba dhamana kubwa Kama urais na akiwa hafuati miongozo ya Dini anayoiamini hastahili kuchaguliwa.
Pili Ni unyanyasaji mkubwa kwa mke wake aliyenae Sasa hivi. Hivyo wanawake wote,wakristo na waislam mkataeni mtu huyu.
Pia Wakristo wote mkataeni mtu huyu.
Kama angekua Ni muislam Haina shida,kwa imani ya kiislam Ni ruksa kuwa na mkezaidi ya mmoja angalau mwisho wanne.
Wito mtu asiefuata mafundisho au Sheria za Dini hastahili kuongozwa Taifa. Nawaomba waislam na wakristo wote tumkatae kwa Hilo.
Pia ni mnyanyasaji wa wanawake.
Mtera akaimba atafutiwe kasichana cha kigogoMr. Pumba ni hatari sana. Anasemaga sitaki kuandikiwa hotuba, sasa madhara yake ndio haya.
Kule Mbeya alisema sugu nisugue..kikikikiki..teh teh teh
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app