Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Nikimaliza urais, nitaoa mwanamke wa pili Zanzibar

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Nikimaliza urais, nitaoa mwanamke wa pili Zanzibar

Halafu kuna wakristo fulani hivi watakwambia Magufuli ni mcha mungu wa kikristo!
Ni uwendawazimu kwa mkristo kuzungumzia kuoa mke wa pili wakati viapo vya ndoa za kikristo zinasema mke mmoja, mme mmoja mpaka kifo.
 
Kama aliweza kuzaa na shemeji mdogo wa mke wake na akamjengea Kebbys ( Kabula) na wamezaa sembuse kuoa zbar muarabu ?? Kanisa amelishika mkononi, Labda sadaka zake na utemi. Mama yule amepitia mazito
Huyo mdogo mtu naye ilikuwaje akazaa na mume wa shemeji yake?
 
Huyu Ni Mkristo wa madhehebu ya Kikatoloki

Kwa mujibu ya dining ya kikristo Kuna imani ya ndoa ya mke mmoja na mme mmoja.

Hivyo huyu bwana hafuati miongozo ya Dini yake, na mtu ambae anaomba dhamana kubwa Kama urais na akiwa hafuati miongozo ya Dini anayoiamini hastahili kuchaguliwa.

Pili Ni unyanyasaji mkubwa kwa mke wake aliyenae Sasa hivi. Hivyo wanawake wote,wakristo na waislam mkataeni mtu huyu.
Pia wakristo wote mkataeni mtu huyu.

Kama angekua Ni muislam Haina shida,kwa imani ya kiislam Ni ruksa kuwa na mkezaidi ya mmoja angalau mwisho wanne.

Wito mtu asiefuata mafundisho au Sheria za Dini hastahili kuongozwa Taifa.

Nawaomba waislam na wakristo wote tumkatae kwa Hilo.

Pia Ni mnyanyasaji wa wanawake.
Tuliza mshono huyu hagombeia upadri amesema akimaliza nasi tunasubiri tumtie maji aitwe sheikh Yusuph halafu tunampa mke wa pili.
 
Huyu Ni Mkristo wa madhehebu ya Kikatoloki.

Kwa mujibu ya dining ya kikristo Kuna imani ya ndoa ya mke mmoja na mme mmoja.

Hivyo huyu bwana hafuati miongozo ya Dini yake,na mtu ambae anaomba dhamana kubwa Kama urais na akiwa hafuati miongozo ya Dini anayoiamini hastahili kuchaguliwa.

Pili Ni unyanyasaji mkubwa kwa mke wake aliyenae Sasa hivi.
Hivyo wanawake wote,wakristo na waislam mkataeni mtu huyu.
Pia wakristo wote mkataeni mtu huyu.

Kama angekua Ni muislam Haina shida,kwa imani ya kiislam Ni ruksa kuwa na mkezaidi ya mmoja angalau mwisho wanne.

Wito mtu asiefuata mafundisho au Sheria za Dini hastahili kuongozwa Taifa.

Nawaomba waislam na wakristo wote tumkatae kwa Hilo.

Pia Ni mnyanyasaji wa wanawake.
Jokes kwa hadhara aliyokuwa nayo muda huo. Take it easy man!
 
Huyu jamaa kabaa Kila sehemu anataka kuoa mara zenji, tunduma, iringa, wagogo n.k
Anausahulifu mkubwa Sana.
 
Wapwa,

Magufuli anaendelea na kampeni zake, wakati wakiendelea kunadi sera, akachomekea kuwa akimaliza uraisi ataoa mwanamke wa pili Zanzibar hii ni baada ya kudokezwa na mzee Mwinyi kuwa siri ya yeye kuishi maisha marefu ni kuwa na wake wawili.

Hivi First Lady yuko Zanzibar au anaangalia TBC kama sisi?

Haki huinua taifa
Huyu ndiye mcha Mungu asiyeheshimu kiapo cha ndoa chake.
 
Huyu ni Mkristo wa madhehebu ya Kikatoloki. Kwa mujibu ya dining ya kikristo Kuna imani ya ndoa ya mke mmoja na mme mmoja.

Hivyo huyu bwana hafuati miongozo ya Dini yake,na mtu ambae anaomba dhamana kubwa Kama urais na akiwa hafuati miongozo ya Dini anayoiamini hastahili kuchaguliwa.

Pili Ni unyanyasaji mkubwa kwa mke wake aliyenae Sasa hivi. Hivyo wanawake wote,wakristo na waislam mkataeni mtu huyu.
Pia Wakristo wote mkataeni mtu huyu.

Kama angekua Ni muislam Haina shida,kwa imani ya kiislam Ni ruksa kuwa na mkezaidi ya mmoja angalau mwisho wanne.

Wito mtu asiefuata mafundisho au Sheria za Dini hastahili kuongozwa Taifa. Nawaomba waislam na wakristo wote tumkatae kwa Hilo.
Pia ni mnyanyasaji wa wanawake.
Duh hatari yani ndio humpendi au humtaki ... hii roho ya mama mwenye nyumba
 
Back
Top Bottom