Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli unamtenga Jakaya Kikwete kwenye Kampeni zako, kumbuka ndiye aliyekupa Urais 2015. Muangukie akusaidie

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli unamtenga Jakaya Kikwete kwenye Kampeni zako, kumbuka ndiye aliyekupa Urais 2015. Muangukie akusaidie

Ni ngumu sana kujua Magufuli ni Mtu Wa namna gani...anaweza akaamka akawaambia kuwa "maendereo hayana chama" au "Mimi ni raisi Wa Watanzania wote na ninawapenda sana ndugu zangu au nasema uongo jamaniii!!"

sasa siku akiamka na maruhani kichwani utachoka mwenyewe kumsikiliza kwa pumba atakazotoa, yaani hapo CCM ndio chama cha maana vingine takataka, hapo Maendeleo yanakuwa na chama (yanawahusu wavaa nguo za kijani tu) vyama vingine vinakuwa mashetani...hebu angalia hiki kituko, Wazungu wakitupa misaada ya kifedha anawaita "Wahisani wetu wa maendereo hawa!"

At the same time haohao waliompa pesa wakimshauri au wakitoa takwimu zinazogusa maslahi yake anawaita "Mabhebheru hawa". Dah! Ni ngumu sana kujua huyu mtu kichwa chake kipoje.


Wewe mwenyewe umesema kichwa chake kina maruhani halafu unatuuliza kichwa chake kikoje!!

Kwanini hamtaki kusema ukweli nani aliyempa URAIS Jiwe; Vasco Dagama mtu wake alikuwa Membe sasa ili kumkomoa VascoDagama na kulipiza kisasi cha kumsaliti hapo indipo Lowassa alipocheza karata ya kumuangusha Membe walipofika TANO bora!! Walipobakia watatu wafuasi wa Lowassa wakambeba JIWE na ndio akapata kuteuliwa 2015!!! Umewahi kumsikia Jiwe hata siku moja akimdhihaki Lowassa? Anajua fika nani alimpa huo ulaji.
 
Salaam,

Wakuu, Huu mwenendo wa hiii CCM na Mgombea wake kutaka kumuangushia jumba bovu Kikwete, haikubariki. Na kwenye Kampeni za 2020, Msipomshirikisha, CCM itapata kura za aibu. Mtaishia kuiba kura ili kuficha aibu. Sasa mnamchafua Kikwete kwamba kaharibu kwamba hajafanya lolote, basi hata ungemshukuru kwa kukuweka Ikulu na kukufanya ukubalike Geita.

Kwa miaka mitano wamekuwa wakisema hajafanya kitu. Kila siku wanasema vitu vyote kafanya Magufuli. Eti barabara kajenga Magufuli, Madaraja, Hospital, Shule na Maji nk kwamba Magufuli ndo kajenga. Hawana hata aibu.

Ni Kweli Rais Mstaafu Kikwete ana Mapungufu yake lakini aliacha Tanzania ikiwa Moja na amani. Hapakuwa na chuki za Kikabila, Kidini wala Kichama. Sasa hivi CCM na CHADEMA hawazikani. CCM inavibagua vyama vingine na kuviita vya Mabeberu, Wasaliti, Wachochezi na Kila jina baya. Kumbukeni vyama vyote vinaongozwa na Watanzania na Wanachama ni Watanzania.

Kipindi cha Kikwete alikuwa anakusanya Kodi kidogo Wastani wa Bil 800 hadi 900, lakini alikuwa anafanya Vitu vinaonekana. Mishahara ilikuwa ikiongezwa, Watu wanaajiliwa, Watu hawabambikiwi kesi za Uhujumu Uchumi, Watu walikuwa hawalipishwa Kodi ya kukomoa na mengine mengi tu.

Lakini Awamu ya Tano wanadai Wanakusanya Kodi Trilioni 1.2 hadi 1.8, Lakini Walichokifanya hakionekani. Tunasoma kwenye karatasi tu kwamba Viwanda 8,000 Shule zimejengwa na Barabara. Mwisho wa Siku unaona barabara ni zilezile za Kikwete alizojenga nyingine akatoka hazijaisha.

Kwa Miaka Mitano Magufuli hana kitu chake alichokuja nacho Mkoni au wazo lake la kututoa Watanzania Kwenye Umasikini. Kila anachojivunia ni Mawazo na Fikra za Watangulizi wake. Mfano;

1. Kuhamia Dodoma ni Idea ya Mwalimu Nyerere
2. Stiegler's Gorge ni Idea ya Nyerere
3. Flyover zote ni Idea za Jakaya Kikwete
4. TASAF ni Idea ya Mkapa
5. Umeme Vijijini REA ni Idea ya Kikwete nk.

Ila ambacho naona Kajitahidi Magufuli ni
1. Kuminya Uhuru wa Kutoa na Kupata habari
2. Vyama vinavyoshindana na CCM kuitwa vyama vya kiharifu na kwamba ni Wasaliti
3. Watu kutekwa na kupotea
4. Chuki miongoni mwa Watanzania(Hamna Umoja wa Kitaifa hata kwenye mambo ya Kitaifa(Mazishi ya Mkapa ni Mfano)
5. Bunge, Mahakama na Wanaamuliwa cha kufanya.

Dr. Magufuli bado anayo nafasi ya Kumuangukia Jakaya Kikwete ili ampe Ushauri na Support kwenye Uchaguzi huu. Vinginevyo Magufuli ataendelea Kufanya Ziara na Bonanza akidhani ndo Kampeni.
Kwani amekwambia anataka support
Ya kikwete?
 
Wafanyakazi wote wameongezewa mshahara wewe unaongelea wafanyakazi wa kugonga kokoto?

Km Unataka kikwete aendelee kukuongoza nenda ukamuombe ujiunge kwenye familia yake
Labda nyie wafanyakazi mnao uza bar ndio mumeongozewa.
 
Salaam,

Wakuu, Huu mwenendo wa hiii CCM na Mgombea wake kutaka kumuangushia jumba bovu Kikwete, haikubariki. Na kwenye Kampeni za 2020, Msipomshirikisha, CCM itapata kura za aibu. Mtaishia kuiba kura ili kuficha aibu. Sasa mnamchafua Kikwete kwamba kaharibu kwamba hajafanya lolote, basi hata ungemshukuru kwa kukuweka Ikulu na kukufanya ukubalike Geita.

Kwa miaka mitano wamekuwa wakisema hajafanya kitu. Kila siku wanasema vitu vyote kafanya Magufuli. Eti barabara kajenga Magufuli, Madaraja, Hospital, Shule na Maji nk kwamba Magufuli ndo kajenga. Hawana hata aibu.

Ni Kweli Rais Mstaafu Kikwete ana Mapungufu yake lakini aliacha Tanzania ikiwa Moja na amani. Hapakuwa na chuki za Kikabila, Kidini wala Kichama. Sasa hivi CCM na CHADEMA hawazikani. CCM inavibagua vyama vingine na kuviita vya Mabeberu, Wasaliti, Wachochezi na Kila jina baya. Kumbukeni vyama vyote vinaongozwa na Watanzania na Wanachama ni Watanzania.

Kipindi cha Kikwete alikuwa anakusanya Kodi kidogo Wastani wa Bil 800 hadi 900, lakini alikuwa anafanya Vitu vinaonekana. Mishahara ilikuwa ikiongezwa, Watu wanaajiliwa, Watu hawabambikiwi kesi za Uhujumu Uchumi, Watu walikuwa hawalipishwa Kodi ya kukomoa na mengine mengi tu.

Lakini Awamu ya Tano wanadai Wanakusanya Kodi Trilioni 1.2 hadi 1.8, Lakini Walichokifanya hakionekani. Tunasoma kwenye karatasi tu kwamba Viwanda 8,000 Shule zimejengwa na Barabara. Mwisho wa Siku unaona barabara ni zilezile za Kikwete alizojenga nyingine akatoka hazijaisha.

Kwa Miaka Mitano Magufuli hana kitu chake alichokuja nacho Mkoni au wazo lake la kututoa Watanzania Kwenye Umasikini. Kila anachojivunia ni Mawazo na Fikra za Watangulizi wake. Mfano;

1. Kuhamia Dodoma ni Idea ya Mwalimu Nyerere
2. Stiegler's Gorge ni Idea ya Nyerere
3. Flyover zote ni Idea za Jakaya Kikwete
4. TASAF ni Idea ya Mkapa
5. Umeme Vijijini REA ni Idea ya Kikwete nk.

Ila ambacho naona Kajitahidi Magufuli ni
1. Kuminya Uhuru wa Kutoa na Kupata habari
2. Vyama vinavyoshindana na CCM kuitwa vyama vya kiharifu na kwamba ni Wasaliti
3. Watu kutekwa na kupotea
4. Chuki miongoni mwa Watanzania(Hamna Umoja wa Kitaifa hata kwenye mambo ya Kitaifa(Mazishi ya Mkapa ni Mfano)
5. Bunge, Mahakama na Wanaamuliwa cha kufanya.

Dr. Magufuli bado anayo nafasi ya Kumuangukia Jakaya Kikwete ili ampe Ushauri na Support kwenye Uchaguzi huu. Vinginevyo Magufuli ataendelea Kufanya Ziara na Bonanza akidhani ndo Kampeni.
Kwani hukumsikia chalinze?
Hili game ni dogo sana hakuna mshindani wa kutisha.
 
Wafanyakazi wote isipokuwa wale wa Chadema tu Kwasababu hawalipwi na Serkali
Nadhani wewe ungetulia kimya, Mh raisi kutetewa na viazi kama nyie mtasababisha baadhi ya watu wamnyime kura.
 
Nadhani JK, Kanali Kinana Abdulrahman, Mzee Makamba Yusuph na wengine kibao wamewekwa kama jeshi la akiba. Nahisi ndani ya masiku haya hamsini na ushei yaliyobaki ajili ya kampeni wataambiwa wavae jezi waingie kubadilisha hali ya mchezo.

Wenyewe CCM wanatamba kuwa wanazo mbinu 105 za kushinda chaguzi na hadi sasa inatumika mbinu moja tu kati ya hizo. Tusuburi tuone ila mpambano ni mkali sana
Kweli mkuu, kikosi kazi hicho kikiingia itakua balaa
 
Salaam,

Wakuu, Huu mwenendo wa hiii CCM na Mgombea wake kutaka kumuangushia jumba bovu Kikwete, haikubariki. Na kwenye Kampeni za 2020, Msipomshirikisha, CCM itapata kura za aibu. Mtaishia kuiba kura ili kuficha aibu. Sasa mnamchafua Kikwete kwamba kaharibu kwamba hajafanya lolote, basi hata ungemshukuru kwa kukuweka Ikulu na kukufanya ukubalike Geita.

Kwa miaka mitano wamekuwa wakisema hajafanya kitu. Kila siku wanasema vitu vyote kafanya Magufuli. Eti barabara kajenga Magufuli, Madaraja, Hospital, Shule na Maji nk kwamba Magufuli ndo kajenga. Hawana hata aibu.

Ni Kweli Rais Mstaafu Kikwete ana Mapungufu yake lakini aliacha Tanzania ikiwa Moja na amani. Hapakuwa na chuki za Kikabila, Kidini wala Kichama. Sasa hivi CCM na CHADEMA hawazikani. CCM inavibagua vyama vingine na kuviita vya Mabeberu, Wasaliti, Wachochezi na Kila jina baya. Kumbukeni vyama vyote vinaongozwa na Watanzania na Wanachama ni Watanzania.

Kipindi cha Kikwete alikuwa anakusanya Kodi kidogo Wastani wa Bil 800 hadi 900, lakini alikuwa anafanya Vitu vinaonekana. Mishahara ilikuwa ikiongezwa, Watu wanaajiliwa, Watu hawabambikiwi kesi za Uhujumu Uchumi, Watu walikuwa hawalipishwa Kodi ya kukomoa na mengine mengi tu.

Lakini Awamu ya Tano wanadai Wanakusanya Kodi Trilioni 1.2 hadi 1.8, Lakini Walichokifanya hakionekani. Tunasoma kwenye karatasi tu kwamba Viwanda 8,000 Shule zimejengwa na Barabara. Mwisho wa Siku unaona barabara ni zilezile za Kikwete alizojenga nyingine akatoka hazijaisha.

Kwa Miaka Mitano Magufuli hana kitu chake alichokuja nacho Mkoni au wazo lake la kututoa Watanzania Kwenye Umasikini. Kila anachojivunia ni Mawazo na Fikra za Watangulizi wake. Mfano;

1. Kuhamia Dodoma ni Idea ya Mwalimu Nyerere
2. Stiegler's Gorge ni Idea ya Nyerere
3. Flyover zote ni Idea za Jakaya Kikwete
4. TASAF ni Idea ya Mkapa
5. Umeme Vijijini REA ni Idea ya Kikwete nk.

Ila ambacho naona Kajitahidi Magufuli ni
1. Kuminya Uhuru wa Kutoa na Kupata habari
2. Vyama vinavyoshindana na CCM kuitwa vyama vya kiharifu na kwamba ni Wasaliti
3. Watu kutekwa na kupotea
4. Chuki miongoni mwa Watanzania(Hamna Umoja wa Kitaifa hata kwenye mambo ya Kitaifa(Mazishi ya Mkapa ni Mfano)
5. Bunge, Mahakama na Wanaamuliwa cha kufanya.

Dr. Magufuli bado anayo nafasi ya Kumuangukia Jakaya Kikwete ili ampe Ushauri na Support kwenye Uchaguzi huu. Vinginevyo Magufuli ataendelea Kufanya Ziara na Bonanza akidhani ndo Kampeni.
Acha apewe za uso tu maana ndo alituachia huu msiba kwa kiherehere chake
 
Mbona sielewi mkuu ,mpango mkakati wa awamu ya nne uliotekelezwa ni upi? Kuna mkuu alisema kila zama na kitabu chake. Marehemu Mkapa alichukia sana tamko hilo. Mpango mkakati wapaswa kuwa mmoja ambao utatekelezwa kwa awamu. Ikiisha miaka 10 Rais anayefuata aendelee alikofikisha mtangulizi wake
CCM wanasema hivi: mwaka huu wametengeneza mpango mkakati ambao unadumu kwa miaka kumi. Kila Rais anayepita kwa tiketi ya CCM, na kwa utamaduni wao wa miaka kumi kumi, anaukuta huo mpango mkakati ukiwa katikati, yaani miaka 5 tayari kutekelezwa. Akimaliza awamu yake ya kwanza, na mpango unakuwa umeisha, hivyo unatengenezwa mwingine wa miaka kumi. Rais huyo akimaliza ngwe yake ya miaka kumi, ule mpango mkakati alioshiriki kuutengeneza unakuwa umefikia nusu ya muda wake.

Wenyewe wanasema kunakuwa na smooth transition.
 
Salaam,

Wakuu, Huu mwenendo wa hiii CCM na Mgombea wake kutaka kumuangushia jumba bovu Kikwete, haikubariki. Na kwenye Kampeni za 2020, Msipomshirikisha, CCM itapata kura za aibu. Mtaishia kuiba kura ili kuficha aibu. Sasa mnamchafua Kikwete kwamba kaharibu kwamba hajafanya lolote, basi hata ungemshukuru kwa kukuweka Ikulu na kukufanya ukubalike Geita.

Kwa miaka mitano wamekuwa wakisema hajafanya kitu. Kila siku wanasema vitu vyote kafanya Magufuli. Eti barabara kajenga Magufuli, Madaraja, Hospital, Shule na Maji nk kwamba Magufuli ndo kajenga. Hawana hata aibu.

Ni Kweli Rais Mstaafu Kikwete ana Mapungufu yake lakini aliacha Tanzania ikiwa Moja na amani. Hapakuwa na chuki za Kikabila, Kidini wala Kichama. Sasa hivi CCM na CHADEMA hawazikani. CCM inavibagua vyama vingine na kuviita vya Mabeberu, Wasaliti, Wachochezi na Kila jina baya. Kumbukeni vyama vyote vinaongozwa na Watanzania na Wanachama ni Watanzania.

Kipindi cha Kikwete alikuwa anakusanya Kodi kidogo Wastani wa Bil 800 hadi 900, lakini alikuwa anafanya Vitu vinaonekana. Mishahara ilikuwa ikiongezwa, Watu wanaajiliwa, Watu hawabambikiwi kesi za Uhujumu Uchumi, Watu walikuwa hawalipishwa Kodi ya kukomoa na mengine mengi tu.

Lakini Awamu ya Tano wanadai Wanakusanya Kodi Trilioni 1.2 hadi 1.8, Lakini Walichokifanya hakionekani. Tunasoma kwenye karatasi tu kwamba Viwanda 8,000 Shule zimejengwa na Barabara. Mwisho wa Siku unaona barabara ni zilezile za Kikwete alizojenga nyingine akatoka hazijaisha.

Kwa Miaka Mitano Magufuli hana kitu chake alichokuja nacho Mkoni au wazo lake la kututoa Watanzania Kwenye Umasikini. Kila anachojivunia ni Mawazo na Fikra za Watangulizi wake. Mfano;

1. Kuhamia Dodoma ni Idea ya Mwalimu Nyerere
2. Stiegler's Gorge ni Idea ya Nyerere
3. Flyover zote ni Idea za Jakaya Kikwete
4. TASAF ni Idea ya Mkapa
5. Umeme Vijijini REA ni Idea ya Kikwete nk.

Ila ambacho naona Kajitahidi Magufuli ni
1. Kuminya Uhuru wa Kutoa na Kupata habaria
2. Vyama vinavyoshindana na CCM kuitwa vyama vya kiharifu na kwamba ni Wasaliti
3. Watu kutekwa na kupotea
4. Chuki miongoni mwa Watanzania(Hamna Umoja wa Kitaifa hata kwenye mambo ya Kitaifa(Mazishi ya Mkapa ni Mfano)
5. Bunge, Mahakama na Wanaamuliwa cha kufanya.

Dr. Magufuli bado anayo nafasi ya Kumuangukia Jakaya Kikwete ili ampe Ushauri na Support kwenye Uchaguzi huu. Vinginevyo Magufuli ataendelea Kufanya Ziara na Bonanza akidhani ndo Kampeni.

Kama alishindwa kujipigia kampeni mwenyewe, kwa kukosa hoja za ushawishi kutokana na madhambi aliyoifanyia nchi hii kwa sababu ya kulazimisha uongozi bila sifa, si atamfanya rais wtu akose kura kabisa kwa kuwa watu watakumbuka madonda aliyowajeruhi?

Kwanza ninahisi kwa ukaribu sana kwamba kimoyomoyo anaweza kuwa ni team Membe kindani ndaki!.
 
Tungeendelea na huyo mswahili kwa miaka 20 kila kitu kingeuzwa.usitukumbushe mambo ya ricmond, iptl, twiga wanabebwa wazima acha bwana.
Mwambie Magu atuonyeshe ile Tsh 1.5 Trilion alipoiweka!! CAG kumuuliza akamfukuza kazi
 
Dhana ya kuabudu mtu badala ya chama, ilijengwa na akina Makamba, Kinana na Nape.
JPM alikuja kufuta huo upuuzi.
Kwani JK hajui hiki ni kipindi cha kampeni, anasubiri kufuatwa!?
 
Ni ngumu sana kujua Magufuli ni Mtu Wa namna gani...anaweza akaamka akawaambia kuwa "maendereo hayana chama" au "Mimi ni raisi Wa Watanzania wote na ninawapenda sana ndugu zangu au nasema uongo jamaniii!!"

sasa siku akiamka na maruhani kichwani utachoka mwenyewe kumsikiliza kwa pumba atakazotoa, yaani hapo CCM ndio chama cha maana vingine takataka, hapo Maendeleo yanakuwa na chama (yanawahusu wavaa nguo za kijani tu) vyama vingine vinakuwa mashetani...hebu angalia hiki kituko, Wazungu wakitupa misaada ya kifedha anawaita "Wahisani wetu wa maendereo hawa!"

At the same time haohao waliompa pesa wakimshauri au wakitoa takwimu zinazogusa maslahi yake anawaita "Mabhebheru hawa". Dah! Ni ngumu sana kujua huyu mtu kichwa chake kipoje.
Sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom