Uchaguzi 2020 Dkt. Mahera: Tume inaweza kuwafungia kufanya kampeni wagombea wa vyama wanaosambaza matusi badala ya sera

Uchaguzi 2020 Dkt. Mahera: Tume inaweza kuwafungia kufanya kampeni wagombea wa vyama wanaosambaza matusi badala ya sera

Wameanza kubeeb kuwa watamuengua mobea anaetumia lugha za viashiria vya uvunjifu wa hali ya amani,Je imekupitia kwenye akili ni akina nani hao ?

Chadema mumevuruga kwa kuwa hamukuweka wagombea Zanzibar wa Uraisi au Ubunge ,kosa hilo.

Turufu ya CCM ni kuona mkakati wa kuwaengua wagombea ambao wanaonekana wazi wameshaipiku CCM asubuhi wanaenguliwa kwa sababu zinazokuwa introduced katika kipindi hiki au hata kusubiri kiiiiiiiiiiiiiiiiiiipndi cha kati na lala salama.

Kwa sasa Membe abaki hapo hapo alipo asije kujaribu kile wanachokitamani yeboyebo aka CCM .
 
''Kama watu walikuwa wamemchagua mtu atatangazwa kama kashinda, hatumtangazi mtu kwa shinikizo la watu, watu wauze sera zao ili wananchi wawachague kwa manufaa yao na si ya watu wa nje'
Dkt Wilson Mahera acha siasa. You are better than this my friend
 
Hao no Malalamiko FC na Pinga pinga Sports Club yani wao wanajiona saws hata kama wanafanya Upuuuzii we Angalia tu Walivyolichukulia swala LA Corona Na Leo wakoje
acha ushenzi dogo. Hujielewi kabisa na hujui unachokiongea. Funga bakuli lako
 
hawa tume wanafikiri wao kuwa ni nani haswa????
 
Back
Top Bottom