KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,159
- 5,070
Kama sielewielewi vile. Isijekuwa yale ya kale!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyezi Mungu amjalie ahuweni na uponyaji kiongozi wetu huyu mahiri wa kiswahili na Rais wetu mpendwa sana wa awamu ya2 ndrugo A. H. MwinyiRais mstaafu wa awamu ya pili wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Alhaji Ali Hassan Mwinyi anaendelea kupatiwa matibabu ya kifua akiwa chini ya uangalizi wa karibu wa madaktari bingwa
"Anaendelea kupatiwa matibabu na baadhi ya wakati anakuwa na uangalizi wa karibu sana wa madaktari na wamesema kwamba wataendelea kumpa matibabu kwa hapa, hakuna haja kwa sasa ya kumsafirisha labda kama wataona haja ya kufanya hivyo hapo baadaye kwa sababu na umri pia umesogea kidogo lakini mimi chakusema tu ni kwamba tumuombee mzee wetu, tufanye dua, tumuombee aweze kuimarika afya yake na aweze kutoka katika hali hiyo ya maradhi ili aungane na sisi tena tuendelee kupata faida kutoka kwake" -Dkt. Makame
Dkt. Abdallah Makame aliyekuwa Katibu wa Rais mstaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi amezungumza hayo alipofanya mahojiano maalumu na Azam TV Februari 15.2024
duu hata sijaona uo ukarabati wa barabara ok yote kheri tumuombee tu mzee wetuUlikuwa nje ya nchi wiki mbili hizi inamaana huelewi ukarabati wa barabara unao endelea mkuranga?
Kuna fumbo hapo kwanini aliyekuwa? Kwanini asizungumze aliyepo?Dkt. Abdallah Makame aliyekuwa Katibu wa Rais mstaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi amezungumza hayo alipofanya mahojiano maalumu na Azam TV Februari 15.2024
Mhhh! Itakuwa ni taarifa ya uzushi hii. Ila kwa umri wake, bado anastahili kumshukuru Mungu. Maana kama ni chumvi tu, ameila.Taarifa za ndani kabisa, mzee Yuko kwenye makabati ya baridi Lugalo.
Tema mate chini!Tunasubiri kumaliza msiba wa Edward then tutatangaza!
Misiba imegeuzwa / inageuzwa sehemu za kuuza Sura.... Siongelei huyu mzee au mtu yoyote per se...; bali trending mbovu inayoendelea sasa katika jamii yetu...Mzee kaacha maelekezo apelekwe mkulanga, Wai wana taka kumpeleka Zanzibar.
👉 I mean no malice to nobody, maandalizi mkulanga.
View attachment 2905740View attachment 2905742
Sasa Mkuu, si unge andika bila kuni quote Mimi??Misiba imegeuzwa / inageuzwa sehemu za kuuza Sura.... Siongelei huyu mzee au mtu yoyote per se...; bali trending mbovu inayoendelea sasa katika jamii yetu...
Nimeqoute validation ya hizo barabara kuwekwa sawa na kupigwa rami na grader kwahio nimeqoute hizo picha...👉Au unataka validation yangu🤔🙄
Bosi, hii ni barabara ya halmashauri (yenye lami iliyokolea)inaunganisha ofisi ya DC na ile ya DED. Barabara hii imeanza kujengwa tangu mwaka jana miezi ya katikati. Aidha, hiyo barabara yenye ranging iliyopauka ni barabara ya Kisiju (imejengwa mwaka juzi).Kwahiyo, ni vyema tukawa tunasupport hoja zetu kwa mifani isiyo na shaka hata punje. AhsanteMzee kaacha maelekezo apelekwe mkulanga, Wai wana taka kumpeleka Zanzibar.
👉 I mean no malice to nobody, maandalizi mkulanga.
View attachment 2905740View attachment 2905742
Mwinyi mdogo asikilize wosia wa baba yake asimpangie wapi pa kupumzishwa; muda umekwenda!Rais mstaafu wa awamu ya pili wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Alhaji Ali Hassan Mwinyi anaendelea kupatiwa matibabu ya kifua akiwa chini ya uangalizi wa karibu wa madaktari bingwa
"Anaendelea kupatiwa matibabu na baadhi ya wakati anakuwa na uangalizi wa karibu sana wa madaktari na wamesema kwamba wataendelea kumpa matibabu kwa hapa, hakuna haja kwa sasa ya kumsafirisha labda kama wataona haja ya kufanya hivyo hapo baadaye kwa sababu na umri pia umesogea kidogo lakini mimi chakusema tu ni kwamba tumuombee mzee wetu, tufanye dua, tumuombee aweze kuimarika afya yake na aweze kutoka katika hali hiyo ya maradhi ili aungane na sisi tena tuendelee kupata faida kutoka kwake" -Dkt. Makame
Dkt. Abdallah Makame aliyekuwa Katibu wa Rais mstaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi amezungumza hayo alipofanya mahojiano maalumu na Azam TV Februari 15.2024
ndio maana yakeTunasubiri kumaliza msiba wa Edward then tutatangaza!
Acha upuuzi sijui Miafrika mengine yakoje aise. Mnapenda sana taarifa za umbea na uzushi.Tunasubiri kumaliza msiba wa Edward then tutatangaza!
Ila hii mambo ya kuombea vifo viwapate high ranking ccm official inabidi wajitafakari sana hawa viongozi. Hii sio kawaida.
Mnaendekeza uzushi kuliko uhalisia. Kwahiyo chakushangaza nini greda kuchonga barabara Mkuranga ndiyo mara ya kwanza?Yule aliyeona greda linachonga barabara kule Mkuranga akapiga picha....
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Unagombana na nani Sasa? Aliyesema hayupo hapaKwa umri ule bado anasema kua umri umesogea kidogo! mtu anatakiwa awe na umri gani ndio tutoe hilo neno kidogo hapo kwenye hiyo kauli?
mbooa unatoa wasifu? Muda badoMwenyezi Mungu ampe unafuu Mzee wetu. Ametutoa mbali toka kupanga foleni na kadi ya kaya kununua sukari ya ugawaji {NMC},chawa,kunguni funza,viroboto kutokana na ukosefu wa sabuni na mafuta,kusikiliza RTD mpaka kuangalia CNN,BBc,DStv Azam kuvaa kaniki na midabwada yenye viraka pamoja na kutembea peku mpaka Sasa kuwa na machaguo ya nguo na viatu.
Watu wanamiliki magari binafsi kuanzia salon mpaka mamia ya magari,maroli,mabasi mpaka ndege yote ni matokeo ya maamuzi magumu ya kubadili mfumo wa nchi