Dkt. Makame: Hakuna haja ya kumsafirisha Mstaafu Mwinyi kwa matibabu kwasasa (Tumuombee)

Mwenyezi Mungu amjalie ahuweni na uponyaji kiongozi wetu huyu mahiri wa kiswahili na Rais wetu mpendwa sana wa awamu ya2 ndrugo A. H. Mwinyi


R.I.P Laigwanani comrade ENL
 
Dkt. Abdallah Makame aliyekuwa Katibu wa Rais mstaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi amezungumza hayo alipofanya mahojiano maalumu na Azam TV Februari 15.2024
Kuna fumbo hapo kwanini aliyekuwa? Kwanini asizungumze aliyepo?
 
Mzee kaacha maelekezo apelekwe mkulanga, Wai wana taka kumpeleka Zanzibar.
👉 I mean no malice to nobody, maandalizi mkulanga.
View attachment 2905740View attachment 2905742
Bosi, hii ni barabara ya halmashauri (yenye lami iliyokolea)inaunganisha ofisi ya DC na ile ya DED. Barabara hii imeanza kujengwa tangu mwaka jana miezi ya katikati. Aidha, hiyo barabara yenye ranging iliyopauka ni barabara ya Kisiju (imejengwa mwaka juzi).Kwahiyo, ni vyema tukawa tunasupport hoja zetu kwa mifani isiyo na shaka hata punje. Ahsante
 
Mwinyi mdogo asikilize wosia wa baba yake asimpangie wapi pa kupumzishwa; muda umekwenda!
 
Ila hii mambo ya kuombea vifo viwapate high ranking ccm official inabidi wajitafakari sana hawa viongozi. Hii sio kawaida.
 
Kama kawaida saikolojia inachukua nafasi yake kuandaa wananchi kupokea taarifa muda ukiwadia
 
Tunasubiri kumaliza msiba wa Edward then tutatangaza!
Acha upuuzi sijui Miafrika mengine yakoje aise. Mnapenda sana taarifa za umbea na uzushi.

Mzee Mwinyi yupo anaendelea na matibabu na yule ni muislamu hawana ujinga wa kuficha msiba kama upande mwingine.
 
Ila hii mambo ya kuombea vifo viwapate high ranking ccm official inabidi wajitafakari sana hawa viongozi. Hii sio kawaida.

Watz wanatatizo Sana na sio ccm mara nyingi Ta huwaombea WATU hata ambao hawana maslahi nao
 
mbooa unatoa wasifu? Muda bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…