Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
UngepigwaVanilla almanusura nijichangnye aseee😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UngepigwaVanilla almanusura nijichangnye aseee😄
Onhoo tenaKumbe na Vanilla Village ni yeye?
Hela za wajinga ni tamu kweli kweli.
Alisema anakufanyia shughuli zote mnagawana faida tu.Ungepigwa
Mtoa post alitupotosha ila Millard Ayo kaweka wazi kwamba amerudishwa rumande.Urefu Wa Kamba
Makonda juzi juzi alikuwa anamjoki sana eti wawekezaji kama hawa tusiwa-disturb maana wameajiri watu wengi sana ,halafu kuna watu wawili walipelekwa kama chambo tu ili aingizwe kwenye 18.Huyu alikuwa amevumiliwa Sana maana alikuwa anatapeli wazi wazi sijui watu wamekuwa na hela Sana au ujinga umeongezeka .
So sad watu wanaumizwa kwa mambo ambayo wangeyakwepa.
Mfano kuhusu UPATU . hii sio mara ya kwanza watu wanatapeliwa.
Plea bargain itamuokoa...Mr. Manguruwe yamemkuta huko.
Mkurugenzi Mwanzilishi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40) maarufu kwa jina la Dkt. Manguruwe na mwenzake wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakiballiwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka 28.
Katika kesi hiyo, Mkondya na Mwenzake Rweyemamu John ambaye ni Mkaguzi wa kiwanda hicho wanakabiliwa na mashtaka 19 ya upatu na mashtaka tisa ya kutakatisha viwanja vilivyopo huko Njombe eneo la Idunda.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo na wakili wa serikali Job Mrema mbele ya Hakimu Mkazi Aaron Lyamuya inadai washtakiwa walitenda kosa hilo kati ya January Mosi 2020 na Desemba 2023 jijini Dar es Salaam.
Inadaiwa katika kipindi hicho Mkondya akiwa kama Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla pamoja na mkaguzi wake huyo walifanya biashara ya upatu kwa kuwaahidi watu kuwa ukitoa kiasi chochote cha pesa utapata faida mara tatu ya kiasi ulichotoa.
Inadaiwa washitakiwa walijipatia jumla ya Sh Milioni 92.2 kutoka kwa watu kumi na tisa tofauti ikiwa kila mmoja alimpatia kiasi chake cha fedha akimuahidi kuwa fedha hizo zingezaa mara tatu ya zile alizotoa.
Katika mashtaka tisa ya utakatishaji mshtakiwa Mkondya peke yake anadaiwa katika kipindi hicho hicho, akiwa ndani ya Mkoa wa Dar es salaam alijipatia jumla ya viwanja tisa vitalu namba Ab vilivyopo eneo la Idunda Mkoani Njombe huku akijua kuwa viwanja hivyo ni mazalia ya kosa tangulizi la upatu.
Hata hivyo washtakiwa hawakuruhusiwa kujibu kitu chochote mahakamani hapo kwa kuwa mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi za uhujumu uchumi ambazo kwa kawaida husikilizwa mahakama Kuu ama kwa kupewa kibali kutoka kwa mkurugenzi wa mashtaka DPP.
Kwa mujibu wa upande wa mashtaka upelelezi katika kesi hiyo bado haujakamilika.
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Novemba 19,2024 itakapokuja kwa ajili ya kutajwa. Mshtakiwa amerudishwa rumande.
Soma, Pia: Dkt. Manguruwe anyooshewa kidole akidaiwa kufanya utapeli kwa baadhi ya wateja walioitikia kuwekeza kwenye kampuni yake
Daa! Kweli wajinga ndio waliwao. Ni kama DESI. Halafu anajitangaza hadi kwenye redio za dini, kama WAPO Radio.Huyu alikuwa amevumiliwa Sana maana alikuwa anatapeli wazi wazi sijui watu wamekuwa na hela Sana au ujinga umeongezeka .
So sad watu wanaumizwa kwa mambo ambayo wangeyakwepa.
Mfano kuhusu UPATU . hii sio mara ya kwanza watu wanatapeliwa.
Daa! Kweli wajinga ndio waliwao. Ni kama ilivyokuwa DESI. Halafu anajitangaza hadi kwenye redio za dini, kama WAPO Radio.
Ajapata dhamana,na pia kesi ya uhujumu uchumi ina dhamana,ila mara nyingi unalipa robo tatu ya kiaisi cha ghalama ya iyo case, Ila hao jamaa wana kesi pia ya money laundaringKesi za uhujumu uchumi zina dhamana siku hizi?
Huyo jamaa ili atoke kwenye plea bargain awalipe watu wote aliowatapeli.Ajapata dhamana,na pia kesi ya uhujumu uchumi ina dhamana,ila mara nyingi unalipa robo tatu ya kiaisi cha ghalama ya iyo case, Ila hao jamaa wana kesi pia ya money laundaring
Jamaa una chuki na uislam mbwa wewe,wapi kawatapeli masheikh hapo?Kawa motivate Masheikh na Maustaadhi wakimbilie kufuga nguruwe, kumbe yeye mwenyewe kilichomtoa na kumfanya aikike mjini siyo nguruwe
Ndiyo unavyojidanganya kuwa nina chuki? Unajikasirisha mpaka akili zinakutoka na kushindwa kuelewa kilichoandikwa. Mimi na Waislam ni damdam , one love, hata ndani ya familia tuna waislam wa kutosha, ila siyo waliojitwika imani kipuuzi kama wewe, lazima mnichukie, uwe Muislam, uwe Myahudi, uwe Mkristo , uwwe msomi au haujasoma ili mradi ukiwa mpuuzi tu lazima unichukie sababu lazima nikupe knucles za kutosha.Jamaa una chuki na uislam mbwa wewe,wapi kawatapeli masheikh hapo?
Scandal ya vanilla imeibuka.Mr. Manguruwe yamemkuta huko.
Mkurugenzi Mwanzilishi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40) maarufu kwa jina la Dkt. Manguruwe na mwenzake wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakiballiwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka 28.
Katika kesi hiyo, Mkondya na Mwenzake Rweyemamu John ambaye ni Mkaguzi wa kiwanda hicho wanakabiliwa na mashtaka 19 ya upatu na mashtaka tisa ya kutakatisha viwanja vilivyopo huko Njombe eneo la Idunda.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo na wakili wa serikali Job Mrema mbele ya Hakimu Mkazi Aaron Lyamuya inadai washtakiwa walitenda kosa hilo kati ya January Mosi 2020 na Desemba 2023 jijini Dar es Salaam.
Inadaiwa katika kipindi hicho Mkondya akiwa kama Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla pamoja na mkaguzi wake huyo walifanya biashara ya upatu kwa kuwaahidi watu kuwa ukitoa kiasi chochote cha pesa utapata faida mara tatu ya kiasi ulichotoa.
Inadaiwa washitakiwa walijipatia jumla ya Sh Milioni 92.2 kutoka kwa watu kumi na tisa tofauti ikiwa kila mmoja alimpatia kiasi chake cha fedha akimuahidi kuwa fedha hizo zingezaa mara tatu ya zile alizotoa.
Katika mashtaka tisa ya utakatishaji mshtakiwa Mkondya peke yake anadaiwa katika kipindi hicho hicho, akiwa ndani ya Mkoa wa Dar es salaam alijipatia jumla ya viwanja tisa vitalu namba Ab vilivyopo eneo la Idunda Mkoani Njombe huku akijua kuwa viwanja hivyo ni mazalia ya kosa tangulizi la upatu.
Hata hivyo washtakiwa hawakuruhusiwa kujibu kitu chochote mahakamani hapo kwa kuwa mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi za uhujumu uchumi ambazo kwa kawaida husikilizwa mahakama Kuu ama kwa kupewa kibali kutoka kwa mkurugenzi wa mashtaka DPP.
Kwa mujibu wa upande wa mashtaka upelelezi katika kesi hiyo bado haujakamilika.
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Novemba 19,2024 itakapokuja kwa ajili ya kutajwa. Mshtakiwa amerudishwa rumande.
Soma, Pia: Dkt. Manguruwe anyooshewa kidole akidaiwa kufanya utapeli kwa baadhi ya wateja walioitikia kuwekeza kwenye kampuni yake