Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kiboko ya wachawi.....tabu iko palepaleWale wale wa:
DECI
LOLIONDO
NAMAYINGU
MANGURUWE
MWAMPOSA!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiboko ya wachawi.....tabu iko palepaleWale wale wa:
DECI
LOLIONDO
NAMAYINGU
MANGURUWE
MWAMPOSA!
Unahamisha goli kujifariji?Kawa motivate Masheikh na Maustaadhi wakimbilie kufuga nguruwe, kumbe yeye mwenyewe kilichomtoa na kumfanya aikike mjini siyo nguruwe
Hivi watu kama hawa wakibainika na makosa ya jinai hawawezi kunyongwa.....sheria ya nchi inasemaje juu yao?Mr. Manguruwe yamemkuta huko.
Mkurugenzi Mwanzilishi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40) maarufu kwa jina la Dkt. Manguruwe na mwenzake wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakiballiwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka 28.
Katika kesi hiyo, Mkondya na Mwenzake Rweyemamu John ambaye ni Mkaguzi wa kiwanda hicho wanakabiliwa na mashtaka 19 ya upatu na mashtaka tisa ya kutakatisha viwanja vilivyopo huko Njombe eneo la Idunda.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo na wakili wa serikali Job Mrema mbele ya Hakimu Mkazi Aaron Lyamuya inadai washtakiwa walitenda kosa hilo kati ya January Mosi 2020 na Desemba 2023 jijini Dar es Salaam.
Inadaiwa katika kipindi hicho Mkondya akiwa kama Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla pamoja na mkaguzi wake huyo walifanya biashara ya upatu kwa kuwaahidi watu kuwa ukitoa kiasi chochote cha pesa utapata faida mara tatu ya kiasi ulichotoa.
Inadaiwa washitakiwa walijipatia jumla ya Sh Milioni 92.2 kutoka kwa watu kumi na tisa tofauti ikiwa kila mmoja alimpatia kiasi chake cha fedha akimuahidi kuwa fedha hizo zingezaa mara tatu ya zile alizotoa.
Katika mashtaka tisa ya utakatishaji mshtakiwa Mkondya peke yake anadaiwa katika kipindi hicho hicho, akiwa ndani ya Mkoa wa Dar es salaam alijipatia jumla ya viwanja tisa vitalu namba Ab vilivyopo eneo la Idunda Mkoani Njombe huku akijua kuwa viwanja hivyo ni mazalia ya kosa tangulizi la upatu.
Hata hivyo washtakiwa hawakuruhusiwa kujibu kitu chochote mahakamani hapo kwa kuwa mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi za uhujumu uchumi ambazo kwa kawaida husikilizwa mahakama Kuu ama kwa kupewa kibali kutoka kwa mkurugenzi wa mashtaka DPP.
Kwa mujibu wa upande wa mashtaka upelelezi katika kesi hiyo bado haujakamilika.
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Novemba 19,2024 itakapokuja kwa ajili ya kutajwa. Mshtakiwa amerudishwa rumande.
Soma, Pia: Dkt. Manguruwe anyooshewa kidole akidaiwa kufanya utapeli kwa baadhi ya wateja walioitikia kuwekeza kwenye kampuni yake
Hivi watu kama hawa wakibainika na makosa ya jinai hawawezi kunyongwa.....sheria ya nchi inasemaje juu yao?
Yes ili kushikisha watu adabu, si unajua adhabu ya mwizi ni kifo?Unapenda sana kuua eeh!
Sasa kama walijua mahakama yenyewe haina mamlaka ya kusikiliza hiyo kesi kwanini waliipeleka kesi hapo?Hata hivyo washtakiwa hawakuruhusiwa kujibu kitu chochote mahakamani hapo kwa kuwa mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi za uhujumu uchumi ambazo kwa kawaida husikilizwa mahakama Kuu
Yule ana helaDebe tupu, haliachi kutika. Mshana Jr alitahadharisha hapa..hakuna mtu mwenye hela halafu ana kelele. Hela zinajieleza zenyewe.
Ukiona mtu anatamba mji mzima ana hela, muogope kama ukoma. hana hizo hela anazosema. Kuna mengi nyuma ya pazia.
Kuna yule mmoja anasumbua sana. Usiku mmoja nikaona msafara unatembea huku uswekeni magari yote yana jina lake. Nikamkumbuka Mshana
😀😀Amebaki tapeli wa tiktok mzee wa mbao nyekundu
Hawa matapeli ndio wanaotuharibia vijana kwa kujifanya wajuwaji kumbe wahuni na WEZI tu!Mr. Manguruwe yamemkuta huko.
Mkurugenzi Mwanzilishi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40) maarufu kwa jina la Dkt. Manguruwe na mwenzake wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakiballiwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka 28.
Katika kesi hiyo, Mkondya na Mwenzake Rweyemamu John ambaye ni Mkaguzi wa kiwanda hicho wanakabiliwa na mashtaka 19 ya upatu na mashtaka tisa ya kutakatisha viwanja vilivyopo huko Njombe eneo la Idunda.
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo na wakili wa serikali Job Mrema mbele ya Hakimu Mkazi Aaron Lyamuya inadai washtakiwa walitenda kosa hilo kati ya January Mosi 2020 na Desemba 2023 jijini Dar es Salaam.
Inadaiwa katika kipindi hicho Mkondya akiwa kama Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla pamoja na mkaguzi wake huyo walifanya biashara ya upatu kwa kuwaahidi watu kuwa ukitoa kiasi chochote cha pesa utapata faida mara tatu ya kiasi ulichotoa.
Inadaiwa washitakiwa walijipatia jumla ya Sh Milioni 92.2 kutoka kwa watu kumi na tisa tofauti ikiwa kila mmoja alimpatia kiasi chake cha fedha akimuahidi kuwa fedha hizo zingezaa mara tatu ya zile alizotoa.
Katika mashtaka tisa ya utakatishaji mshtakiwa Mkondya peke yake anadaiwa katika kipindi hicho hicho, akiwa ndani ya Mkoa wa Dar es salaam alijipatia jumla ya viwanja tisa vitalu namba Ab vilivyopo eneo la Idunda Mkoani Njombe huku akijua kuwa viwanja hivyo ni mazalia ya kosa tangulizi la upatu.
Hata hivyo washtakiwa hawakuruhusiwa kujibu kitu chochote mahakamani hapo kwa kuwa mahakama hiyo haina mamlaka ya kusikiliza kesi za uhujumu uchumi ambazo kwa kawaida husikilizwa mahakama Kuu ama kwa kupewa kibali kutoka kwa mkurugenzi wa mashtaka DPP.
Kwa mujibu wa upande wa mashtaka upelelezi katika kesi hiyo bado haujakamilika.
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Novemba 19,2024 itakapokuja kwa ajili ya kutajwa. Mshtakiwa amerudishwa rumande.
Soma, Pia: Dkt. Manguruwe anyooshewa kidole akidaiwa kufanya utapeli kwa baadhi ya wateja walioitikia kuwekeza kwenye kampuni yake
Watu wamepigwa kiboya sanaNa atachomoka atarudi kuwapiga wajinga tena
Hizi media zinatumiwa sana kuwakuza
Ova
Ukiona mtu anatamba mji mzima ana hela, muogope kama ukoma. hana hizo hela anazosema. Kuna mengi nyuma ya pazia.🥍Debe tupu, haliachi kutika. Mshana Jr alitahadharisha hapa..hakuna mtu mwenye hela halafu ana kelele. Hela zinajieleza zenyewe.
Ukiona mtu anatamba mji mzima ana hela, muogope kama ukoma. hana hizo hela anazosema. Kuna mengi nyuma ya pazia.
Kuna yule mmoja anasumbua sana. Usiku mmoja nikaona msafara unatembea huku uswekeni magari yote yana jina lake. Nikamkumbuka Mshana
Uso wenye hatia huogopa macho ya watuHivi,mtuhumiwa kujifunika uso mahakamani,polisi nk huwa inamsaidia nini?Wawe wanaacha tuone vichwa vyao vilivyochongoka kama punje za mchele.