Dkt. Manguruwe matatani, asomewa mashtaka 28 ya utapeli, uhujumu Uchumi

Huyu alikuwa amevumiliwa Sana maana alikuwa anatapeli wazi wazi sijui watu wamekuwa na hela Sana au ujinga umeongezeka .

So sad watu wanaumizwa kwa mambo ambayo wangeyakwepa.

Mfano kuhusu UPATU . hii sio mara ya kwanza watu wanatapeliwa.
Makonda juzi juzi alikuwa anamjoki sana eti wawekezaji kama hawa tusiwa-disturb maana wameajiri watu wengi sana ,halafu kuna watu wawili walipelekwa kama chambo tu ili aingizwe kwenye 18.
 
tunarudi kulekule ukiona tajiri anakuwa chawa jua kuna dhambi anafunika

huyu jamaa alikuwa analazimisha umaarufu
 
Plea bargain itamuokoa...
 
Huyu alikuwa amevumiliwa Sana maana alikuwa anatapeli wazi wazi sijui watu wamekuwa na hela Sana au ujinga umeongezeka .

So sad watu wanaumizwa kwa mambo ambayo wangeyakwepa.

Mfano kuhusu UPATU . hii sio mara ya kwanza watu wanatapeliwa.
Daa! Kweli wajinga ndio waliwao. Ni kama DESI. Halafu anajitangaza hadi kwenye redio za dini, kama WAPO Radio.
 
Ajapata dhamana,na pia kesi ya uhujumu uchumi ina dhamana,ila mara nyingi unalipa robo tatu ya kiaisi cha ghalama ya iyo case, Ila hao jamaa wana kesi pia ya money laundaring
Huyo jamaa ili atoke kwenye plea bargain awalipe watu wote aliowatapeli.
 
Unapotafuta pesa kuna njia nyingi binadamu unaweza kupitia kama kutapeliwa, kuibiwa na kukutana na kadhia mbalimabali. Hao jamaa hawakupenda kutapeliwa ila Kuna muda huyu jamaa kama alikua verified hivi.. kwani kipindi mambo hayo anayafanya hadharani mamlaka zilikuwa wapi. Tena jamaa alipewa airtime na vyombo vikubwa vya habari. Kwa muktadha huo ilikua raisi watu kuingizwa mkenge
 
Hakuna hela rahisi duniani, kupenda urahisi na tamaa ndio watu hugeuzwa futsa.

Ngoja nianze kuwaletea utajiri wa majini ya bermuda na mimi niwapige hela.
 
Jamaa una chuki na uislam mbwa wewe,wapi kawatapeli masheikh hapo?
Ndiyo unavyojidanganya kuwa nina chuki? Unajikasirisha mpaka akili zinakutoka na kushindwa kuelewa kilichoandikwa. Mimi na Waislam ni damdam , one love, hata ndani ya familia tuna waislam wa kutosha, ila siyo waliojitwika imani kipuuzi kama wewe, lazima mnichukie, uwe Muislam, uwe Myahudi, uwe Mkristo , uwwe msomi au haujasoma ili mradi ukiwa mpuuzi tu lazima unichukie sababu lazima nikupe knucles za kutosha.
 
Scandal ya vanilla imeibuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…