Dkt. Manguruwe matatani, asomewa mashtaka 28 ya utapeli, uhujumu Uchumi

Wanatupiaga kelele hawa jamaa wa type hii...
Tafuteni pesaaa.,..

Pesa halali ngumu jamani..
Bado yule kijana wenu mpiga kelele wa darasa wa kuitwa Godlofa sijui Godlonya siku zake zinahesabika
 

Hivi huwa wanaogopa nini kupelekea kuhangaika kufunika uso?

Hiyo ni mahakama ya watu kwa ajili ya watu, sioni sababu!

Kahangaika wee kuficha uso kwa Tshirt, baadaye akajiachia, sasa ndiyo nini!

Ishi kwa uadilifu basi kama hupendi kukanyaga viunga hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…