Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Sijazungumzia uzur popote mkuu. Nimeongelea utamuKweli uzuri wa mtu upo machoni mwa mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijazungumzia uzur popote mkuu. Nimeongelea utamuKweli uzuri wa mtu upo machoni mwa mtu.
Hahaha ulimkula nini?Sijazungumzia uzur popote mkuu. Nimeongelea utamu
Bahati nzuri hakuvunja ndoa kama Yule wa segerea, wa segerea alikamatwa live chumbani akiliwa
Bo nerFungua code "Wa Segerea"
Open bracketsBo ner
Alikuwa anatimiza wajibu wake, she's now a spent force,sasa hivi ni kuwarithisha mikoba vijana,wazee tubaki kutoa ushauri.Mchango anao tena mkubwa sana. TASAF unayoiona leo ni matokeo ya kazi na ubunifu wake. Kuhusu kuibuliwa wengine hii sasa ndio hoja ya msingi ya serikali kuifanyia kazi.
Bro ni sumaye.....Alimlea kisiasa akamkuza finally akamwachia jimboJk alikua anakamatia miguu
Alimzingua nini Sumaye?Laana ya sumaye inamuandama
Mi nimeajili watu 20, mama amemwajili nani?Wewe Una mchango gani kwa taifa lipi?
Mama Ako alikuwa chakula ya jk.Wewe Una mchango gani kwa taifa lipi?
😀🤣😅Sema yule mama alikua amekaa utamu sana..Dooh JK alikua alikua anakula vitam sana
Kijana ukamteue aongee pumba?Halafu kesho tuu unarudi na Uzi hapa Jf
Vijana hawana ajira
Watanzania bana wala hatujui tunachohitaji tunajiendea tuu bora tuione kesho
Wanawake wa UWT Arusha ndio waliomleta na kimtambulisha kwenye siasa na hatimaye kuwa hapo alipofikBro ni sumaye.....Alimlea kisiasa akamkuza finally akamwachia jimbo
Alimtukana sana 2015 wakati Sumaye anaungana na Lowasa, 2017 sumaye alikua analalamika kwa rafiki yake nlimskia akisema jinsi Mary alishiriki kumhujumu wakati wa "mpaka atembee kavaa malapa"Alimzingua nini Sumaye?
Sumaye atampa nani laana?Laana ya sumaye inamuandama
Ubunifu wake au wa wataalamu??Mchango anao tena mkubwa sana. TASAF unayoiona leo ni matokeo ya kazi na ubunifu wake. Kuhusu kuibuliwa wengine hii sasa ndio hoja ya msingi ya serikali kuifanyia kazi.
Wataalamu wanasimamiwa na nani??? Na je mwisho wa siku anayeamua ni nani??? Kimsingi issue kama ya TASAF ni wazo aliloliasisi yeye mwenyewe na kumuomba kiongozi wa benki ya Dunia asaidie na liwe chini ya ofisi ya Rais. Hii ni baada ya kuwa ameona Malawi wameamzisha MASAFUbunifu wake au wa wataalamu??
AsanteWataalamu wanasimamiwa na nani??? Na je mwisho wa siku anayeamua ni nani??? Kimsingi issue kama ya TASAF ni wazo aliloliasisi yeye mwenyewe na kumuomba kiongozi wa benki ya Dunia asaidie na liwe chini ya ofisi ya Rais. Hii ni baada ya kuwa ameoma Malawi wameamzisha MASAF