JK alikuwa anateua pisi zenye akili na mvuto Salome Mbatia,Batildq Buriani,Marry Nagu etcMama Ako alikuwa chakula ya jk.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JK alikuwa anateua pisi zenye akili na mvuto Salome Mbatia,Batildq Buriani,Marry Nagu etcMama Ako alikuwa chakula ya jk.
Nundu tatu alijua kuwala doh!Nilitaka nikushushie gazeti nkaona haina maana sana lkn kiufupi safar ya marry nagu na sumaye inafanana kbs jokate na jenista mhagama
Sema sipendagi kudiscus hizi mambo za siasa...ila uchaguzi ukiwa huru jokate hata udiwani hawezi pata 2025 tusubirie kikubwa uhaiPeramiho 2025 tunamchagua Dr Jokate Urban Mwegelo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani ameenda straight to the point na kama vile anadai haki yake
TASAF imeleta mabadiliko gani kwa umaskini wa nchi hii??Wataalamu wanasimamiwa na nani??? Na je mwisho wa siku anayeamua ni nani??? Kimsingi issue kama ya TASAF ni wazo aliloliasisi yeye mwenyewe na kumuomba kiongozi wa benki ya Dunia asaidie na liwe chini ya ofisi ya Rais. Hii ni baada ya kuwa ameona Malawi wameamzisha MASAF
Hivi Mganga Mkuu wa serikali Professor Tumaini Nagu, ni Mtoto wa huyu Mama?Ikiwa kakumbukwa Adadi Rajabu kwanini na Dr Mary Nagu asipewe maisha Tena?
Soma >> Rais Samia ateua Wenyeviti na Makamu Wenyeviti wa Bodi za TMA, Mkonge na Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi
Tumeamua kwenda na wastaafu, basi twende nao wote, tusibague. #Uzee_dawa#
Kuna Watanzania mil.62 kwanini yeye kwani Ana kipi kipya mwacheni alee vitukuuIkiwa kakumbukwa Adadi Rajabu kwanini na Dr Mary Nagu asipewe maisha Tena?
Soma >> Rais Samia ateua Wenyeviti na Makamu Wenyeviti wa Bodi za TMA, Mkonge na Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi
Tumeamua kwenda na wastaafu, basi twende nao wote, tusibague. #Uzee_dawa#
[emoji28][emoji28]Naona mjukuu wa Dr Nagu unataka mrija wa asali upitie na kwenu ulambe nawewe..... umesikika!
Adadi ni mtu wa IjumaaIkiwa kakumbukwa Adadi Rajabu kwanini na Dr Mary Nagu asipewe maisha Tena?
Soma >> Rais Samia ateua Wenyeviti na Makamu Wenyeviti wa Bodi za TMA, Mkonge na Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi
Tumeamua kwenda na wastaafu, basi twende nao wote, tusibague. #Uzee_dawa#
System ni mbovu haswaPale mwenye njaa badala ya kujiombea yeye anamwombea mwenye shibe azidi kulishwa
Adadi ana nn ambacho Watanzania wengine hawana?Kuna Watanzania mil.62 kwanini yeye kwani Ana kipi kipya mwacheni alee vitukuu
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
TASAF imeleta mabadiliko gani kwa umaskini wa nchi hii
Mkuu Yoda, kamwe ni vigumu kuizungumzia njia ambayo hujawahi kupita. Kuna watu wengi wamesomeshwa na kulelewa na TASAF. Leo hii kuna watu wanamiliki mifugo kama mbuzi na wanaendesha maisha yao kwa sababu ya TASAF. Je ni kweli TASAF haijafanya kitu kwa wananchi wa kaya masikini???TASAF imeleta mabadiliko gani kwa umaskini wa nchi hii??
Kwakwel..hata wewe utazeeka tu.Ameshazeeka
Ahahahaha..Ujue we unachanganya uzuri wa mtu na vitu vingine 😅😂.Ivan ni nyege uko nazo au? Mbona ni wa kawaida tu hana maajabu 🙄
Ahahahah.Nafikir ni vyote mkuu hilo liko waz 😂Vasco Dagama was very comfortable with women sijui kwa nini? Haiba yake au ukola?
Samia ni mbaguzi anapendelea waislaam na wazanzibari. Kila uteuzi utaona kama sawa ila kuna watu hawastahili vigezo ila wanawekwa kiupendeleo kubalance hesabu.Ikiwa kakumbukwa Adadi Rajabu kwanini na Dr Mary Nagu asipewe maisha Tena?
Soma >> Rais Samia ateua Wenyeviti na Makamu Wenyeviti wa Bodi za TMA, Mkonge na Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi
Tumeamua kwenda na wastaafu, basi twende nao wote, tusibague. #Uzee_dawa#
Ukiachana na maslah ya kisiasa kama ambavyo mtu yoyote yule angefanya hivyo ila wanawake ni viumbe wa kuwa nao macho sana. Haijalishi utamfanyia fadhila kias gani ila one mistake a thousands goals. Sekunde tu anakuchenjia kama sio yuleAlimgeuka akahamia kwa Lowassa halafu akagombea UNEC Manyara ambao Sumaye alikuwa naye anagombea. Kwa msaada wa Lowassa Nagu akamshinda Sumaye. Tangia hapo uadui ukaanza.