Alpaslan Bey
Senior Member
- Nov 4, 2023
- 121
- 163
Boss, hayo sasa ni mapungufu ya watu wachache hasa wanasiasa katika ngazi ya kata na vijiji kupendelea watu ambao wana maslahi nao ila malengo halisi ya TASAF sio hivyo wafanyavyo baadhi ya watendajiTASAF hii hii inayowaacha masikini wa kweli na kusajili watu wenye uwezo au?