MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Nitafurahi sana Jokate akimng'oa JenistaNilitaka nikushushie gazeti nkaona haina maana sana lkn kiufupi safar ya marry nagu na sumaye inafanana kbs jokate na jenista mhagama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitafurahi sana Jokate akimng'oa JenistaNilitaka nikushushie gazeti nkaona haina maana sana lkn kiufupi safar ya marry nagu na sumaye inafanana kbs jokate na jenista mhagama
mzee magu hajambo?Duuh jamaa hawawezi kuishi bila uteuzi aisee.
Huyu mkwere mbona mna msingizia mambo Mengi sana!Sema yule mama alikua amekaa utamu sana..Dooh JK alikua alikua anakula vitam sana
Tupe zake zilikuaje kuaje kamanda?Huyu mkwere mbona mna msingizia mambo Mengi sana!
Kwa wale wanaomjua ukware wake watakuambia yule alikuwa sio type yake!
Huyu mkwere mbona mna msingizia mambo Mengi sana!
Kwa wale wanaomjua ukware wake watakuambia yule alikuwa sio type yake!
Type ya Vaso Dagama ni kama yule mama wa kipare alimzawadia ubalozi South Africa enzi ya swahiba wake Zuma!
Kwani Mary Nagu anaswali Ijumaa!Ikiwa kakumbukwa Adadi Rajabu kwanini na Dr Mary Nagu asipewe maisha Tena?
Soma >> Rais Samia ateua Wenyeviti na Makamu Wenyeviti wa Bodi za TMA, Mkonge na Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi
Tumeamua kwenda na wastaafu, basi twende nao wote, tusibague. #Uzee_dawa#
Labda kistaarabu jenista amuachieNitafurahi sana Jokate akimng'oa Jenista
ebu tupate picha yake ya karibuni tafadhali,Ameshazeeka
Usiute wewe ni Jk 🤣🤣🤣Ahahahaha..Ujue we unachanganya uzuri wa mtu na vitu vingine 😅😂.
Kwan hujawah kuwasikia wale watu wanaulizwa "we umempendea nini huyu?"
Af wao wanajibu "nyie achen tu, hamuwez kunielewa, hamjui tu !!" 🤣🤣🤣
Ahahaha..inawezekana maana hata Juma khalid nae ni JKUsiute wewe ni Jk 🤣🤣🤣
Tatizo king'amuzi tu.Sema yule mama alikua amekaa utamu sana..Dooh JK alikua alikua anakula vitam sana
Dr. umeona ujitie kiberiti mwenyewe.Ikiwa kakumbukwa Adadi Rajabu kwanini na Dr Mary Nagu asipewe maisha Tena?
Soma >> Rais Samia ateua Wenyeviti na Makamu Wenyeviti wa Bodi za TMA, Mkonge na Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi
Tumeamua kwenda na wastaafu, basi twende nao wote, tusibague. #Uzee_dawa#
There is no CORRELLETION between performance and AGE! Berkshire Hathaway ni kampuni huko marekani inayoongozwa na wazee wa miaka Zaidi ya 90 na hata hivyo is one of the most profitable investment vehicles!Sijui alosema wajumbe na wenyeviti wa bodi lazima wawe wazee ni nani?
Tunataka Vijana wenye maono mapya .
Utarabu wa uteuzi hautoi fursa Sawa na uwajibikaji.
Siyo kweli. TASAF siyo kazi ya Mary Nagu. TASAF ni project ya World Bank inayosapoti kaya maskini. Ni Bakili Muluzi ndiyo alimpa "assist" Ben Mkapa mwaka 1998 baada ya Mkapa kumsaidia Bakili Muluzi kwenye kampeni za mwaka huo ambapo Bendi ya TOT iliweka kambi ya miezi 3 kule chini ya John Komba.Mchango anao tena mkubwa sana. TASAF unayoiona leo ni matokeo ya kazi na ubunifu wake. Kuhusu kuibuliwa wengine hii sasa ndio hoja ya msingi ya serikali kuifanyia kazi.
TASAF hii hii inayowaacha masikini wa kweli na kusajili watu wenye uwezo au?Mkuu Yoda, kamwe ni vigumu kuizungumzia njia ambayo hujawahi kupita. Kuna watu wengi wamesomeshwa na kulelewa na TASAF. Leo hii kuna watu wanamiliki mifugo kama mbuzi na wanaendesha maisha yao kwa sababu ya TASAF. Je ni kweli TASAF haijafanya kitu kwa wananchi wa kaya masikini???
Mhagama yuko tuuu hakossgiNitafurahi sana Jokate akimng'oa Jenista