Jokate ni mtoto wa dada wa Jenista. Na Jenista ndiye anamtengenezea Jokate political career
Kumbeeee?!
Okey!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jokate ni mtoto wa dada wa Jenista. Na Jenista ndiye anamtengenezea Jokate political career
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mary nagu anapoamua kujilipua!
ILI iweje.Ikiwa kakumbukwa Adadi Rajabu kwanini na Dr Mary Nagu asipewe maisha Tena?
Soma >> Rais Samia ateua Wenyeviti na Makamu Wenyeviti wa Bodi za TMA, Mkonge na Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi
Tumeamua kwenda na wastaafu, basi twende nao wote, tusibague. #Uzee_dawa#
Kama ni mchapa kazi kwanini asiteuliwe?Huyo mazeri ni kwere kwerekweche.... hajawahi kosa teuzi. Yaani baraza la mawaziri ni kama sebuleni kwake
Jenista ana waganga kama wote, mbona itakuwa shughuli hiyo 2025Labda kistaarabu jenista amuachie
Waganga Sio issues mazee! Kwan nani alikuambia jokate ni mweupe sana kwenye hayo mambo? Si ajabu anamzidi jenistaJenista ana waganga kama wote, mbona itakuwa shughuli hiyo 2025
Lakini pia wanaundugu wa karibu kabisaWaganga Sio issues mazee! Kwan nani alikuambia jokate ni mweupe sana kwenye hayo mambo? Si ajabu anamzidi jenista
Sina hakika sana ila nachojua safari ya jokate katika ukuaji wake, safari ya elimu, maisha yake akiwa kama mwanamitindo mpaka anaingia kwenye siasa alikua chini ya Jenista MhagamaLakini pia wanaundugu wa karibu kabisa
Watoto was 2000Akumbukwe ili iweje?? Kwani anatija gani kwenye taifa hili? Kwani Yeye ndie msomi pekee kwenye hii nchi?? zama zake zimepita, waibuliwe na wengine. Merry Nagu Hana mchango wowote!!akalee wajukuu.
Kumbe Batilda nae ni Pisi na huyo Maria Naguu ?JK alikuwa anateua pisi zenye akili na mvuto Salome Mbatia,Batildq Buriani,Marry Nagu etc
PhD feki zilizoorodheshwa kwenye kitabu cha Msemakweli nayo hii ilikuwapoPhD holder