Kiongozi usemacho ni ukweli usio na chembe ya mashakaDeath bed ya wanasiasa wengi wa upinzani ni ccm. Huyu bwana sawa na wengine wote wanaotoka upinzani na kuhamia ccm wanapofika huko ndio inakuwa mwisho wao kisiasa.
Huyu bwana alipokuwa upinzani alikuwa ni moto wa kuotea mbali sawa tu na alivyo Lissu leo hii lkn nyota yake ilizimika tu pale alipohamia ccm kiasi kuwa wengine tulifikiri aliishakufa kitambo, kumbe alikuwa bado angali hai..!!
Anyway, ccm ndio kaburi la wanasiasa wa upinzani na bado wakienda huko watazidi kufa tu kisiasa. RIP, hata hivyo.
Wameipotosha haki.
Msewe kanisani kuna mama mmoja marehemu alikuwa Mganda ameolewa na mzungu, akampa kighorofa kidogo kijana mmoja wa kihaya baada ya kurudi UgandaMitaa yetu ya zamani kuanzia hunters kuelekea msewe kanisani
Nccr ilivurugwa na Mrema na huyu mdogo wake Mbatia!Timu ya NCCR ilikuwa kiboko baadae ikahujumiwa tukawapoteza tuliowaamini. Upinzani na WATU wenye mioyo ya kuamini haki na utengamano ktk jamii.
Tuka fubaa ndiyo maana mpk sasa hivi NCCR haina maana tena. Ni chama kilicho jaa wanasiasa wanafiki na waongo RIP Dr. Ila ushujaa wako uliishia kuwavunja moyo wapenda haki. Lala Kwa amani
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo kijana mdogo wa kihaya ndio wewe?Msewe kanisani kuna mama mmoja marehemu alikuwa Mganda ameolewa na mzungu, akampa kighorofa kidogo kijana mmoja wa kihaya baada ya kurudi Uganda
Tangi si limefyekwa! Hakuna tangi tena kulikuwa na kanjia kanakwenda chuo cha maji enzi hizo kuna akina Kivugo! Idara ya maji unamfahamu nani wa zamani may be ambao wamekufa?
Mwote humo nimefanya kazi enzi za wanafunzi temporary employement wakati huo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu covid haipo tena ni maabara zilikuwa zinatumiwa na mabeberu.
Nakusihi uchhape kazi
komesha korona
Kwa hakika alisisimua sana alipokuwa upinzani. Alipohamia CCM akawa bubu!. Poleni sana wanafamilia. Bwana ametoa na Bwana ametwaa. Jina lake lihimidiwe.Ni miongoni mwa wanasiasa walioisisimua sana Tanzania miaka ya tisini. Mungu ampumzishe kwa amani, amina.
Pole sana Roman kwa kupotelewa na mzee....
Mungu awape faraja
NCCR ilikuwa ni state - party kwa taarifa yako.Nccr ilivurugwa na Mrema na huyu mdogo wake Mbatia!
Watu wa Pwani akili zenu mnazijua wenyewe.Mbuyu wa Sheria za Jinai Africa Mashariki umeanguka
Kwaheri mwana Kunduchi Mtongani, Kwaheri ya kuonana Swahiba wangu wa Kichaga ambae hukuwa na roho ya Kichaga
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona alikua anaendelea na kazi ya uwakili na kufundisha chuo cha tumaini ameanzia tangu chuo cha Tumaini kikiwa uhamiaji kurasini hadi kilivyohamia mwenge ni mwalim wa sheria pale na amepika vijana wengi mnoooNi kweli ila aliharibu kuingia siasa .Alikuwa Ni meanasheria mahiri ambaye alikuwa na wateja wenginkuliko wakili yeyote Tanzania kabla ya kujiunga na siasa .Kuingia ofisii yake tu ulikuwa unalipia pesa siio kidogo.Sio za kumuona Bali za kueleza shida yako mapokezi ili ishugulikiwe...
Alikua mwalim wa sheria chuo cha Tumaini Dar es SalaamDeath bed ya wanasiasa wengi wa upinzani ni ccm. Huyu bwana sawa na wengine wote wanaotoka upinzani na kuhamia ccm wanapofika huko ndio inakuwa mwisho wao kisiasa.
Huyu bwana alipokuwa upinzani alikuwa ni moto wa kuotea mbali sawa tu na alivyo Lissu leo hii lkn nyota yake ilizimika tu pale alipohamia ccm kiasi kuwa wengine tulifikiri aliishakufa kitambo, kumbe alikuwa bado angali hai..!!...