Death bed ya wanasiasa wengi wa upinzani ni ccm. Huyu bwana sawa na wengine wote wanaotoka upinzani na kuhamia ccm wanapofika huko ndio inakuwa mwisho wao kisiasa.
Huyu bwana alipokuwa upinzani alikuwa ni moto wa kuotea mbali sawa tu na alivyo Lissu leo hii lkn nyota yake ilizimika tu pale alipohamia ccm kiasi kuwa wengine tulifikiri aliishakufa kitambo, kumbe alikuwa bado angali hai..!!
Anyway, ccm ndio kaburi la wanasiasa wa upinzani na bado wakienda huko watazidi kufa tu kisiasa. RIP, hata hivyo.