TANZIA Dkt. Masumbuko Lamwai afariki dunia

TANZIA Dkt. Masumbuko Lamwai afariki dunia

Mkuu Kibo ,mitaa gani ulikaa ( Rombo,Msikitini, jirani White House, Msewe,kona, hunters jirani na njia ya nyaya za umeme unoenda Zanzibar , mitaa ya kwa bibi Paka)? Yaani sehemu ipi hasa.
Kote huko Savannah , kote humo ni kwangu. Tumecheza muziki sana pale Tour and Huntes kwa Mzee Makassy enzi hizo. (sasa amekaa Gwajima na utapeli).

Kamanyola na Maquis pale Savvanah, White House. Kwa Manywele tulikuwa tunakula bia na nyma choma. Enzi hizo UDA ilikuwa inaishia Maji. Mitaa ya Chai unaifahamu?
 
Kote huko Savannah , kote humo ni kwangu. Tumecheza muziki sana pale Tour and Huntes kwa Mzee Makassy enzi hizo. (sasa amekaa Gwajima na utapeli). Kamanyola na Maquis pale Savvanah, White House. Kwa Manywele tulikuwa tunakula bia na nyma choma. Enzi hizo UDA ilikuwa inaishia Maji. Mitaa ya Chai unaifahamu?
Nafahamu mkuu ,hapo maji kwenye tangi pembeni kulikuwa na kauchochoro njia ya vumbi inaelekea kule nyuma kwa wajomba.
 
At least sijasikia neno covid 19 tangu nianze kusoma comments za uzi huu. Mungu awafariji wafiwa wote.
 
what might be the cause? Unajua advocates wanakutana na wateja wao uso kwa uso.... na mawakili kidogo pandemic imetengua kiasi. nisamehe Mungu!
Hali ni mbaya sana, watu wanaogopa hata kula mahotelini. Virus wanakaa kwenye surface kwa masaa nane. Hata kitasa cha mlango alichoshika muathirika ukikishika umeubeba.
 
Nafahamu mkuu ,hapo maji kwenye tangi pembeni kulikuwa na kauchochoro njia ya vumbi inaelekea kule nyuma kwa wajomba.
Tangi si limefyekwa! Hakuna tangi tena kulikuwa na kanjia kanakwenda chuo cha maji enzi hizo kuna akina Kivugo! Idara ya maji unamfahamu nani wa zamani may be ambao wamekufa?
 
Hali ni mbaya sana, watu wanaogopa hata kula mahotelini. Virus wanakaa kwenye surface kwa masaa nane. Hata kitasa cha mlango alichoshika muathirika ukikishika umeubeba.
Lockdown is the necessary measure, sasa mkuu wetu hataki. Itasambaa sana
 
Back
Top Bottom