Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Mimi niliachana na CCM mwaka 1984 baada ya vita ya uhujumu uchumi kutumika vibaya... Kama familia tuliathiriwa na maamuzi ya visasi na kukomoana..Mzee umeanza upinzani siku nyingi. Sasa naelewa kweli hii ni roho,hata akina Mbowe wahame utabaki tu.
Sent using iphone pro max
Jr[emoji769]