Kinje ameanza fujo na kuwa talk of the town miaka ta 90s Rais akiwa Mwinyi na akina Ipy MalecelaAwamu ya kwanza sio.... Enzi hizo kila mtu alizima sigara au alitulizwa..Angalau kuanzia ya pili, hata ya pili ilikuwa bado..Sana sana ya tatu na nne.. Upepo wake ulisha alivyoporwa demu ...
Ah hapa ni JF Bana asiye nacho anacho aliyenacho hana.............ilimradi tu ukinzane na IDHahaha, dah!
Nimecheka sana, yaani ukapuku nilionao kunifananisha na hao watu ni mbingu na ardhi.
Du nakumbuka kipindi hicho. Kuna dada mmoja naye alikuwa ameahidiwa kupelekwa kufanya matangazo ya biashara lakini hakwenda.Si akawaga na hyo mbulgaria wenyw tulikuwa tnamuita Mr John
Mbulgaria alikuwa bonge la mafia+mhuni kawatandika sana wadada mjini[emoji23] [emoji23]
Kumbka tu kuna kisa cha madem fulani kutoroshwa bongo wkt fulani
Ahh ngj niishie hpa watu Wako bdo msibani
Ova
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Du nakumbuka kipindi hicho. Kuna dada mmoja naye alikuwa ameahidiwa kupelekwa kufanya matangazo ya biashara lakini hakwenda.
Ah hapa ni JF Bana asiye nacho anacho aliyenacho hana.............ilimradi tu ukinzane na ID
Mkuu ungefanya kufunguka tu.Si akawaga na hyo mbulgaria wenyw tulikuwa tnamuita Mr John
Mbulgaria alikuwa bonge la mafia+mhuni kawatandika sana wadada mjini[emoji23] [emoji23]
Kumbka tu kuna kisa cha madem fulani kutoroshwa bongo wkt fulani
Ahh ngj niishie hpa watu Wako bdo msibani
Ova
Uguswe tu hakuna namna lakini ukweli lazima nimwambieumeugusa moyo wa mutu
Hakuna kinachoshindikanaMtunuku tunda.
Hakika ni kweliNitakwambia kitu hapa, humu ndani tulioko ndiyo tulio nje.
Ingawa wakati mwingine tunajificha kwa ID fake, lakini bado tuna wajibu wa kupeana heshima kama ilivyo nje.
Shukrani kwa compliment.
Huyu enzi namalizia chuo mjini pale nilianza kumuona akiwa amepack benz nje pale full mauzo,sikuwahi kujua anasoma nini mpaka naondoka.Enzi hizo awamu ya tatu kuna vijana walikuwa na pesa sana. Akiwemo yule kijana wa Handeni dingi alikuwa waziri.
Pini??? Excuse me..
Funguka vizuriMsamiati wa kugwajimika nimeukubali unafaa kuingizwa rasmi kwenye kamusi ya Kiswahili
Fide ndo zilikua zako kuna kipindi Irene alifukuzwa kwao akawa anakaa nae kwake,Odemba yaani yule Dada kwa ukuwadi hana mpinzaniAlikuwa kuwadi wa mjini amewauza sana Manhattan ladies mjini
Unayajuaje yote hayaFide ndo zilikua zako kuna kipindi Irene alifukuzwa kwao akawa anakaa nae kwake,Odemba yaani yule Dada kwa ukuwadi hana mpinzani
Pini?[emoji2][emoji2][emoji2]kuna pini moja alikuwa anaitwa fide iranga...where is she?
Mkuu Mengi hakumchukua Jacky kwa Kinje, Mengi amemchukua Jacky akiwa hana bwana wa maana, alikuwa anajizungusha pale Kilimanjaro hotel, bi dada kutwa na maifile anakaa anajifanya yuko busy kumbe alikuwa anadanga, kama zile file zilikuwa na maandishi itakuwa ni mistari ya bongo fleva tu.. Kinje aliporwa na mzungu, mzungu akamla akaenda kumuacha south Africa , wakarudi na shoga ake WAPOLE..