Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Unajua kasiba ana mke unataka kujisogeza ili iwaje?unataka upate vihela vya mtaji au uwa tu unamwelewa jamaa toka moyoni mwako?
Yote ni sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua kasiba ana mke unataka kujisogeza ili iwaje?unataka upate vihela vya mtaji au uwa tu unamwelewa jamaa toka moyoni mwako?
Manung'uniko ya yule dada mpole hayata mwacha salama.Nyakunyaku
Yaani [emoji6][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]labda rapaWallah nimeshtuka
Jitahidi kupitia na comment zangu najibu kwa hekima pia. Unaweza nipenda[emoji41]Ahsante pia sikufahamu lakini naona ni mtu mstaarabu the way unavyojibu watu wengine... Unajibu kihekima zaidi
Unajua aisee tunaonekana wehu punguzeni vituko, tunacheka mbele ya watu hukuNilisikia mheshimiwa mmoja mstaafu alipigana ngumi kugombea demu, huku kavua shati, kutoka Billicanas (Enzi hizo Mbowe Hotel) mpaka Ferry.
[hii comment haihusiani na mada]
Alitolewa kizazi eti kuna mdau kasema juuMdada mweusi bonge nyanya siku hizi kakonda sijui ana ngoma...
Anaingilika vizuri kabisaHivi yule anaingilika au ndiyo mtakatifu kwa mkewe?!
Anaingilika vizuri kabisa
Uwe unasubscribe threads zangu.. Sianzishagi ilimradi tu..
Zote.
Hawakupata mtoto,ila kuna maelezo yaliwahi tolewa humu huyo madam anamtoto mkubwa tu huwenda alikuwa teyari alishapata na mtu mwingine.hivi mengi na madam ritta katika uhusiano wao walipata mtoto?
Udambwi ubambwi wa JF mtamu zaidi kule Instagram aisee, ngoja niendelee kusoma comments [emoji1787][emoji1787]Mange ni born town wa ushuani ambaye alikuwa sana kwenye showbiz ya bongo haswa kutengeneza shows. Kingine alikuwa ana influence kwenye miss Tanzania na ndio maana Nancy Sumari na Wema sepetu ni product zake.
Kuwa kwake kwenye showbiz kulimpelekea ku hangout na mastar wengi wa enzi hizo na ndio maana hata baba wa mwanae ni Frank Koga (muuza sura wa kideo cha machozi by jide). Usisahau alikuwa katika kampani ya wadada classic kama mwamvita na ile blog yake ya U-turn ambayo ilikuwa maarufu kipindi cha blogs kabla ya hizi social medias.
Duuhh na mimi leo nimekuwa mdaku [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nasikia alikuwaga anahonga magari rangi nyekundu tuSio Gavana! Ni Amatus
Siri za Jaky Mengi nje nje wiki hii, lol Watz hahah, Ningekuwa Jack nahama nchi baada ya msiba lolAlikuwa na Jimmy Kabwe kabla ya kuokotwa na hao akina kinje na huyo Mbulgaria
hivi mengi na madam ritta katika uhusiano wao walipata mtoto?
Haki ya Nani... tuliozaliwa mlima kilimanjaro ndani ndani uko daaah.
Hawa ni watoto wa huyo madam?