naumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 4,717
- 8,083
Alafu hivi hakua na kama kovu somewhere kichwani?Tumekula nae sana Ganja pale Mabibo Hostel enzi tunapiga chuo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu hivi hakua na kama kovu somewhere kichwani?Tumekula nae sana Ganja pale Mabibo Hostel enzi tunapiga chuo
Alikuwa naloAlafu hivi hakua na kama kovu somewhere kichwani?
Nitakwambia kitu hapa, humu ndani tulioko ndiyo tulio nje.
Ingawa wakati mwingine tunajificha kwa ID fake, lakini bado tuna wajibu wa kupeana heshima kama ilivyo nje.
Shukrani kwa compliment.
Haitoongeza kitu maishani mwanguTafuta nauli njoo mjini utamjua
Mdada mweusi bonge nyanya siku hizi kakonda sijui ana ngoma...Pini??? Excuse me..
What about nancy sumariMiss TZ ambaye ameweza kuilinda heshima yake katika jamii kwa kiwango cha kujitahidi ni somebody temu
Fideline IrangaMkuu nitumie jina la huyo F..l PM basi, dah!
Kinje ndio alikuwa na bifu na Mengi baada ya kuchukuliwa mwanamke, Mengi hawezi kuwa na bifu na underdog kama kinje na hilo bifu lenyewe haliku materialize
What about nancy sumari
Hahaha ila hao nao hati zao sio safi sana, but they are far better...
Bangi haina shida kweli. Sio mtumiaji but I have tried it a couple of times na haikuwahi kuniletea shida.
Jibu unalo au unataka nitekwe kama Mdude?
Hata Dr. wa Jacky ametelezesha nyoka kwa huyu.
Naona Bongo Movie wapo close nae sana.. Huenda anaingilika. Unataka kutest zali?
Unajua kasiba ana mke unataka kujisogeza ili iwaje?unataka upate vihela vya mtaji au uwa tu unamwelewa jamaa toka moyoni mwako?Ndiyo