Nancy Mme aliyemuoa kamla Dada yake akampiku kaolewa yeyeWhat about nancy sumari
Jitahidi kupitia na comment zangu najibu kwa hekima pia. Unaweza nipenda[emoji41]
Madam ana watoto wawili kabla ya kua na mengi ni mabinti wakubwaa kwenye 38 hivi wa kwanza anafikaHawakupata mtoto,ila kuna maelezo yaliwahi tolewa humu huyo madam anamtoto mkubwa tu huwenda alikuwa teyari alishapata na mtu mwingine.
Dada yake yupi huyu wanamwita Nakaya?Nancy Mme aliyemuoa kamla Dada yake akampiku kaolewa yeye
Ndio wa kwakeHawa ni watoto wa huyo madam?
hata najua basi ndugu yangu hahaha nimeikuta sehemu nami nikaweka hapa ili waja waichambueHawa ni watoto wa huyo madam?
Duh!!!kumbe kala chumvi anamtoto wa miaka 38 sasa ilikuwaje akaanza urafiki na wakina Jack ambao wanalandana umri na watoto wake?Madam ana watoto wawili kabla ya kua na mengi ni mabinti wakubwaa kwenye 38 hivi wa kwanza anafika
Huyo huyo na walikua hawaelewani chui na nyau mange akampa kweli NANCY ile ya Kisomi ilee..wakaanza kuongea!Dada yake yupi huyu wanamwita Nakaya?
Duh!!!kumbe kala chumvi anamtoto wa miaka 38 sasa ilikuwaje akaanza urafiki na wakina Jack ambao wanalandana umri na watoto wake?
Watoto wake haohata najua basi ndugu yangu hahaha nimeikuta sehemu nami nikaweka hapa ili waja waichambue
Omar kigodaEnzi hizo awamu ya tatu kuna vijana walikuwa na pesa sana. Akiwemo yule kijana wa Handeni dingi alikuwa waziri.
JabirOmar kigoda
Fideline si ndyo? Iranga km sikoseiMkuu unamkumbuka na Yule model mweusi Tii jina linaanzia F surnane I
Hawana adabu hao mabinti sasa kama jamaa kawafanya wote hivi huwa wanaangalianaje?Huyo huyo na walikua hawaelewani chui na nyau mange akampa kweli NANCY ile ya Kisomi ilee..wakaanza kuongea!
mi nilisikia Jacky alimwiba Mzee Mengi Kwa happiness Magese! Wanasema mzee alikuwa hataki mambo ya kujifichaficha, ila Happiness hakutaka watu wajue so Jacky akanyakua MzeeJack alikuwa rafiki Wa madam Rita, baada ya madamu kutofautiana na mengi basi jack nae kapenya.
N.b kitu ambacho sitosahau mengi alikuwa mwanaume wa kwanza kwenda karagwe mulongo na helicopter kwa ajili ya madam.
Wabeshi utawajua tu!Kinje alikua anategemea jina la baba + connection za wauza ngada, Mengi alikua 'Kipeme' standalone
Kwani najua basi ndugu yangu hahaha kunogesha story tu hapa, nimeikuta hiyo picha hukooooHawa ni watoto wa huyo madam?
We ndo wajua hvyo...wao ya kwao yanaendaaa!!!wazazi walikua upande wa Nancy kwa kua yeye ndo ana status mjiniHawana adabu hao mabinti sasa kama jamaa kawafanya wote hivi huwa wanaangalianaje?