Ha ha list goes on, salama>regina>lydia>vee huyu lydia wengi hamuwezi kumjua walioko eatv wanamjua fika
Inaonekana Jocate anawapenda sana wakina John. Ndio maana imekuwa rahisi kubebwa na John mkubwa.Tena chuo mnyika aliachiwa JOJO na RIZMOKO..
Yule mzee wa Mahenge ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawa mabinti pia niliwaona kwenye list ililetwa humu ya mabinti waliohongwa pesa na kupitiwa na mzee mmoja aliwa mkurugenzi wa utawala na utumishi Benk kuu.Hili lina ukweli au walizushiwa tu?
Watu kama wanakulana tigo unategemea atakua mzima huyo, ishu ya kukonda na kutolewa kizazi ni vitu viwili tofouti ambavyo haviingiliani..Alitolewa kizazi eti kuna mdau kasema juu
Kwa hiyo mzee baba anakula makombo au ndio hainaga shombo ?Ulifikiri mzee baba alianza? Watu walimuona wa ajabu alipoanza kutoka na bongo fleva.
Lakini kwa sasa watu wanamchukulia kama role model wao. kweli kuwa huyaone.Eeeeh
Ishu ya Regina naijua na inasemekana ndo demu wa kudumu wa Salama,vee huyu mdee?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Lydia kuna mtu namfananisha nae
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] kitu elastic ileHaahaahaa! Wanadai mcheza mpira wa kikap kaharibu bana , si unajua ana maumbile makubwa....
Hivi ile kuhonga magari mekundu ilikuwa ni ishara ya nini ?Alikua Mkurugenzi wa Utumishi kama sikosei.Enzi hizo tupo chuo tunasikia habari zake za kuhonga mamiss gari nyekundu
AiseeeehJack alikuwa rafiki Wa madam Rita, baada ya madamu kutofautiana na mengi basi jack nae kapenya.
N.b kitu ambacho sitosahau mengi alikuwa mwanaume wa kwanza kwenda karagwe mulongo na helicopter kwa ajili ya madam.
Kwamba mzee wa chattle ni mtu wa kuja ?Huu uzi, umenifumbua yale niliyokuwa nahisi na zile fununufununu duh, ndo maana watu wengine kuolewa town ni nadra sana, hadi atokeeee wa kuja ndo anauvagaa
Wa bongofleva ama bongo movie?ni dadavulie mkuu.
kweli katuzidi sana tu, ila kweli tungekuwa ma super star kama yeye nasisi tungeonwa na vibabu na wangetuachia account zilizonona. hahahaUnahamaje nchi kwa Maneno ya Chuki toka kwa Loosers!? Jacky kashaula hata muandike humu hadi vidole vikauke ukweli ni kwamba kashawaacha mbali sana Kiuchumi na kwa vitu vingi tu. Acheni Roho mbaya na kupenda kusema watu as if nyie ni angels.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Udambwi ubambwi wa JF mtamu zaidi kule Instagram aisee, ngoja niendelee kusoma comments [emoji1787][emoji1787]
Kwamba kuruka kuta kumeanza tangu wengine hatujafika kwa Bashite.Alinyang'anywa na mzungu sio DR.. kwa hiyo alikuwa na hasira nae labda akawa anamtishia, bibi akaomba msaada hunda, ila machache agombee demu never, angeanza kwa madam basi maana pale alifika mpaka kuruka ukuta si mchezo.
Marehemu alikuwa sana na Madame Bongo Star Search, sijui ujio wa mama wawili ndo ulimvurugia !?Hawa Manhattan ladies wa Dar Mbulgaria alivuruga sana. Sasa ni classic wake wa waheshimiwa.
Nini kilisababisha hasidumu na madam ?Alivyokuwa na mahusiano na madam alifika kabisa, ikawa anaenda kwa madam kama kwake na wakati huo alikuwa hajatengana na mama Mercy (R.I.P) mama akawa anamlia timing baada ya kujua hyo siku mzee ameenda kwa madam mama nae akaingia mzee akatokea mlango wa nyuma akapanda ukuta akaruka huyooooo...kakimbia.
Halafu mnyaturu kafiiika ! Daah haluwa haina .......!Faraja Nyalandu included.
Umewahi taste it, bby ?Ila mbona bangi sio mbaya nyie watu
Aliyeombewa msamaha na Bashiruawamu hii untouchable wa dar ni nani?