Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Nrgs yupo
Alishatokaga Masoud kimice wkt fulani
Sema mm namuonaga kama ana mguu mmja mrefu mwngne mfpi
Nakajuaga tangia knakaa blck 41 enzi hzo knasoma esacs

Ova
Mzee uko nondo..

Kipindi Mawingu ipo NIC pale nilishaendaga studio nikawakuta kwenye korido wamepozi zero distance.. Bila hata kuuliza unajua tu hawa wanatoka maana walikuwa open sana.. Enzi za akina Kaka Bonda na mdada AC (RIP)..

Yes, NM anachapia kidogo mguu mmoja halafu siku hizi sijui ni chemicals au make up zimemharibu.. Ametoka vijindevu kiasi (sorry).
 
Nrgs yupo
Alishatokaga Masoud kimice wkt fulani
Sema mm namuonaga kama ana mguu mmja mrefu mwngne mfpi
Nakajuaga tangia knakaa blck 41 enzi hzo knasoma esacs

Ova
Nargis kuna wakati alikuwa anaigiza, ndio yule?
 
Uzi mzuri but still iko kwenye level ya watu wadogo! Tunajadili watu badala ya vitu na mawazo mapya. Nilijua inahusu namna ya kuwa km Mengi. Mengi kaacha legacy, how about us? GUYS THINK BIG! Mashoga wengi mjini mpk kero.
 
Nargis kuna wakati alikuwa anaigiza, ndio yule?
Ndio. Nadhan alijinyofoa mapema kwenye scadalous life mana alikuwa na GPA nzuri ya mvuto. Alipoukosa u miss Tz nilishika kichwa. Dada wa enzi hzo bana walimfanya Juma Nature atunge wimbo wa maombolezo( inaniuma sana). Sidhan kuna atakayekuja andikwa udaku kama sintah mana sass tuko enzi za udaku siasa kama wakenya.
 
Eeeeh. Last time kama mwezi hivi nilikutana nae Bucket kapiga gauni yake fupi kapendeza na kichwa iko vizuri tayari
 
Lydia nishampata. Huyu Mariam simjui ila hao bongo movie umewataja ndo mambo yao hayo
 
Lydia nishampata. Huyu Mariam simjui ila hao bongo movie umewataja ndo mambo yao hayo
Huyu Lydia akishawah kuhojiwa na SJ mpaka akaulizwa umeanza kula dudu lini kwa mara ya kwanza akasema chuo kikuu....kumbe wanajuana shughul zao walikuwa wanataka kukamatana ugoni...[emoji16]
 

"Khadija Kopa akiacha pengo itaendelea taarabu? Komba naye akianguka itaendelea kwaya? Achimenengule Band wenzake si wataigwaya? Huwa nawaza sana siku akitutoka Ndugu Mengi,nani ataziba pengo na huyu kipenzi cha wengi?" - Waswahili PENGO 2003
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…