Enzi hizo kina ngowi wa tiss hawakauki pale doh maisha hayaHawa Manhattan ladies wa Dar Mbulgaria alivuruga sana. Sasa ni classic wake wa waheshimiwa.
I didn’t mention the name mkuuFaraja Nyalandu included.
SanaHawa Manhattan ladies wa Dar Mbulgaria alivuruga sana. Sasa ni classic wake wa waheshimiwa.
Watu humu hawajui ku cmnt kwa kutumia code dahhhhhhI didn’t mention the name mkuu
kifupi cha kinjekitileKinje ni nani?
Najua sana. Na huwa natumia code mara nyingi zaidi humu. But nafanya hivyo kulingana na ishu mkuu.Watu humu hawajui ku cmnt kwa kutumia code dahhhhhh
Ova
kifupi cha kinjekitile
Endelea weweSi akawaga na hyo mbulgaria wenyw tulikuwa tnamuita Mr John
Mbulgaria alikuwa bonge la mafia+mhuni kawatandika sana wadada mjini[emoji23] [emoji23]
Kumbka tu kuna kisa cha madem fulani kutoroshwa bongo wkt fulani
Ahh ngj niishie hpa watu Wako bdo msibani
Ova
Wazee wa motivation speaker hao[emoji23]Najua sana. Na huwa natumia code mara nyingi zaidi humu. But nafanya hivyo kulingana na ishu mkuu.
Hizi za hawa wahuni acha tuzitaje tu kama zilivyo maana wanadanganya sana mabinti wanaowatazama kama role models.
Mfano mtu kama Shamim unaweka code ya nini?
Najua ninachokifanya!
Ni mtoto wa late kingungeKwa sisi wa vijijini Kinje hatumfaham
Daah jamaa alikuwa ni untouchable haswaaAwamu ya kwanza na ya pili hata ya tatu alikua Prince wa Dar untouchable
Duh!Kumbe na wewe unaijua ze utamu,ndo inasemekana hivyo.Pesa ndo zinambeba.
South AfricaHebu nitoe ushamba mkuu, dizonga ndio wp huko?
Yule ni babu yake mzaa baba yake kingungeKinjikitile ngwale yule wa majimaji
weka orodhaSana
Aliwatafuna wengi
Ova
Kwa kweli, kuna kesi moja aligonga gari, alipokamatwa na traffic alipiga simu akaambiwa nipe huyo askari niongee nae.Daah jamaa alikuwa ni untouchable haswaa
Nimtoto wa kingungeWa bongofleva ama bongo movie?ni dadavulie mkuu.
Code za nini while tuna tumia fake IdsWatu humu hawajui ku cmnt kwa kutumia code dahhhhhh
Ova