Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Watu humu hawajui ku cmnt kwa kutumia code dahhhhhh

Ova
Najua sana. Na huwa natumia code mara nyingi zaidi humu. But nafanya hivyo kulingana na ishu mkuu.

Hizi za hawa wahuni acha tuzitaje tu kama zilivyo maana wanadanganya sana mabinti wanaowatazama kama role models.

Mfano mtu kama Shamim unaweka code ya nini?

Najua ninachokifanya!
 
Si akawaga na hyo mbulgaria wenyw tulikuwa tnamuita Mr John
Mbulgaria alikuwa bonge la mafia+mhuni kawatandika sana wadada mjini[emoji23] [emoji23]
Kumbka tu kuna kisa cha madem fulani kutoroshwa bongo wkt fulani
Ahh ngj niishie hpa watu Wako bdo msibani

Ova
Endelea wewe
 
Najua sana. Na huwa natumia code mara nyingi zaidi humu. But nafanya hivyo kulingana na ishu mkuu.

Hizi za hawa wahuni acha tuzitaje tu kama zilivyo maana wanadanganya sana mabinti wanaowatazama kama role models.

Mfano mtu kama Shamim unaweka code ya nini?

Najua ninachokifanya!
Wazee wa motivation speaker hao[emoji23]

Ova
 
Back
Top Bottom