Kuna kisa kile alimtishia dem wke bastolaKwa kweli, kuna kesi moja aligonga gari, alipokamatwa na traffic alipiga simu akaambiwa nope huyo askari noon gwe nae.
Masikini yule Askari sijui aliambiwa nini, lakini alivyofika nyumbani alijiua.
kumbe hii ilikuwa kweli??Kwa kweli, kuna kesi moja aligonga gari, alipokamatwa na traffic alipiga simu akaambiwa nope huyo askari noon gwe nae.
Masikini yule Askari sijui aliambiwa nini, lakini alivyofika nyumbani alijiua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unapenda ubuyu wa vimto...Endelea wewe
Kafa kifo cha kawaida tu, siku zake za kuishi duniani zilitimia. Mbona hata Kapila kafa tena siku 1 na mzee Mengi na alikua mtu wa kawaida wa kucheza miziki ya asili huku Rorya?Mzee Mengi kumbe kafa kwa Mengi tu....wanawake sio Wa kushindana nao.
Hahaha wewe hautaki aendelee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unapenda ubuyu wa vimto...
Nakumbuka ..enzi ya rose garden hiyo mkuu ...alikuwa hafai kabisa huyo jamaa. Dah !!Kwa kweli, kuna kesi moja aligonga gari, alipokamatwa na traffic alipiga simu akaambiwa nipe huyo askari niongee nae.
Masikini yule Askari sijui aliambiwa nini, lakini alivyofika nyumbani alijiua.
Ahsante pia sikufahamu lakini naona ni mtu mstaarabu the way unavyojibu watu wengine... Unajibu kihekima zaidi
Soma namba 60Nisikuchoshe mkuu japo sijamfaham bado
Huyu usela alianza tangu shule, unakumbumbuka miguu fito ya Kinje ilikuwa talk of dadasNakumbuka ..enzi ya rose garden hiyo mkuu ...alikuwa hafai kabisa huyo jamaa. Dah !!
Huyu usela alianza tangu shule, unakumbumbuka miguu fito ya Kinje ilikuwa talk of dadas
Naachaje kutaka? Nimefurahi vile umemkazia...Hahaha wewe hautaki aendelee
Nilisikia mheshimiwa mmoja mstaafu alipigana ngumi kugombea demu, huku kavua shati, kutoka Billicanas (Enzi hizo Mbowe Hotel) mpaka Ferry.
[hii comment haihusiani na mada]
Anampita kivipi Mkuu?nilisikia kwenye ze utamu huyo kinje anampita le mutuz
Najua sana. Na huwa natumia code mara nyingi zaidi humu. But nafanya hivyo kulingana na ishu mkuu.
Hizi za hawa wahuni acha tuzitaje tu kama zilivyo maana wanadanganya sana mabinti wanaowatazama kama role models.
Mfano mtu kama Shamim unaweka code ya nini?
Najua ninachokifanya!
Still preserve people’s dignity.Code za nini while tuna tumia fake Ids
Noma sana!Kwa kweli, kuna kesi moja aligonga gari, alipokamatwa na traffic alipiga simu akaambiwa nipe huyo askari niongee nae.
Masikini yule Askari sijui aliambiwa nini, lakini alivyofika nyumbani alijiua.