Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Kwa kweli, kuna kesi moja aligonga gari, alipokamatwa na traffic alipiga simu akaambiwa nope huyo askari noon gwe nae.

Masikini yule Askari sijui aliambiwa nini, lakini alivyofika nyumbani alijiua.
kumbe hii ilikuwa kweli??
nilijua ni stori za town tu
 
Hahaa nilikuwa mdogo wakati huo --- mimi nayajulia wapi hayo binafsi nilianza kumjua miaka ya 2005 kwa sababu nilikuwa namuona akija kula bata mikocheni and co .
Huyu usela alianza tangu shule, unakumbumbuka miguu fito ya Kinje ilikuwa talk of dadas
 
Najua sana. Na huwa natumia code mara nyingi zaidi humu. But nafanya hivyo kulingana na ishu mkuu.

Hizi za hawa wahuni acha tuzitaje tu kama zilivyo maana wanadanganya sana mabinti wanaowatazama kama role models.

Mfano mtu kama Shamim unaweka code ya nini?

Najua ninachokifanya!

Nyalandu na wewe alikudanganya atakuoa sio?
 
Back
Top Bottom