Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Ila QR X, yule wa Bos W, alikuwa noma sana mjini, kuna kipindi alihamia SP, kipindi bado inajengwa, huko ndo akakutana na Msanii T... Y, waliyoyafanya ni kisanga. Hata huyo model F I alianzia SP.
 
Huyu dem Kabla ya kinje alikuwa na mzungu mmja mbulgaria mzungu huyo alikuwa na kampuni ya mambo ya bahati nasibu lotto Olympic
Hivi unakumbuka kile kisanga cha wadada kupelekwa dizonga wakafichwa huko ila walirudi kwa utata bongo?

Ova
Kipindi yanatokea hayo alikua na Kinje na aliyeenda kushtaki Interpol ni Kinje
 
Kafa kifo cha kawaida tu, siku zake za kuishi duniani zilitimia. Mbona hata Kapila kafa tena siku 1 na mzee Mengi na alikua mtu wa kawaida wa kucheza miziki ya asili huku Rorya?

Tafta story za Mange Kima kuhusiana na ishu za Jacky kulazimisha kwenda Dubai na mwisho Wa picha Mzee katelekezwa hospital bila msahada na unganisha na hii ya Kinje alafu unganisha dot...ndo uje utuambie hicho kifo cha kawaida kikoje??!
 
Najua sana. Na huwa natumia code mara nyingi zaidi humu. But nafanya hivyo kulingana na ishu mkuu.

Hizi za hawa wahuni acha tuzitaje tu kama zilivyo maana wanadanganya sana mabinti wanaowatazama kama role models.

Mfano mtu kama Shamim unaweka code ya nini?

Najua ninachokifanya!
Kweli mkuu kuwa taja tu
 
Tafta story za Mange Kima kuhusiana na ishu za Jacky kulazimisha kwenda Dubai na mwisho Wa picha Mzee katelekezwa hospital bila msahada na unganisha na hii ya Kinje alafu unganisha dot...ndo uje utuambie hicho kifio cha kawaida kikoje??!
Duuh...
 
Back
Top Bottom