LOSEJMASAI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 332
- 856
Ila QR X, yule wa Bos W, alikuwa noma sana mjini, kuna kipindi alihamia SP, kipindi bado inajengwa, huko ndo akakutana na Msanii T... Y, waliyoyafanya ni kisanga. Hata huyo model F I alianzia SP.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna pini moja alikuwa anaitwa fide iranga...where is she?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Fidelin irangaFid.. I hapo nimekurahisishia
Vp we faraja nyarandu nn?
Mimi ni yule mumeo niliyekutelekeza baada ya kuona una gono lisilopona.
Kweli unapulizia hewa kichogoni na wanaume ndo maana unatafuta bwana....haya pita pembeni sipulizii mashoga
Dada una hasira kama vile papuchi inasuguliwa na steel wire.
Gono ulishapona?
Yaani Fide naye ni pini na kufanana kote na Mpoki?kuna pini moja alikuwa anaitwa fide iranga...where is she?
Kipindi yanatokea hayo alikua na Kinje na aliyeenda kushtaki Interpol ni KinjeHuyu dem Kabla ya kinje alikuwa na mzungu mmja mbulgaria mzungu huyo alikuwa na kampuni ya mambo ya bahati nasibu lotto Olympic
Hivi unakumbuka kile kisanga cha wadada kupelekwa dizonga wakafichwa huko ila walirudi kwa utata bongo?
Ova
Kati yenu nani mengi na nani ni kinje!?Mi na bifu na mleta uzi
Code kwenye computer hapa weka stori tu kiranja mkuu.Watu humu hawajui ku cmnt kwa kutumia code dahhhhhh
Ova
Yaani hapa nairudia rudia kuisoma hiyo post kama goli la Origi kutoka kona ya Trent Anorld.
ila nawewe kwa majibu yake unanipa raha sana hahaha lolAwamu ya kwanza na ya pili hata ya tatu alikua Prince wa Dar untouchable
Kafa kifo cha kawaida tu, siku zake za kuishi duniani zilitimia. Mbona hata Kapila kafa tena siku 1 na mzee Mengi na alikua mtu wa kawaida wa kucheza miziki ya asili huku Rorya?
Kweli mkuu kuwa taja tuNajua sana. Na huwa natumia code mara nyingi zaidi humu. But nafanya hivyo kulingana na ishu mkuu.
Hizi za hawa wahuni acha tuzitaje tu kama zilivyo maana wanadanganya sana mabinti wanaowatazama kama role models.
Mfano mtu kama Shamim unaweka code ya nini?
Najua ninachokifanya!
Duuh...Tafta story za Mange Kima kuhusiana na ishu za Jacky kulazimisha kwenda Dubai na mwisho Wa picha Mzee katelekezwa hospital bila msahada na unganisha na hii ya Kinje alafu unganisha dot...ndo uje utuambie hicho kifio cha kawaida kikoje??!