Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mkuu hata wewe pamoja na kuwa CCM lakini ulitoa maoni, tusubiri tuone kama yako yatazingatiwaSiasa zetu ni maigizo, sterling hauwawi!.
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hata wewe pamoja na kuwa CCM lakini ulitoa maoni, tusubiri tuone kama yako yatazingatiwaSiasa zetu ni maigizo, sterling hauwawi!.
P
😂😂😂 Ana mdanganya nani ?“Bunge lina wawakilishi wa Watanzania wote, Bunge ndilo litajadili kifungu kwa kifungu, kipi kipite na kipi kisipite, wote
Cc Lucas Mwashambwa & ChiembeHii ni habari njema sana, kuwa sheria zitazingatia maoni ya wadau, hoja zinazoandamaniwa ni maoni ya wengi waliofika mbele ya kamati.
Kwavile kamati ya Bunge inajadili kile tuu kilicholetwa mbele yake na serikali, na hakuna hoja yoyote ya minimum reform ya katiba imeletwa Bungeni, hoja za maandamano ni kuhusu katiba, hivyo mjibu maadamano ni Rais Samia na sio yeye, sio Bunge, sio sheria, ni serikali kuhusu katiba.
Kamati yake iendelee na mchakato, na maadamano yaendelee na hoja zake.
P
Kama hakukuelewa basi. Utafanyaje kama unayemwambia kichwani amebadilisha akili kaweka Itikadi?Hii ni habari njema sana, kuwa sheria zitazingatia maoni ya wadau, hoja zinazoandamaniwa ni maoni ya wengi waliofika mbele ya kamati.
Kwavile kamati ya Bunge inajadili kile tuu kilicholetwa mbele yake na serikali, na hakuna hoja yoyote ya minimum reform ya katiba imeletwa Bungeni, hoja za maandamano ni kuhusu katiba, hivyo mjibu maadamano ni Rais Samia na sio yeye, sio Bunge, sio sheria, ni serikali kuhusu katiba.
Kamati yake iendelee na mchakato, na maadamano yaendelee na hoja zake.
P