Hii ni habari njema sana, kuwa sheria zitazingatia maoni ya wadau, hoja zinazoandamaniwa ni maoni ya wengi waliofika mbele ya kamati.
Kwavile kamati ya Bunge inajadili kile tuu kilicholetwa mbele yake na serikali, na hakuna hoja yoyote ya minimum reform ya katiba imeletwa Bungeni, hoja za maandamano ni kuhusu katiba, hivyo mjibu maadamano ni Rais Samia na sio yeye, sio Bunge, sio sheria, ni serikali kuhusu katiba.
Kamati yake iendelee na mchakato, na maadamano yaendelee na hoja zake.
P