Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taarifa zinazosambaa..Pamoja na maombi yetu haya lakini kwa hospital zetu za Tanzania ukishafikishwa ICU.... [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Whaaaat😳😳😳😳Taarifa zinazosambaa..
Hatunaye tena[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Ndanda cosovoHivi nani alimuimba “Misanta Bingi atike babujiii”
Masihara haya aiseee jamaaaaTaarifa zinazosambaa..
Hatunaye tena[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Aisee, atamsaidia au hatamsaidia uandishi mwingine jamaniMungu hatamsahdia
Ni Misanya Bingi. Ni Mrangi kutoka Kondoa.Hivi jina lake sahihi ni Misanya Bingi au Msa Nyabingi?
enzi hizo acha kabisa.Acha bwana badae sa 6 unakutana na DJ ommy
baadhi ya makabilavyetu uandishi wa h na a ni shidaHebu tulizana uandike vizuri
Kwasababu ni mrangi mwenzioDuh huyu jamaa nishawahi kuwa na msala na mchzi wangu enzi hzo makongo sec alikuja kama mzazi boshen
Ova
Wacha bwanaTaarifa zinazosambaa..
Hatunaye tena[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Oooh [emoji134]Taarifa zinazosambaa..
Hatunaye tena[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Misanya Dismas BingiHivi jina lake sahihi ni Misanya Bingi au Msa Nyabingi?
Nadhani hujamaanisha tunavyosoma.Mungu hatamsahdia
Too bad to be true!Taarifa nilizozipokea hivi punde...
NDUGU JAMAA NA MARAFIKI NDUGU YETU DR MISANYA BINGI AMEFARIKI USIKU HUU.TUMUOMBEE. MSIBA UKO MAKONGO JUU.
RIP DR.MISANYA BINGI.
Na wewe upo kwenye foleniHuu mwezi na ule uliopita kuna nini lakini
Mkuu acha uchuro!babu wa kimanzichana alikua anajiita pia, maLegend wanazidi kuondoka tu.