TANZIA Dkt. Misanya Bingi, Mhadhiri wa UDSM na Mtangazaji wa zamani wa Radio One afariki dunia

TANZIA Dkt. Misanya Bingi, Mhadhiri wa UDSM na Mtangazaji wa zamani wa Radio One afariki dunia

RIP Dkt Misanya,
bwana alitoa,
Bwana ametwas
 
Mhadhiri wa Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM) ambaye pia aliwahi kuwa Mtangazaji Maarufu wa Radio One, Dkt. Misanya Dismas Bingi amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kupata na stroke na kupelekwa katika Chumba cha Uangalizi Maalum (ICU).
IMG_20180916_082117.jpg
 
Daaaah!
Buriani Dkt Misanya

Enzi hizo ITV2 na kipindi chake Cha vibe Kila weekend
 
Alikua Anaumwa Nini?
Wabongo Kama Kawaida Yetu Kutaka Kujua Ugonjwa
 
Wadau za Jioni,

Aliyewahi kuwa Mtangazaji Maarufu wa Radio One enzi hizo, Misanya Bingi anaumwa baada ya kupata na Stroke na kupelekea kulazwa katika Chumba cha uangalizi maalum Muhimbili.

Wadau Tumuombee.

View attachment 867720
Misanya Bingi (pichani)

=======

UPDATE:

Dkt. Misanya Bingi amefariki dunia. Msiba upo Makongo juu, Dar.

Aliwahi kuwa Mtangazaji wa Radio One kabla ya kuwa Mhadhiri wa UDSM

Amefariki katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili baada ya kuugua kwa muda mfupi

Habari zaidi, soma=>Misanya Bingi sasa ni Daktari wa Falsafa (PhD) - JamiiForums
RIP Dr Bingi gone too soon.
 
Back
Top Bottom