New Nytemare
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 3,333
- 2,484
maradhiDuh apumzike kwa amani....chanzo cha kifo tafadhar?
mbona kuna post inatembea humu tokea jana kwamba jamaa yuko mahututi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maradhiDuh apumzike kwa amani....chanzo cha kifo tafadhar?
Emmanuel Dismas...... School mate wako level gani? Au Dom Sec nini?Dahh Misanya my school mate! Wishing you a quick recovery mate!
RIP Dr Bingi gone too soon.Wadau za Jioni,
Aliyewahi kuwa Mtangazaji Maarufu wa Radio One enzi hizo, Misanya Bingi anaumwa baada ya kupata na Stroke na kupelekea kulazwa katika Chumba cha uangalizi maalum Muhimbili.
Wadau Tumuombee.
View attachment 867720
Misanya Bingi (pichani)
=======
UPDATE:
Dkt. Misanya Bingi amefariki dunia. Msiba upo Makongo juu, Dar.
Aliwahi kuwa Mtangazaji wa Radio One kabla ya kuwa Mhadhiri wa UDSM
Amefariki katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili baada ya kuugua kwa muda mfupi
Habari zaidi, soma=>Misanya Bingi sasa ni Daktari wa Falsafa (PhD) - JamiiForums
Inabidi utoe Shikamoo inaonyesha wakati anatangaza ulikua bado unanyonyaKuna wimbo flani wa Fid Q anamtaja huyu Bingi, kuna mwenye picha yake,
Get well