Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uchuro ndio nini?Mkuu acha uchuro!
Kweli, alikuwa hakosi pale Migombani. Muda umepita sikuwahi kumuona. RIP MisanyaJaman huyu mbaba kumbe ndo maana nilikuwa simuoni pale survey na alikuwa hakosi yale maeneo yetu ya kujidai full charming[emoji24] [emoji24]
RIP Misanya
Daaa hapa amefanana na undertakerAlikua yanki badoView attachment 867750
Pole kwa kufiwa na Dingi fake Mkuu wangu.Enzi hzo alikuwa anakaa mwenge duh itabidi nitafute code nkamvisit
Ova
Mi kuna siku nimemuona sio siku nyingi saana....alikuja hapo migombani akawa hana raha full mawazo tuu afu kidogo kapungua! Hakukaa pale kaunta kama kawaida ake alikaa pale kwenye mpira!Kweli, alikuwa hakosi pale Migombani. Muda umepita sikuwahi kumuona. RIP Misanya
Msamehe huyo ndugu nadhani hujamuelewa. Hakuwa na maana hiyo,Mimi mwenyewe mwanzo nilimuelewa vibaya nilipofatilia komenti yake nyingine nikagundua ana matatizo ya kisarufi. a=ha, ha=a, sasa akitakiwa akanushe cjui atatumia.We boya kweli, sasa kafa umefurahi? Au we ndo uliyemloga?
Mmh mbaba lakiniAlikua yanki badoView attachment 867750
Hivi Julius Nyaisanga alishafariki? Duh?!!babu wa kimanzichana alikua anajiita pia, maLegend wanazidi kuondoka tu.
Sio sawa na KabudiMmh mbaba lakini