Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Bata!Duh apumzike kwa amani....chanzo cha kifo tafadhar?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bata!Duh apumzike kwa amani....chanzo cha kifo tafadhar?
Mmmmmh ! Umechanga madesa !chemsha bongo kipindi chake radio one... RIP bro.
....hakuwahi kuendesha hicho kipindiDaahh time flies ni juz tu tulikua tunamsikiliza kwenye kipind cha chemsha bongo ( dka 3 mbele) leo hii mtu amefikia muda wa kupata stroke daah R.I.P Misanya na sisi tu nafata ndugu.
Yeah wakati ule utawaona pale mgombani ama kile kijiwe kingine karibu na migombani wakiwa na Prof Mkenda wakipata kilaji.Mi kuna siku nimemuona sio siku nyingi saana....alikuja hapo migombani akawa hana raha full mawazo tuu afu kidogo kapungua! Hakukaa pale kaunta kama kawaida ake alikaa pale kwenye mpira!
Mara ya mwisho kumtia machaoni daaah!
Tutakuwa tunafahamina sana... Unamjua Director Robert, Manager Koku,Counter Eliza na yule Jamaa aitwaye Tobi?Mi kuna siku nimemuona sio siku nyingi saana....alikuja hapo migombani akawa hana raha full mawazo tuu afu kidogo kapungua! Hakukaa pale kaunta kama kawaida ake alikaa pale kwenye mpira!
Mara ya mwisho kumtia machaoni daaah!
Keshakufa mkuu au nmesoma vibayaMwenyezi Mungu ampe uponyaji
Wakuu mungu ampone marehem??Mungu ni mwema,atamponya
Duuh jamaa c amekufa ndo habar imeandika ivo?Tuna muomba muumba amu urumie na amponyeshe
Kadanji mkuuMpe heshima yake Anaitwa Dk.Misanya Bingi.ugua pole Dk.Bingi
Duuh mkuuOohh Mungu amponye
Augue pole...Jamaa kumbe radio one tu ndio ametangaza na ndio pamempa umaruufu?..
Eeeh wakuu jau mbona mchizi kafa???Mungu amponye
Ime-Edit-iwaKeshakufa mkuu au nmesoma vibayaWakuu mungu ampone marehem??Duuh jamaa c amekufa ndo habar imeandika ivo?Kadanji mkuuDuuh mkuuEeeh wakuu jau mbona mchizi kafa???
Au imeeditiwa hii habari??[emoji1] [emoji2]
Haaahaaa...koku[emoji23] [emoji23] mdada ana kifua kikubwa hivi!Tutakuwa tunafahamina sana... Unamjua Director Robert, Manager Koku,Counter Eliza na yule Jamaa aitwaye Tobi?
Nadhani huyu MTU Alioneshwa na Mungu kuwa Dr Hatapona Lakini ninyi mkaanza kukosoa Alichoandika, Aliandika Anachokijua.. Humu kuna manabii.Mungu hatamsahdia
Ghafla kivipi wakati kaugua?? Ghafla ni kupata Ajali yoyote na kufa papo hapo.Pumzika kwa Amani Dr. Misanya
Imekua ghafla
Alikuwa wa kikosi gani?Pumzika kwa amani kamanda
Rose Chitala now ni BILIONEA ,ana Mpunga wa Kutosha USA Baby.Rose Chitala mkali sana kwenye stori za usiku ktk kipindi cha chombeza time.
Sio akina Diva wa CMG maisha ya kuigiza na mwisho wanaomba michango ya matibabu pesa ndogo kama ya kununua nguo jozi 5 za wranguler jeans pale Woolworth.
yes, kitambo kidogo mbona!Hivi Julius Nyaisanga alishafariki? Duh?!!
Ahh pole sana family na marafiki.Alikua yanki badoView attachment 867750
Hivi ana ishu gani huko namuona anakula mibata batani!Rose Chitala now ni BILIONEA ,ana Mpunga wa Kutosha USA Baby.
Mie bhana [emoji1] [emoji1] [emoji1]Ime-Edit-iwa