Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
hapa nimechekaWhy?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapa nimechekaWhy?
Anapiga BOX ambalo linamlipa vya kutosha,niliona alikuwa na Kitenge mwezi uliopita alimpost Insta wakati Kitenge alimpomtembelea USA.Hivi ana ishu gani huko namuona anakula mibata batani!
Nahisi Dada ake ana mpunga mrefu anaishi nae
hhhhaaaaaaaaaaa nacheka km mazr jamaniNadhani huyu MTU Alioneshwa na Mungu kuwa Dr Hatapona Lakini ninyi mkaanza kukosoa Alichoandika, Aliandika Anachokijua.. Humu kuna manabii.
Daah niliona hata mimi....hapa bongo alichakaa sanaAnapiga BOX ambalo linamlipa vya kutosha,niliona alikuwa na Kitenge mwezi uliopita alimpost Insta wakati Kitenge alimpomtembelea USA.
Kama ni ke nakushahuri kapime afya,siku hizi ARV zianatolewa mapema.Alikuwa seminar leader wangu wakati huo kwa hilo hilo somo
Kuwa seminar leader na kupima afya mbona havihusiani? Au nyie ndo wale mnaopata degree kwa kuvuliwa Chupi?Kama ni ke nakushahuri kapime afya,siku hizi ARV zianatolewa mapema.
Hahahahaaa kweli alipigika wakati yupo bongo,bora alivyoenda USA maana kumemtoa sana.Daah niliona hata mimi....hapa bongo alichakaa sana
Namkumbukaga enzi hizo utotoni pale sinza kumekucha alikuwa anaishi na liboya limoja ni lilikuwa linampa stress za kufa mtu!..umalaya na sifa sifa kitaa linaendesha baja kwa speed ya 4G!...akaja akafa nayo yuko bwiii[emoji42]
Ghafla kwa taarifa, Jana ICU leo kafarikiGhafla kivipi wakati kaugua?? Ghafla ni kupata Ajali yoyote na kufa papo hapo.
Nlikuja na gari la kampeni 2015...wa lini wewe mjini !?
Hahahahah.....papii kocha mutoto ya mufalumeHivi nani alimuimba “Misanta Bingi atike babujiii”
SanaaaHahahahaaa kweli alipigika wakati yupo bongo,bora alivyoenda USA maana kumemtoa sana.
View attachment 867824
Last time you checked.Last time I check alikuwa udsm pale sociology dept.
Hahahahaha sawa mkuu.Last time you checked.
Hii lugha ya malkia bana
Mpe heshima yake Anaitwa Dk.Misanya Bingi.ugua pole Dk.Bingi
Hahaha pamoja mkuu .Hahahahaha sawa mkuu.