TANZIA Dkt. Misanya Bingi, Mhadhiri wa UDSM na Mtangazaji wa zamani wa Radio One afariki dunia

TANZIA Dkt. Misanya Bingi, Mhadhiri wa UDSM na Mtangazaji wa zamani wa Radio One afariki dunia

Hivi ana ishu gani huko namuona anakula mibata batani!

Nahisi Dada ake ana mpunga mrefu anaishi nae
Anapiga BOX ambalo linamlipa vya kutosha,niliona alikuwa na Kitenge mwezi uliopita alimpost Insta wakati Kitenge alimpomtembelea USA.
 
Anapiga BOX ambalo linamlipa vya kutosha,niliona alikuwa na Kitenge mwezi uliopita alimpost Insta wakati Kitenge alimpomtembelea USA.
Daah niliona hata mimi....hapa bongo alichakaa sana

Namkumbukaga enzi hizo utotoni pale sinza kumekucha alikuwa anaishi na liboya limoja ni lilikuwa linampa stress za kufa mtu!..umalaya na sifa sifa kitaa linaendesha baja kwa speed ya 4G!...akaja akafa nayo yuko bwiii[emoji42]
 
Kama ni ke nakushahuri kapime afya,siku hizi ARV zianatolewa mapema.
Kuwa seminar leader na kupima afya mbona havihusiani? Au nyie ndo wale mnaopata degree kwa kuvuliwa Chupi?
Hatufanani mdogo wangu
 
Daah niliona hata mimi....hapa bongo alichakaa sana

Namkumbukaga enzi hizo utotoni pale sinza kumekucha alikuwa anaishi na liboya limoja ni lilikuwa linampa stress za kufa mtu!..umalaya na sifa sifa kitaa linaendesha baja kwa speed ya 4G!...akaja akafa nayo yuko bwiii[emoji42]
Hahahahaaa kweli alipigika wakati yupo bongo,bora alivyoenda USA maana kumemtoa sana.
RC_COMPUTER.jpg
 
Tutakukumbuka kwa umahiri wako, mbwebwe zako hususani kipindi upo anafanya kazi IPP MEDIA ukiwa radio one na ITV, pumzika kwa amani kaka
 
Mpe heshima yake Anaitwa Dk.Misanya Bingi.ugua pole Dk.Bingi

Mkuu unaonekana ukimwona Mtu ana PhD yake na anaitwa Dkt Fulani huwa unatetemeka kabisa na unaweza hata ' ukamlamba ' unyayo wake au? Acha Umbwigira / Ushamba na usitishike na Viwango vya Elimu vya Watu bali tishika na yale ' madini ' yao yaliyopo na yanayowatoka katika ' brains ' zao. Uwezo wa Msomi haupimwi na Certificate au Diploma au Bachelor au Masters au PhD bali ni zaidi ya hapo.

R.I.P sana Kamarada ( Comrade ) Misanya Bingi.
 
Back
Top Bottom