Sungusela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 681
- 485
Mipango ya Mungu.Huu mwezi na ule uliopita kuna nini lakini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mipango ya Mungu.Huu mwezi na ule uliopita kuna nini lakini
Fafanua kidogo mkuu!Kama ni ke nakushahuri kapime afya,siku hizi ARV zianatolewa mapema.
Tutakuwa tunafahamina sana... Unamjua Director Robert, Manager Koku,Counter Eliza na yule Jamaa aitwaye Tobi?
Lazima tunafahamiana weweHaaahaaa...koku[emoji23] [emoji23] mdada ana kifua kikubwa hivi!
Nikikutajia hapa na the way navyoingiaga pale lazima utanijua na wewe lazima nakujua!
Kuna kagroup ka wanaume mko wengi mnapenda kukaa pale kwenye mwanvuli karibia na jikoni nahisi ndo nyie[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Halafu kuna mzee mmoja matata pale anapenda kukaa pale kwenye boats na laptop yake anakunywa wine ya altar[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kweli mkuu?Lazima tunafahamiana wewe
Huyo Koku atakuwa wewe..[emoji16][emoji16][emoji3]Haaahaaa...koku[emoji23] [emoji23] mdada ana kifua kikubwa hivi!
Nikikutajia hapa na the way navyoingiaga pale lazima utanijua na wewe lazima nakujua!
Kuna kagroup ka wanaume mko wengi mnapenda kukaa pale kwenye mwanvuli karibia na jikoni nahisi ndo nyie[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Halafu kuna mzee mmoja matata pale anapenda kukaa pale kwenye boats na laptop yake anakunywa wine ya altar[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ooooh...! Pole, Nyaisanga aliiaga Dunia kitambo, kazi yake ya mwisho alikuwa Radio presenter, Abood Radio MorogoroNlikuja na gari la kampeni 2015
Ndio, hapo ni kijiweni kwangu ila siku hizi sipapendi kihivyoooo pana kajiumbeya umbeya, nimehamia bullsKweli mkuu?
Bulls ni kwa wapi mkuuNdio, hapo ni kijiweni kwangu ila siku hizi sipapendi kihivyoooo pana kajiumbeya umbeya, nimehamia bulls
Haaahaaa....sio mimi banaHuyo Koku atakuwa wewe..[emoji16][emoji16][emoji3]
Bungeni !R.I.P bro. Juma Nkamia yuko wapi
Mrefu ana mamiguu hivi?...mnyakyusa?Mmmmh umemsahau mhudumu Happy yule mwenye nyaaaa ila sura hailipi, siku hizi alitimuliwa
Moderator wamebadilishaKeshakufa mkuu au nmesoma vibayaWakuu mungu ampone marehem??Duuh jamaa c amekufa ndo habar imeandika ivo?Kadanji mkuuDuuh mkuuEeeh wakuu jau mbona mchizi kafa???
Au imeeditiwa hii habari??[emoji1] [emoji2]