TANZIA Dkt. Misanya Bingi, Mhadhiri wa UDSM na Mtangazaji wa zamani wa Radio One afariki dunia

TANZIA Dkt. Misanya Bingi, Mhadhiri wa UDSM na Mtangazaji wa zamani wa Radio One afariki dunia

R.I.P Misanya Bingi.

Jamaa alikuwa noma sana Radio one, kipindi kiliitwa CHEMSHA BONGO.


Nilijifunza Maswali mengi sana kipindi hicho niko Shule ya msingi.

Ilikuwa mtu akikosa swali anapigiwa Kipusa, hahahah.


R.I.P mzee Misanya Bingi
 
Haaahaaa...koku[emoji23] [emoji23] mdada ana kifua kikubwa hivi!

Nikikutajia hapa na the way navyoingiaga pale lazima utanijua na wewe lazima nakujua!

Kuna kagroup ka wanaume mko wengi mnapenda kukaa pale kwenye mwanvuli karibia na jikoni nahisi ndo nyie[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Halafu kuna mzee mmoja matata pale anapenda kukaa pale kwenye boats na laptop yake anakunywa wine ya altar[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Lazima tunafahamiana wewe
 
Haaahaaa...koku[emoji23] [emoji23] mdada ana kifua kikubwa hivi!

Nikikutajia hapa na the way navyoingiaga pale lazima utanijua na wewe lazima nakujua!

Kuna kagroup ka wanaume mko wengi mnapenda kukaa pale kwenye mwanvuli karibia na jikoni nahisi ndo nyie[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Halafu kuna mzee mmoja matata pale anapenda kukaa pale kwenye boats na laptop yake anakunywa wine ya altar[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Huyo Koku atakuwa wewe..[emoji16][emoji16][emoji3]
 
Namkumbuka miaka ya 1990's alikuwa kasimama kwel/i kweli na R1
 
Back
Top Bottom