TANZIA Dkt. Misanya Bingi, Mhadhiri wa UDSM na Mtangazaji wa zamani wa Radio One afariki dunia

TANZIA Dkt. Misanya Bingi, Mhadhiri wa UDSM na Mtangazaji wa zamani wa Radio One afariki dunia

Niliumiaga Sana aliposimamishwa kazi kisa kahudhuria mitihani.

May His Soul Rest in Peace
 
Wadau za Jioni,

Aliyewahi kuwa Mtangazaji Maarufu wa Radio One enzi hizo, Misanya Bingi anaumwa baada ya kupata na Stroke na kupelekea kulazwa katika Chumba cha uangalizi maalum Muhimbili.

Wadau Tumuombee.

View attachment 867720
Misanya Bingi (pichani)

=======

UPDATE:

Dkt. Misanya Bingi amefariki dunia. Msiba upo Makongo juu, Dar.

Aliwahi kuwa Mtangazaji wa Radio One kabla ya kuwa Mhadhiri wa UDSM

Amefariki katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili baada ya kuugua kwa muda mfupi

Habari zaidi, soma=>Misanya Bingi sasa ni Daktari wa Falsafa (PhD) - JamiiForums
Nimepokea kwa shock taarifa ya kifo cha Misanya Bingi, nilifanya nae mahojiano wakati wa msiba wa Uncle J.

RIP MISANYA DISMAS BINGI!
P.
 
Apumzike kwa amani. Namkumbuka miaka ilee late 90s sabasaba, banda la Heineken alikuwa charming sana.
 
Nadhani huyu MTU Alioneshwa na Mungu kuwa Dr Hatapona Lakini ninyi mkaanza kukosoa Alichoandika, Aliandika Anachokijua.. Humu kuna manabii.
Hiki nadhani ni Kiswahili cha Usukumani tu... Alusha badala ya Arusha.
 
Back
Top Bottom