Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,556
.....huyu Diwani huyuuu ! Daaa... !Partners wake wa utangazaji naona wote walo USA, baada ya Chitala akaja Neema Diwani. Jamaa alikuwa anawachokonoa kweli kwenye maiki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.....huyu Diwani huyuuu ! Daaa... !Partners wake wa utangazaji naona wote walo USA, baada ya Chitala akaja Neema Diwani. Jamaa alikuwa anawachokonoa kweli kwenye maiki.
Bilionea Msuya......kama Msuya au Bill !?
Huyo huyoMrefu ana mamiguu hivi?...mnyakyusa?
Dah kwel jamaa alikuwa anajua kuchagua ngoma aisee,hakuwa akipiga ngoma mbovuNamkumbuka kwa RnB za nguvu alizokuwa anapiga kwenye vipindi vyake pale Radio One stereo!!
Nimepokea kwa shock taarifa ya kifo cha Misanya Bingi, nilifanya nae mahojiano wakati wa msiba wa Uncle J.Wadau za Jioni,
Aliyewahi kuwa Mtangazaji Maarufu wa Radio One enzi hizo, Misanya Bingi anaumwa baada ya kupata na Stroke na kupelekea kulazwa katika Chumba cha uangalizi maalum Muhimbili.
Wadau Tumuombee.
View attachment 867720
Misanya Bingi (pichani)
=======
UPDATE:
Dkt. Misanya Bingi amefariki dunia. Msiba upo Makongo juu, Dar.
Aliwahi kuwa Mtangazaji wa Radio One kabla ya kuwa Mhadhiri wa UDSM
Amefariki katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili baada ya kuugua kwa muda mfupi
Habari zaidi, soma=>Misanya Bingi sasa ni Daktari wa Falsafa (PhD) - JamiiForums
NimekusomaaaModerator wamebadilisha
Kweli ndugu. Hata mimi najiuliza swali hilo hilo. Kuna wengine tumepoteza wapendwa ambao siyo maarufu. Hata hawatangazwi kwenye vyombo vya habari.Huu mwezi na ule uliopita kuna nini lakini
RIP My brother my schoolmatelTaarifa nilizozipokea hivi punde...
NDUGU JAMAA NA MARAFIKI NDUGU YETU DR MISANYA BINGI AMEFARIKI USIKU HUU. TUMUOMBEE. MSIBA UKO MAKONGO JUU.
RIP DR. MISANYA BINGI.
u kaka mkuu wangu enzi za primary SchoolHuyu hapa mwalimu wangu wa social researchView attachment 867710
Lini mazishi huko miyuji kwa Mzee Bingi?Kuzikwa eneo la miyuji jijini dodoma. RIP Dr
Hiki nadhani ni Kiswahili cha Usukumani tu... Alusha badala ya Arusha.Nadhani huyu MTU Alioneshwa na Mungu kuwa Dr Hatapona Lakini ninyi mkaanza kukosoa Alichoandika, Aliandika Anachokijua.. Humu kuna manabii.
Una ijua elimu yangu ?