witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Huyo huyo ....haahaaa...mkuu nakujua[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji23]Au ni yule anapenda kuvaa pensi na kofia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo huyo ....haahaaa...mkuu nakujua[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji23]Au ni yule anapenda kuvaa pensi na kofia?
mkuu nitake radhi kunifananisha na huyo lumumba
Mganga hajigangi.
Ni kweli mkuu..bila kusahau yule dada aliekua anafanya nae itv kwenye kile kipindi cha muziki.alikua anaitwa monica mfumia..
Money Penny Naona watu na majina yao mwaka huu wana RIP, a buddy was extreme smart
Mara ya mwisho kuongea naye ilikuwa Migombani - Survey kwenye mdudu mwaka wa uchaguzi nlipokuwa huko nyumbani.Last time nilikua NAE bulls park counter ya ndani pale..mungu amlinde baba yangu huyu!
Huko kwenye bata ndio kunapokupandisha "high speed train" ya kukupeleka six feet under.Maskini[emoji24] [emoji24] [emoji24] ....hii dunia very complicated sana!
Bora tujilie bata tu....what's the hell[emoji15] [emoji24]
Bulls bado papp? Kijiwe cha madenti. Vipi pale kwa Mama Kamchee bado papo pia?Ndio, hapo ni kijiweni kwangu ila siku hizi sipapendi kihivyoooo pana kajiumbeya umbeya, nimehamia bulls
Mkuu.watu wamekufa sana aisee inatisha, huu mwaka bora uise, misiba inapishana tuKweli ndugu. Hata mimi najiuliza swali hilo hilo. Kuna wengine tumepoteza wapendwa ambao siyo maarufu. Hata hawatangazwi kwenye vyombo vya habari.
Sanaa dohMoney Penny Naona watu na majina yao mwaka huu wana RIP, a buddy was extreme smart
Ah kitambo sanaRIP bro Misanya Bingi. Nakumbuka chombeza time na ile Fall in Love ya Kenny G. A vintage memory!!!!